Mdada huyu ananisumbua

Mdada huyu ananisumbua

Haya ni mambo ya kale kabisa!
Hivi mbona ulipokuwa mna wasiliana pm haukusema hapa? Mlivyo panga kuonana haukusema hapa?
Bila shaka una tatizo kabisa!



Kwa hiyo unataka kutwambia amekuzidi ujanja hadi uje kutwambia hapa?bila shaka kuna kitu unatafuta kukiona hapa!


Hakika kila mtu anaweza kuwa mwana ndoa!
 
Habarini za jioni. Ninaomba niwakilishe hii wakuu! Kuna dada mmoja hapa jamii forum ananisumbua sana jamani. Tulifahamia humu humu. Tukawa tunachati. Kwa kuwa wote tunaishi Dar. Tukapanga kuonana kama marafiki wa kawaida tu. Tulipoonana nilimfahamisha zaidi kuhusu mimi kuwa nimeoa na ni na familia. Kuanzia anione ndiyo imekuwa matatizo. Meseji kila leo. Eti anasema ananipenda sana. Nikimkumbusha kuwa nimeoa ananiambia yupo tayari hata kuwa kimada. Eti anasema nausumbua moyo wake kwani tangu aliponoona anaona kuwa mimi ningemfaa hata kama nimeoa. Kihakika huyo mdada ni mzuri. Sipendi kutaja jina maana ni mtu maalufu sana hapa JF. Kwa kweli ameniganda kwelikweli. Nifanyenyeje jamani. Naomba ushauri.

Zaa naye.
 
habarini za jioni. Ninaomba niwakilishe hii wakuu! Kuna dada mmoja hapa jamii forum ananisumbua sana jamani. Tulifahamia humu humu. Tukawa tunachati. Kwa kuwa wote tunaishi dar. Tukapanga kuonana kama marafiki wa kawaida tu. Tulipoonana nilimfahamisha zaidi kuhusu mimi kuwa nimeoa na ni na familia. Kuanzia anione ndiyo imekuwa matatizo. Meseji kila leo. Eti anasema ananipenda sana. Nikimkumbusha kuwa nimeoa ananiambia yupo tayari hata kuwa kimada. Eti anasema nausumbua moyo wake kwani tangu aliponoona anaona kuwa mimi ningemfaa hata kama nimeoa. Kihakika huyo mdada ni mzuri. Sipendi kutaja jina maana ni mtu maalufu sana hapa jf. Kwa kweli ameniganda kwelikweli. Nifanyenyeje jamani. Naomba ushauri.
hata urembe namna gani ila mwisho wa siku ukumbuke kuwa utakapolala nae ujue tayari umefanya uzinzi.achana nae men.
 
sasa unataka tukusaidie nini kwani hujijui kuwa we mume wa mtu??!
 
this is childish now...
jiheshimu basi....na waheshimu watu hapa
weather ni true au umetunga....ni 'upumbavu mtupu kuja na thread hii'

Ni kweli boss wangu..huyu analeta utoto...kwanza aliyataka mwenyewe mtu umeoa kiranga cha nini kuzoeana na wadada...
 
Huyu jamaa kwakweli kashindwa kujiheshimu kabisa!

Yezakuwa ni kweli jamaaa anasumbuliwa,na yezakuwa mrembo kafall......ila jamaa imekwenda damn low,because a gentlemen dont expose such things,he just sort them out by himself gently!
 
Bado utunzi haujaweza, endelea kufanya mazoez mkuu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Habarini za jioni. Ninaomba niwakilishe hii wakuu! Kuna dada mmoja hapa jamii forum ananisumbua sana jamani. Tulifahamia humu humu. Tukawa tunachati. Kwa kuwa wote tunaishi Dar. Tukapanga kuonana kama marafiki wa kawaida tu. Tulipoonana nilimfahamisha zaidi kuhusu mimi kuwa nimeoa na ni na familia. Kuanzia anione ndiyo imekuwa matatizo. Meseji kila leo. Eti anasema ananipenda sana. Nikimkumbusha kuwa nimeoa ananiambia yupo tayari hata kuwa kimada. Eti anasema nausumbua moyo wake kwani tangu aliponoona anaona kuwa mimi ningemfaa hata kama nimeoa. Kihakika huyo mdada ni mzuri. Sipendi kutaja jina maana ni mtu maalufu sana hapa JF. Kwa kweli ameniganda kwelikweli. Nifanyenyeje jamani. Naomba ushauri.

Nani alimuanza mwenzie!huoni kuwa umeleta mada hii kumsuta!!vp naye akiamusha mashetani yake!!
 
kata mawasiliano naye!akikutext au akikucall unapiga kimya,no private msg no what atakata tamaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom