Mdada huyu ananisumbua

Mdada huyu ananisumbua

Upungufu wa akili ni tatzo ndo nn umeandika hapa we ata siri za mkeo waweza tuambia
 
Unajua nini kaka? hakunaga urafiki kati ya mwanamke na mwanaume coz lazima mtu kati yao atapata hisia flani mwanzoni au baadae wakati wa upweke... Mueleze huyo dada.. na i think hata mkeo akiongea nae it will be better kama mkeo hana wivu sana. Wanawake kuacha kumpenda mvulana ni decision yetu.. na hata kama kuambiwa hatupendwi au kutukanwa... inaweza tokea bado tunampenda huyo mwanaume..

Mpotezee after kumwabia.. akikupigia usipokee yaani make sure unamchunia until message izame akilini.. Ila kumbuka kumtaarifu mkeo coz wanawake hupenda fitna. anaweza kukuzushia anything. all d best. :glasses-nerdy:
 
Unajua nini kaka? hakunaga urafiki kati ya mwanamke na mwanaume coz lazima mtu kati yao atapata hisia flani mwanzoni au baadae wakati wa upweke... Mueleze huyo dada.. na i think hata mkeo akiongea nae it will be better kama mkeo hana wivu sana. Wanawake kuacha kumpenda mvulana ni decision yetu.. na hata kama kuambiwa hatupendwi au kutukanwa... inaweza tokea bado tunampenda huyo mwanaume..

Mpotezee after kumwabia.. akikupigia usipokee yaani make sure unamchunia until message izame akilini.. Ila kumbuka kumtaarifu mkeo coz wanawake hupenda fitna. anaweza kukuzushia anything. all d best. :glasses-nerdy:

Wewe umenipa jibu. Asante
 
habarini za jioni. Ninaomba niwakilishe hii wakuu! Kuna dada mmoja hapa jamii forum ananisumbua sana jamani. Tulifahamia humu humu. Tukawa tunachati. Kwa kuwa wote tunaishi dar. Tukapanga kuonana kama marafiki wa kawaida tu. Tulipoonana nilimfahamisha zaidi kuhusu mimi kuwa nimeoa na ni na familia. Kuanzia anione ndiyo imekuwa matatizo. Meseji kila leo. Eti anasema ananipenda sana. Nikimkumbusha kuwa nimeoa ananiambia yupo tayari hata kuwa kimada. Eti anasema nausumbua moyo wake kwani tangu aliponoona anaona kuwa mimi ningemfaa hata kama nimeoa. Kihakika huyo mdada ni mzuri. Sipendi kutaja jina maana ni mtu maalufu sana hapa jf. Kwa kweli ameniganda kwelikweli. Nifanyenyeje jamani. Naomba ushauri.

nipe contact zake kwanza ndipo nikupe ushauri
 
Habarini za jioni. Ninaomba niwakilishe hii wakuu! Kuna dada mmoja hapa jamii forum ananisumbua sana jamani. Tulifahamia humu humu. Tukawa tunachati. Kwa kuwa wote tunaishi Dar. Tukapanga kuonana kama marafiki wa kawaida tu. Tulipoonana nilimfahamisha zaidi kuhusu mimi kuwa nimeoa na ni na familia. Kuanzia anione ndiyo imekuwa matatizo. Meseji kila leo. Eti anasema ananipenda sana. Nikimkumbusha kuwa nimeoa ananiambia yupo tayari hata kuwa kimada. Eti anasema nausumbua moyo wake kwani tangu aliponoona anaona kuwa mimi ningemfaa hata kama nimeoa. Kihakika huyo mdada ni mzuri. Sipendi kutaja jina maana ni mtu maalufu sana hapa JF. Kwa kweli ameniganda kwelikweli. Nifanyenyeje jamani. Naomba ushauri.

ukigandwa gandamana
 
Mbona simple tu! Kiurafiki kabisa,mwambie kwamba hastahili kabisa kuwa "kimada" wa mume wa mtu sio kwako tu bali hata kwa mume wa mtu yeyote yule kwani atakuwa ameikosea sana nafsi yake kwa kujishusha thamani kiasi hicho sio hivyo tu lakini pia atakuwa kamkosea sana "mume wake" (though currently hajawa exposed) naamini ni suala la wakati tu,so,afute kabisa mawazo ya kuwa kimada badala yake afikirie kuwa mke halali wa mume halali aliyeumbwa kwa ajili yake ambaye atadhihirishwa kwake kwa wakati wake,mume atakayempa Pendo lake lote bila kuligawa huku na kule).Naamini atakuelewa tu!
 
Mie nshamjua ndo zake mbona alafu huyo ni mgonjwa kuwa makini bro
 
Huyo bi dada kakosea kukuganda ila na nyie wanaume wakati mwingine mnavyofanya sio...!

Mtu unajua kabisa umeoa lakini kutwa kucha kushinda PM unajizoelesha kwa wadada ambao wako single... Kama sio kutafuta michepuko ni nini?

Hebu tulieni na wake zenu...!
 
"kwaiyo ndo umeamua kuja nisemea humu??! hamnazo kweli ww sa si ungenambia tu ningekuelewa! kwanza hukuniambia kwmb umeoa na wewe ndo umenitongooooooza weeee mpaka nikakubali now nishaanza fall in luv ndo unaleta haya mashauo. kwendraaaa zako kule ebooo" hahahahahaaaaaa...ila we nawe acha ishu za kitoto hizi, kwn ukigandwa huwezi jigandua??! sa apa tukusaidiaje labda
 
"Ikimbieni zinaaaa"....

Kwa hekima ya ki-Mungu uliyonayo najua umenielewa......
 
Habarini za jioni. Ninaomba niwakilishe hii wakuu! Kuna dada mmoja hapa jamii forum ananisumbua sana jamani. Tulifahamia humu humu. Tukawa tunachati. Kwa kuwa wote tunaishi Dar. Tukapanga kuonana kama marafiki wa kawaida tu. Tulipoonana nilimfahamisha zaidi kuhusu mimi kuwa nimeoa na ni na familia. Kuanzia anione ndiyo imekuwa matatizo. Meseji kila leo. Eti anasema ananipenda sana. Nikimkumbusha kuwa nimeoa ananiambia yupo tayari hata kuwa kimada. Eti anasema nausumbua moyo wake kwani tangu aliponoona anaona kuwa mimi ningemfaa hata kama nimeoa. Kihakika huyo mdada ni mzuri. Sipendi kutaja jina maana ni mtu maalufu sana hapa JF. Kwa kweli ameniganda kwelikweli. Nifanyenyeje jamani. Naomba ushauri.

Kwanza nikupe pole kwa kupanga kuonana na mwanamke unayemuita eti rafiki from jamii forum. Hivi mtu umeoa na familia yako then unataka marafiki wa kike wengine wa nini? Is your wife not enough to be ur friend???
Ah sometimes sisi wanaume tunakosea sana bwana. Hivi ww siku umkute mke wako yupo na jamaa halafu anasema eti ni rafiki yake frm jf or any other social networks. .will u understand her?
Wanaume na wavulana wenzangu embu tubadilike jamani. Kama una mke au mchumba ambaye umejicomit kwake then si sahihi kuintertain mambo ya urafik na wanawake wengine. Let ur wife be the only girlfriend of yours.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom