Lisa
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 1,549
- 1,075
Hapo kwenye Red nakuunga mikono na miguu yote miwili, huyu atakuwa hajakamilika kuwa mwanaume, ni mwanaume suruali, kama unashindwa kusolve issue zako mwenyewe unaleta hapa Jamvini , its Hopeless kabisaaaaaaaaaa!Yezakuwa ni kweli jamaaa anasumbuliwa,na yezakuwa mrembo kafall......ila jamaa imekwenda damn low,because a gentlemen dont expose such things,he just sort them out by himself gently!
Na ungekuwa mwanagu, au ndugu yangu ningekutia bakora takatifu, Kwa sababu mwanaume wa kiafrika lazima uweze kujikwamua katika magumu na mepesi, na siyo kuja kulia lia hapa JF.