radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,291
Usilolijua usiku wa giza omba ya sikukute mshukuru mungu kwa kukulinda na kupata akili ya kuingia jf ila nakushangaa sna Nyani ngabu uchawi upo na una nguvu kubwa tu fuatiria kwa nini kuna kitu kinaitwa msukule au ndondocha ukipata majibu utarudi fasta kufuta haka ka thread.