Dr. Wansegamila
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 2,925
- 7,954
- Thread starter
- #41
Kwa kipimo gani mkuu?Yaani aliibuka Ambilikile, lusekelo, mwamposa, mwakipesile, mwaibanile, Andondile nk wote utapeli mtupuu
Kwa kipimo gani mkuu?Yaani aliibuka Ambilikile, lusekelo, mwamposa, mwakipesile, mwaibanile, Andondile nk wote utapeli mtupuu
Tabia gani?Maneno gani hayo juu ya mtumishi wa MUNGU au hata wewe ndio tabia yako ukiwa kanisani
Kama ya huyo eliyaTabia gani?
Maneno gani hayo juu ya mtumishi wa MUNGU au hata wewe ndio tabia yako ukiwa kanisani
Kivipi mkuu? DadavuaMtu akisha kujitambulisha tu kuwa ana dhehebu basi mjue tu huyo ni ibilisi shetani mwenyewe ...tena ni mpumbavu ...mtu mwenye akili timamu hawezi kuwa na dhehebu
Kwani Eliya kafanya lipi baya akiwa kanisani mkuu?Kama ya huyo eliya
Hahahaha!! Kwa hiyo kaamua kumpiga knock out bwana Eliya?😂😂
Mimi nimesoma vyuo kadhaa vya theology tena vya njeDuuuuuhhhh!! Kwa reference gani mkuu?
Najiuliza maswali mengi. Je, huyo mchungaji yeye ni mtakatifu, hana dhambi?Mtumishi wa MUNGU hawezi kuwavunjia utu waumini wake na kuwadhalilisha. Watu wanaenda kanisani kuungana na wengine katika kuutafuta uso wa MUNGU. Kanisani watu wanaenda kutubu, sio kuhukumiana.
Ahahaha 😭😭😭Kamtoa Eliya mchezoni mapema maana kaona anamzidi kete.
Hahahaha!! Kampiga ndani nje😂😂Kamtoa Eliya mchezoni mapema maana kaona anamzidi kete.
Ok mkuu, nimekuelewa vyema!Mimi nimesoma vyuo kadhaa vya theology tena vya nje
Pia nimewahi kuwafukuza vijana nikiwa chairman wa CASFETA. MUNGU alinihakikishia kuwa kumfukuza mtu kanisani ni dhambi tena kubwa .
Ukimfukuza mtu madhabahuni usipotubu huwezi kwenda MBINGUNI.
Thamani ya mtu ni kubwa mno , na Mungu hutumia gharama kubwa kumuokoa mtu . Kabla hajamtimua athibitishe 100% hana dhambi, hatafanya dhambi na hajawahi kuionja dhambi
Inaonekana bwana Eliya ana mambo mengi😂😂Eliya leo ameisha.🤣😅
ila Eliya nae ni kiwembe kiasi mpaka mchungaji alishamuonya aache umalaya!.
Inaonekana alishawahi kumuonya aache tabia ya umalaya, lakini ni kama bwana Eliya hakusikia😂Eliya anamuogopa jamaa kama mungu vile ingekuwa mimi nisingempa simu na ningemnyooshea dole la kati.Halafu kwanini amuandame Eliya tu.Huyu mpumbavu arudi tu jela
Ila hiyo tabia ya kukagua simu za waumini wake hajaianza baada ya kutoka jela. Si unaona ndio maana hata bwana Eliya ni kama alikua "ameisafisha" hiyo simu? Hata hiyo meseji aliyokuta mchungaji seems iliingia wakiwa hapo hapo ibadani.Mimi ni mkristo
Sijaenda kanisani kwa zaidi ya miaka 12
Huyu mchungaji huko jela itakua wamemharibu sasa hivi anachukia kila mwenye nguvu za kiume