YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Mchungaji Ezekiel Odero wa Mombasa aliyekuwa aje Tanzania ,Dodoma adakwa na Polisi kenya kuhusiana na vifo kibao vya waliokufa wakifunga
Mchungaji Ezekiel Odero ni mmojawapo wa watuhumiwa Kenya wasababisha vifo vya mamia ya watu ambao rafiki yake Mchungaji. MAKENZIE aliwazika shambani kwake porini liliko kanisa lake waliambiwa wafunge hadi wafe iki wakutane na Yesu walioambiwa na Rafiki yake Mchungaji Makenzie ambaye ni kidole na Pete na Mchungaji Ezekiel Odero wote wakuwa waliweka kambi Mombasa kwenye mapori walikonunua maeneo mama ya ekari
Alitarajia kuondoka Mombasa kuja Tanzania kuendesha mkutano wa injili Dodoma polisi wa Kenya wamemdaka leo Asubuhi na kufunga kanisa lake
Kwa Tanzania vyombo vya usalama viwe makini asije weka kambi huku hata akishinda kesi
Lakini pia niviombe vyombo vya usalama kuna Mchungaji mmo anaitwa Mbarikiwe Mwakipesile wa Kanisa linaitwa Kikosi cha Injili liko mbeya na limo online ana dalili zote za kuleta maafa kwa waumini
Huwavalisha waumini wake wote uniform akiwemo yeye uniform za rangi ya damu nyekundu.Wote huvaa nguo nyekundu
Kanisa lake liko eneo la Isyesye Mbeya Prevention is better than cure serikali imuwahi kabla hajafanya tukio.baya
Waumini wake ni kama misukule fulani hivi wako tayari kwa lolote analowaambia
Kuna clip kibao YouTube ana kesi nzito tu mahakamani serikali itumie hiyo kesi lumfungia huduma na kanisa wakimuacha kikitokea mbele wasije sema hawajastuliwa
Ana mwelekeo kabisa wa akina Kivwetere na wa huyo pastor Makenzie wa Kenya
Mchungaji Ezekiel Odero ni mmojawapo wa watuhumiwa Kenya wasababisha vifo vya mamia ya watu ambao rafiki yake Mchungaji. MAKENZIE aliwazika shambani kwake porini liliko kanisa lake waliambiwa wafunge hadi wafe iki wakutane na Yesu walioambiwa na Rafiki yake Mchungaji Makenzie ambaye ni kidole na Pete na Mchungaji Ezekiel Odero wote wakuwa waliweka kambi Mombasa kwenye mapori walikonunua maeneo mama ya ekari
Alitarajia kuondoka Mombasa kuja Tanzania kuendesha mkutano wa injili Dodoma polisi wa Kenya wamemdaka leo Asubuhi na kufunga kanisa lake
Kwa Tanzania vyombo vya usalama viwe makini asije weka kambi huku hata akishinda kesi
Lakini pia niviombe vyombo vya usalama kuna Mchungaji mmo anaitwa Mbarikiwe Mwakipesile wa Kanisa linaitwa Kikosi cha Injili liko mbeya na limo online ana dalili zote za kuleta maafa kwa waumini
Huwavalisha waumini wake wote uniform akiwemo yeye uniform za rangi ya damu nyekundu.Wote huvaa nguo nyekundu
Kanisa lake liko eneo la Isyesye Mbeya Prevention is better than cure serikali imuwahi kabla hajafanya tukio.baya
Waumini wake ni kama misukule fulani hivi wako tayari kwa lolote analowaambia
Kuna clip kibao YouTube ana kesi nzito tu mahakamani serikali itumie hiyo kesi lumfungia huduma na kanisa wakimuacha kikitokea mbele wasije sema hawajastuliwa
Ana mwelekeo kabisa wa akina Kivwetere na wa huyo pastor Makenzie wa Kenya