Mchungaji Mwakipesile aachiliwa huru baada ya kulipa milioni kumi

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Jul 28, 2022
15,311
9,739
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo kuwa mahakama kuu kanda ya Mbeya imemuachia huru mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile ambaye alifungwa kifungo cha miaka mitatu na siku 14 jera kwa kosa la kuendesha shughuli za kanisa pasipo kuwa na kibali cha kufanya hivyo kama sheria zinavyotaka.

Ambapo baada ya kufungwa jela aliamua kukata rufaa kupitia mawakili wake.na baada ya kukata rufaa na kesi kuendeshwa.hukumu ikatoka ikitupilia mbali maombi yake ya kuachiliwa huru na badala yake mahakama hiyo ikatoa hukumu ya kumtaka kulipa kiasi cha shilingi milioni kumi ama kuendelea kutumikia kifungo chake hicho mpaka kiishe. .

Ambapo hata hivyo amefanikiwa kulipa pesa na kiasi hicho cha millioni kumi kilichoamuliwa na mahakama na hivyo kufanikiwa kuachiliwa huru.

Rai yangu ni kuwasihi watanzania wenzangu kutambua kuwa nchi yetu inaendeshwa kwa misingi ya sheria ,katiba na utawala bora.ambapo kila kitu lazima kizingatie sheria katika uanzishaji wake.hata katika suala la kuanzisha kanisa mimi naamini Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile akiomba kibali atapewa bila shida ya aina yoyote ile pale atakapo timiza vigezo vinavyohitajika.

Hii ni kwa kuwa Taifa letu na serikali yetu hasa Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan, angependa kuona Taifa letu lote linamjuwa Mungu na kuwa na hofu na Mungu na hivyo kufanya matendo ya kila mmoja wetu kuwa yenye uungwana, upendo,ukarimu , unyenyekevu,huruma ,utu,hekima na busara.

Kumcha Mungu pia kutapunguza na kuondoa katika jamii matendo ya rushwa,ukatili ,ufisadi na wizi. Matendo na Vitendo kama vile ubakaji,mauaji kwa imani za kishirikina au kutimiza masharti ya waganga kama yale ambayo mtu anaua arubino au kubaka mtoto wake wa kumzaa au kubaka kikongwe au kuuwa watu kwa NONDO kwa fikira na imani za kupata utajiri yangekwisha katika jamii kama sote tungekuwa na hofu ya Mungu. Na kubaki kutambua kuwa utajiri unapatikana kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi,maarifa na kujituma kwa hali ya juu.

Kama kila mtu angekuwa na hofu ya Mungu moyoni mwake hata matendo ya viongozi wetu yangekuwa ni ya huruma na wala tusingesikia mambo ya rushwa na ufisadi .kwa kuwa kila mtu angejuwa kuwa mali na pesa ni vya kupita na hakuna anayezikwa na pesa wala magari wala ufahari wote wa Dunia hii. kila kiongozi angetambua kuwa kuna kufa na kuna Mungu yupo hai anaangalia kila kitu afanyacho mwanadamu, maana yeye huona hata yale ya moyoni mwetu wanadamu na hata yale ya sirini na gizani ,kwake Mungu yapo na kuonekana peupe kabisa. .

Lakini pamoja na kuhitaji yote haya ni vyema kila mtu azingatie sheria ikiwepo hiyo ya kupata vibali. Lakini pia ya kaisari mpe kaisari na yaliyo ya Mungu mpe Mungu . Ukitaka kufundisha neno la Mungu na kuchunga kondoo wake basi fanya hivyo kwa moyo wote na kwa kumtanguliza Mungu wako.na ukitaka kufanya siasa basi fanya siasa.

lakini usitake kufanya siasa halafu ukatumia mwamvuli wa kanisa lako kupenyeza ajenda zako ama hisia zako za kisiasa na itikadi za kisiasa. Hilo litakuwa ni jambo la hatari sana tena sana sana na litakalo leta mgawanyiko kwa unaowaongoza,maana dini ni imani na unakuwa unacheza na mioyo ya watu na hisia zao. Hivyo ni bora kuwalisha kondoo wako neno la Mungu na misingi yake na kufanya rejea na nukuu kutoka katika biblia takatifu.

Tusilete na kuweka uanaharakati makanisani au misikitini kwa kutumia nyumba hizi za ibada kuyageuza kuwa majukwaa ya kisiasa kueneza sera na ajenda za vyama vyetu. Tunavyovipenda na ambavyo ni wanachama wake au wakereketwa au mashabiki au wafuasi wake.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
 
Huyo bado ana kesi nyingine, ni muda muafaka sasa zianzishwe, anakuwa analimwa na kesi moja moja, anamaliza moja, anapigwa na nyingine.

Kumbukumbu zangu zinaonyesha ana kesi zaidi ya 20 ziko polisi, itahitaji miaka karibu 15 kuzichomoa moja baada ya nyingine. Polisi wasizifungue kwa pamoja kwa kuwa jinai haina ukomo wa muda
 
Na wewe sikuhizi umekuwa kama Yule naibu waziri

Ambae hata ukimsalimia anaanza kukwambia Rais wetu mpendwa mama Samia suluhi hasani amekufanya unisalimie hahaha

Sasa mtu alifungwa, amekata rufaa tena Amelipa milion kumi

Ishu ya mama inaingiaje hapo?

Unasifia mpaka unapitiliza
 
Huyo bado ana kesi nyingine, ni muda muafaka sasa zianzishwe, anakuwa analimwa na kesi moja moja, anamaliza moja, anapigwa na nyingine.

Kumbukumbu zangu zinaonyesha ana kesi zaidi ya 20 ziko polisi, itahitaji miaka karibu 15 kuzichomoa moja baada ya nyingine. Polisi wasizifungue kwa pamoja kwa kuwa jinai haina ukomo wa muda
Wewe chiembe utapata faida gani akifungwa?
 
Badala mhangaike na wezi wa mali za umma ambao ripoti za CAG kila mwaka zinaonesha madudu yao, nyie mko busy na wanaowakosoa uovu wenu.

Badilikeni kwa Mungu si kwa mzungu, hakika baada ya kutwaliwa hapa duniani ndipo mtajua umhimu wa kutenda haki.
 
Ila hii Nchi tuna shida aise. Unaweza shangaa huyu mwamba kesho ni Mkuu wa Wilaya eti. Daaa, Tanzania.
Mtu yeyote anaweza kuteuliwa kuwa kiongozi kama amekidhi sifa na vigezo vya kiuongozi wa nafasi husika na anaweza kumudu majukumu yake vyema na kuyatekeleza vizuri na kwa ufanisi mzuri utakaoleta matokeo chanya.
 
Badala mhangaike na wezi wa mali za umma ambao ripoti za CAG kila mwaka zinaonesha madudu yao, nyie mko busy na wanaowakosoa uovu wenu.

Badilikeni kwa Mungu si kwa mzungu, hakika baada ya kutwaliwa hapa duniani ndipo mtajua umhimu wa kutenda haki.
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu,kanuni na katiba .kwa hiyo ukitaka kufanya jambo lolote lile kama hilo la kufungua kanisa na kuendesha shughuli za ibada basi wewe omba kibali kwanza. Katika jambo zuri kama hilo naamini serikali yetu chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Rais samia haiwezi kukunyima kibali ikiwa umekidhi vigezo ,maana Taifa letu linamwamini Mungu na lingependa watu wamjuwe Mungu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo kuwa mahakama kuu kanda ya Mbeya imemuachia huru mchungaji huyo Mbarikiwa Mwakipesile ambaye alifungwa kifungo cha miaka mitatu na siku 14 jera kwa kosa la kuendesha shughuli za kanisa pasipo kuwa na kibali cha kufanya hivyo kama sheria zinavyotaka.

Ambapo baada ya kufungwa jela aliamua kukata rufaa kupitia mawakili wake.na baada ya kukata rufaa na kesi kuendeshwa.hukumu ikatoka ikitupilia mbali maombi yake ya kuachiliwa huru na badala yake mahakama hiyo ikatoa hukumu ya kumtaka kulipa kiasi cha shilingi milioni kumi ama kuendelea kutumikia kifungo chake hicho mpaka kiishe. .

Ambapo hata hivyo amefanikiwa kulipa pesa na kiasi hicho cha millioni kumi kilichoamuliwa na mahakama na hivyo kufanikiwa kuachiliwa huru.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
azi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Mtu kalipa 10M halafu unaandika hayo.. Lucas. You must be mentally castrated..!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nchi hii inaendeshwa kwa mujibu wa sheria, taratibu,kanuni na katiba .kwa hiyo ukitaka kufanya jambo lolote lile kama hilo la kufungua kanisa na kuendesha shughuli za ibada basi wewe omba kibali kwanza. Katika jambo zuri kama hilo naamini serikali yetu chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Rais samia haiwezi kukunyima kibali ikiwa umekidhi vigezo ,maana Taifa letu linamwamini Mungu na lingependa watu wamjuwe Mungu.
Uzuri sote tunakufa, hapo ndipo huwa ninamtukuza na kumshangilia MUUMBA wa vyote.

Kila nafsi italipwa sawasawa na matendo yake.

Kuanzisha kanisa mmeona hajafuata taratibu ila kuhujumu mali za umma utaratibu umefuatwa kwa mjibu wa sheria, miongozo, kanuni na katiba ya nchi.

Muogopeni Mungu, hapa duniani tunapita tu, leo hii nikikuuliza kama Lowasa mfano hakutenda yanayompasa kutenda kwa haki, mali, fedha, umaarufu na madaraka vinamsaidia nini huko alipo?.

Qwaresma njema.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo kuwa mahakama kuu kanda ya Mbeya imemuachia huru mchungaji huyo Mbarikiwa Mwakipesile ambaye alifungwa kifungo cha miaka mitatu na siku 14 jera kwa kosa la kuendesha shughuli za kanisa pasipo kuwa na kibali cha kufanya hivyo kama sheria zinavyotaka.

Ambapo baada ya kufungwa jela aliamua kukata rufaa kupitia mawakili wake.na baada ya kukata rufaa na kesi kuendeshwa.hukumu ikatoka ikitupilia mbali maombi yake ya kuachiliwa huru na badala yake mahakama hiyo ikatoa hukumu ya kumtaka kulipa kiasi cha shilingi milioni kumi ama kuendelea kutumikia kifungo chake hicho mpaka kiishe. .

Ambapo hata hivyo amefanikiwa kulipa pesa na kiasi hicho cha millioni kumi kilichoamuliwa na mahakama na hivyo kufanikiwa kuachiliwa huru.

Rai yangu ni kuwasihi watanzania wenzangu kutambua kuwa nchi yetu inaendeshwa kwa misingi ya sheria ,katiba na utawala bora.ambapo kila kitu lazima kizingatie sheria katika uanzishaji wake.hata katika suala la kuanzisha kabisa mimi naamini Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile akiomba kibali atapewa bila shida ya aina yoyote ile pale atakapo timiza vigezo vinavyohitajika.

Hii ni kwa kuwa Taifa letu na serikali yetu hasa Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan, angependa kuona Taifa letu lote linamjuwa Mungu na kuwa na hofu na Mungu na hivyo kufanya matendo ya kila mmoja wetu kuwa yenye uungwana, upendo,ukarimu , unyenyekevu,huruma ,utu,hekima na busara.

Kumcha Mungu pia kutapunguza na kuondoa katika jamii matendo ya rushwa,ukatili ,ufisadi ,wizi. Matendo na Vitendo kama vile ubakaji,mauaji kwa imani za kishirikina au kutimiza mashartiya waganga kama yale ambayo mtu anajua arubino au kubaka mtoto wa kumzaa au kubaka kikongwe au kuuwa watu kwa NONDO kwa fikira za kupata utajiri yangekwisha katika jamii kama sote tungekuwa na hofu ya Mungu. Na kutambua kuwa utajiri unapatikana kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi,maarifa na kujituma kwa hali ya juu.

Kama kila mtu angekuwa na hofu ya Mungu moyoni mwake hata matendo ya viongozi wetu yangekuwa ni ya huruma na wala tusingesikia mambo ya rushwa na ufisadi wa kutisha.kwakuwa kula mtu angejuwa kuwa mali na pesa ni vya kupita ,hakuna anayezuiwa na pesa wala magari wala ufahari wote wa Dunia hii.kila kiongozi angefambua kuwa kuna kufa na kuna Mungu yupi anaangalia kila kitu maana yeye huona hata moyoni.

Lakini pamoja na kuhitaji yote haya ni vyema kila mtu azingatie sheria ikiwepo hiyo ya kupata vibali. Lakini pia takaisari mpe kaisari na yaliyo ya Mungu mpe Mungu . Ukitaka kufundisha neno la Mungu na kuchunga kondoo badi fanya kwa moyo wote na kwa kumtanguliza Mungu wako.na ukitaka kufanya siasa basi fanya siasa.

lakini usitake siasa halafu ukatumia mwamvuli wa kanisa lako kupenyeza ajenda zako ama hisia zako za kisiasa na itikadi za kisiasa. Hilo litakuwa ni jambo la hatari sana tena sana sana na litakalo leta mgawanyiko kwa unaowaongoza,maana dini ni imani na unakuwa inacheza na mioyo ya watu na hisia zao. Hivyo ni bora kuwalisha kondoo wako neno la Mungu na misingi yake na kufanya rejea na nukuu kutoka katika biblia takatifu.

Tusilete na kuweka uanaharakati makanisani au misikitini kwa kutumia nyumba hizi za ibada kuyageuza kuwa majukwaa ya kisiasa.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.
Ile jeuri "njooni mnikamate mimi" sasa itakufa sawa na ya Sheikh Farid wa Uamsho.
Mwamba ni Sheikh Ponda tuu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Habari ndio hiyo kuwa mahakama kuu kanda ya Mbeya imemuachia huru mchungaji huyo Mbarikiwa Mwakipesile ambaye alifungwa kifungo cha miaka mitatu na siku 14 jera kwa kosa la kuendesha shughuli za kanisa pasipo kuwa na kibali cha kufanya hivyo kama sheria zinavyotaka.

Ambapo baada ya kufungwa jela aliamua kukata rufaa kupitia mawakili wake.na baada ya kukata rufaa na kesi kuendeshwa.hukumu ikatoka ikitupilia mbali maombi yake ya kuachiliwa huru na badala yake mahakama hiyo ikatoa hukumu ya kumtaka kulipa kiasi cha shilingi milioni kumi ama kuendelea kutumikia kifungo chake hicho mpaka kiishe. .

Ambapo hata hivyo amefanikiwa kulipa pesa na kiasi hicho cha millioni kumi kilichoamuliwa na mahakama na hivyo kufanikiwa kuachiliwa huru.

Rai yangu ni kuwasihi watanzania wenzangu kutambua kuwa nchi yetu inaendeshwa kwa misingi ya sheria ,katiba na utawala bora.ambapo kila kitu lazima kizingatie sheria katika uanzishaji wake.hata katika suala la kuanzisha kabisa mimi naamini Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile akiomba kibali atapewa bila shida ya aina yoyote ile pale atakapo timiza vigezo vinavyohitajika.

Hii ni kwa kuwa Taifa letu na serikali yetu hasa Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania mama samia suluhu Hasssan, angependa kuona Taifa letu lote linamjuwa Mungu na kuwa na hofu na Mungu na hivyo kufanya matendo ya kila mmoja wetu kuwa yenye uungwana, upendo,ukarimu , unyenyekevu,huruma ,utu,hekima na busara.

Kumcha Mungu pia kutapunguza na kuondoa katika jamii matendo ya rushwa,ukatili ,ufisadi ,wizi. Matendo na Vitendo kama vile ubakaji,mauaji kwa imani za kishirikina au kutimiza mashartiya waganga kama yale ambayo mtu anajua arubino au kubaka mtoto wa kumzaa au kubaka kikongwe au kuuwa watu kwa NONDO kwa fikira za kupata utajiri yangekwisha katika jamii kama sote tungekuwa na hofu ya Mungu. Na kutambua kuwa utajiri unapatikana kwa kufanya kazi kwa bidii, juhudi,maarifa na kujituma kwa hali ya juu.

Kama kila mtu angekuwa na hofu ya Mungu moyoni mwake hata matendo ya viongozi wetu yangekuwa ni ya huruma na wala tusingesikia mambo ya rushwa na ufisadi wa kutisha.kwakuwa kula mtu angejuwa kuwa mali na pesa ni vya kupita ,hakuna anayezuiwa na pesa wala magari wala ufahari wote wa Dunia hii.kila kiongozi angefambua kuwa kuna kufa na kuna Mungu yupi anaangalia kila kitu maana yeye huona hata moyoni.

Lakini pamoja na kuhitaji yote haya ni vyema kila mtu azingatie sheria ikiwepo hiyo ya kupata vibali. Lakini pia takaisari mpe kaisari na yaliyo ya Mungu mpe Mungu . Ukitaka kufundisha neno la Mungu na kuchunga kondoo badi fanya kwa moyo wote na kwa kumtanguliza Mungu wako.na ukitaka kufanya siasa basi fanya siasa.

lakini usitake siasa halafu ukatumia mwamvuli wa kanisa lako kupenyeza ajenda zako ama hisia zako za kisiasa na itikadi za kisiasa. Hilo litakuwa ni jambo la hatari sana tena sana sana na litakalo leta mgawanyiko kwa unaowaongoza,maana dini ni imani na unakuwa inacheza na mioyo ya watu na hisia zao. Hivyo ni bora kuwalisha kondoo wako neno la Mungu na misingi yake na kufanya rejea na nukuu kutoka katika biblia takatifu.

Tusilete na kuweka uanaharakati makanisani au misikitini kwa kutumia nyumba hizi za ibada kuyageuza kuwa majukwaa ya kisiasa.

Kazi iendelee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627.


Wewe ni mtu wa Hovyo kama Mayalla
 
Back
Top Bottom