Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mtu anafeli kuanzia mtihani wa darasa la nne,lazima alikuwa mtoro wa shule au laaa, kwa kuwa alizaliwa mtoto pekee kwao basi akawa yai, kudekadeka,akiguswa na walimu/watoto wenzie wazazi wanakuja juu,akiamua kulala tu asiende shule,hachapwi.

Watoto wanaozaliwa peke yao pia wana tabia za kusingizia wenzao sana na kutokana na shida alizopata katika kutafuta elimu,wanachukia sana waliokuwa vipanga
Kitu cha kujifunza hapa ni kwamba roho mbaya haijengi ...

Na Mungu ni mkubwa huwa anatoa malipo hapa hapa duniani .... ebu tuendelee kuliongelea hili tuone majibu yatakuwaje ...

Hata akienda kwa wataalam wa Kisukuma .. hawatasaidia kwani alowatenda vibaya ni wengi ...

Mtu unajijua kuwa ni mbovu alafu unawachongea wabovu wenzio????

Atuache sisi ambao tunajijua kuwa elimu yetu ni ndogo ndo maana tumejikita kwenye ujasiriamali ... mdogomdogo maisha yanaenda ... tunakula, tunalala, watoto wanaenda shule ... ya moto jioni tunakamata ... hakuna anayetusema vibaya!

Ukome Daud ... jina zuri lakini matendo tofauti ...

Kilio cha wengi ni harusi ...
 
1faf16dd1bc293bb6ba8a68577c0e90e.jpg
 
Umuofia Kwenu Great Thinkers.

Tuwe Wakweli Jamani Na Tutende Haki Kwa Kila Mwanadamu. Vinginevyo Historia Itatuhukumu.

Tuishi Kulingana Na Utamaduni Wetu Na Mazingira Yetu. Watanzania Tunaoneana Huruma (kule Zanzibar wanaita MUHALI), Tunaoneana Aibu Na Tunalindana.

Yanayoendelea Juu Ya RC Makonda Kuwa Alifeli Na Hivyo Kuamua Kuchukua Vyeti Vya Mtu Mwingine Yalishawahi Kumkuta Mulugo Akiwa Naibu Waziri. Unaibu Waziri Ni Dhamana Ya Juu Zaidi Kuliko RC. Lkn Mbona Kelele Hazikuwa Kubwa Sana Za Kumtaka Mulugo Ajiuzuru Kama Ilivyo Kwa Makonda?

Mulugo Alituhumiwa Kuwa Jina Lake halisi nii Hashimu (nisahihisheni kama nimekosea), lkn Mulugo Alidumu Ktk Nafasi Yake Hadi Hadi Hapo J K Alipoamua Kufanya Mabadiliko Ya Baraza Lake La Mwaziri.

Kama Tulimezea Kwa Mulugo Basi Tumezee Na Kwa Makonda. Ndiyo Utamaduni Wetu Watanzania.

Ktk Uhakiki Wa Vyeti Tuliona JWTZ, Polisi Na Magereza Wala Hawaguswi. Na Huko Kila Mtanz Anajua Kuwa Vyeti Vya Marehemu Vimejaa. Si Ajabu Wanaoendesha Mashitaka Si Majina Yao.
 
Tangu Askofu Gwajima atoe tuhuma nzito kumuhusu Daudi Basheti leo ni siku ya nne na hakuna kinachoendelea na sidhani kama kuna kitakachofanyika.

Maswali 5 ya utangulizi:


1.Tunachopaswa kujiuliza ni je, mchungaji Gwajima mpaka sasa ameitwa Polisi kwa mahojiano baada ya kutoa tuhuma zile?

2.Kama hajahojiwa,mbona kina Lissu wanakamatwa na kusafirishwa kutoka Dodoma mpaka Dar-es-salaam kutokana na matamshi tu alafu iweje Gwajima aliepo hapo hapo Dar-es-salaam akaachwa bila hata kuhojiwa tena akidai ana ushahidi wa anayoyasema?

3.Gwajima anaedai kutafutiwa sababu za kukamatwa na kuharibiwa jina lake,inakuwaje aachwe iwapo atakuwa amejiingiza mwenyeww mtegoni kwa kutoa tuhuma za uongo?

4.Je,hii sio ndio ilikuwa fursa ya mbaya wake kummaliiza?

5.Sasa kwanini mpaka sasa ni kimya?

Nimeanza na maswali hayo ili kujaribu kuwapa picha ni kwanini tuhuma zinazomuhusu Daudi Basheti zinaweza kuwa ni za kweli ila zinaonekana kufumbiwa macho hivyo kuna umuhimi wa kutumia njia nyingine kuhakikisha tuhuma hizi zinafanyiwa kazi na serikali na iwapo tuhuma hizi zitathibitishwa kuwa ni za kweli basi mtuhumia awajibike/awajibishwe.

Iwapo serikali itapuuza tuhuma hizi,wananchi hatuna cha kufanya hata tukikesha humu mitandaoni kujadili na kuitaka serikali ichukue hatua zaidi ya tu kuishinikiza serikali kuchukua hatua kupitia wawakilishi wetu wetu ambao ni wabunge maana wao kama Bunge ndio wenye mamlaka ya kuisimamia na kuishauri serikali.

Kwahiyo nachomshauri mchungaji Gwajima ni yeye kukaa na waheshimwa wabunge wachache atakaoona wanafaa na kuwapa taarifa zote muhimu alizonazo kuhusu sakata hili pamoja na huo ushahidi wa nyaraka alionao ili wao/mmoja wao apekeke hoja binafsi Bungeni kuhusiana na swala hili.

Wanachotakiwa kufanya wabunge ni wao kwanza kujiridhisha na ikiwezekana na wao wafanye uchunguzi wao wa ziada na wakijiridhisha basi mbunge mmoja aibebe agenda hii kama hoja binafsi na aiwasilishe Bungeni.

Na ili hili jambo lipate uungwaji mkono na pia ili lisichukue sura ya kisiasa, hoja hii ni vema ikawasilishwa na mbunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuliko kuwasilishwa na mbunge wa upinzani maana Bunge letu tunalijua lilivyo.

Hoja ikubaliwa na hatimae kupata nafasi ya kuwasilishwa Bungeni na kujadiliwa,wabunge wanaweza kuunda kamati ndogo kuchunguza swala hilo na baadae kuwasilisha taarifa yao ndani ya Bunge au Bunge linaweza kujadili hoja iliyowasilishwa na baadae kuja na maazimio ambayo yatakayopelekwa serikalini kwa utekelezaji iwapo Bunge litajiridhisha juu ya ukweli kuhusu tuhuma zinazotajwa.

Iwapo itatokea maazimio ya Bunge hayatafanyiwa kazi na serikali, wabunge wanaweza kumuwajibisha Waziri Mkuu maana huyu ndieo wana mamlaka nae.

Ukweli nii kwamba hatupaswi kufika huku ila serikali isipotekelezaji wajibu wake basi hii ndio njia pekee na halali ya kisheria na kikatiba ambayo inaweza kuchukuliwa na Bunge kama ambavyo imekuwa ikifanyika kwa watendaji wengine wa serikali pale wanapokumbwa na tuhuma mbalimbali na hasa pale wanapokuwa wagumu kuwajibika kwa hiari yao mpaka kwa shinikizo la Bunge.

Tuhuma ni tuhumu tu ziwe ni za ufisadi,kugushi, n.k na hasa pale zinapomuhusu kiongozi alipewa dhamana na serikali hivyo hakuna cha kuupuuza hapa.

CC: Pascal Mayalla
 
unajua sisi ni watu wajinga sana.Leo ni siku ya nne tunajadili lile lile kwa mtazamo ule ule bila kuwanza nje ya box!

Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different result
-Albert Einstein.

Ni kupoteza muda tu kuendekea kuishinikiza serikali imchukulie hatua Basheti maana nia ingekuwepo tungeshaona utekekezaji.

Nawaambieni hata Gwajima akitoa vyeti still wanaweza kuamua kukaa kimya hata kama tuatandelea kujadili na kushinikiza.

Ni wakati wa kuwanza nje ya box na kuutaaka mhimili wa Bunge sasa uingile kati swala la hili vinginevyo tunapoteza muda wetu.

Sasa tunatakiwa kuna na thread nyingi zinazotoa shinikizo kwa Bunge kuingilia kati maana Bunge ndio msimamizi na mshauri wa serikali.

Ni wakati wa kubadili mbinu maana mbinu ya awali ya kutegemea serikali ichukue hatua ni wazi imeshafeli.

Tujiongeze wabongo au ni bora tukaanza kujadili mambo mengine kama ya njaa,uchumi,n.k.

What we are doing now over the issue amount to insanity!
 
Tangu Askofu Gwajima atoe tuhuma nzito kumuhusu Daudi Basheti leo ni siku ya nne na hakuna kinachoendelea na sidhani kama kuna kitakachofanyika...

Kwahiyo nachomshauri mchungaji Gwajima ni yeye kukaa na waheshimwa wabunge wachache atakaoona wanafaa na kuwapa taarifa zote muhimu alizonazo kuhusu sakata hili pamoja na huo ushahidi wa nyaraka alionao ili wao/mmoja wao apekeke hoja binafsi Bungeni kuhusiana na swala hili.
...
CC: Pascal Mayalla
Pascal unausikia huo ushauri wa 'Salary Slip'!

Hivi anaamini huyo Mchungaji anao huo ushahidi!

Kwani huyo Mchungaji na majidai yote aliyoyasema (utajiri na utukufu kuliko Rais) hajui utaratibu wa kupeleka suala zito kama analotuhumu!

Kwa elimu dunia na ya kiroho, huyo Mchungaji ameshindwa kukemea hadi mtuhumiwa akajisalimisha mwenyewe, pasipo kusumbua Wabunge, kwa uwezo wake wa kukemea mapepo!!!
 
Tangu Askofu Gwajima atoe tuhuma nzito kumuhusu Daudi Basheti leo ni siku ya nne na hakuna kinachoendelea na sidhani kama kuna kitakachofanyika.

Maswali 5 ya utangulizi:


1.Tunachopaswa kujiuliza ni je, mchungaji Gwajima mpaka sasa ameitwa Polisi kwa mahojiano baada ya kutoa tuhuma zile?

2.Kama hajahojiwa,mbona kina Lissu wanakamatwa na kusafirishwa kutoka Dodoma mpaka Dar-es-salaam kutokana na matamshi tu alafu iweje Gwajima aliepo hapo hapo Dar-es-salaam akaachwa bila hata kuhojiwa tena akidai ana ushahidi wa anayoyasema?

3.Gwajima anaedai kutafutiwa sababu za kukamatwa na kuharibiwa jina lake,inakuwaje aachwe iwapo atakuwa amejiingiza mwenyeww mtegoni kwa kutoa tuhuma za uongo?

4.Je,hii sio ndio ilikuwa fursa ya mbaya wake kummaliiza?

5.Sasa kwanini mpaka sasa ni kimya?

Nimeanza na maswali hayo ili kujaribu kuwapa picha ni kwanini tuhuma zinazomuhusu Daudi Basheti zinaweza kuwa ni za kweli ila zinaonekana kufumbiwa macho hivyo kuna umuhimi wa kutumia njia nyingine kuhakikisha tuhuma hizi zinafanyiwa kazi na serikali na iwapo tuhuma hizi zitathibitishwa kuwa ni za kweli basi mtuhumia awajibike/awajibishwe.

Iwapo serikali itapuuza tuhuma hizi,wananchi hatuna cha kufanya hata tukikesha humu mitandaoni kujadili na kuitaka serikali ichukue hatua zaidi ya tu kuishinikiza serikali kuchukua hatua kupitia wawakilishi wetu wetu ambao ni wabunge maana wao kama Bunge ndio wenye mamlaka ya kuisimamia na kuishauri serikali.

Kwahiyo nachomshauri mchungaji Gwajima ni yeye kukaa na waheshimwa wabunge wachache atakaoona wanafaa na kuwapa taarifa zote muhimu alizonazo kuhusu sakata hili pamoja na huo ushahidi wa nyaraka alionao ili wao/mmoja wao apekeke hoja binafsi Bungeni kuhusiana na swala hili.

Wanachotakiwa kufanya wabunge ni wao kwanza kujiridhisha na ikiwezekana na wao wafanye uchunguzi wao wa ziada na wakijiridhisha basi mbunge mmoja aibebe agenda hii kama hoja binafsi na aiwasilishe Bungeni.

Na ili hili jambo lipate uungwaji mkono na pia ili lisichukue sura ya kisiasa, hoja hii ni vema ikawasilishwa na mbunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kuliko kuwasilishwa na mbunge wa upinzani maana Bunge letu tunalijua lilivyo.

Hoja ikubaliwa na hatimae kupata nafasi ya kuwasilishwa Bungeni na kujadiliwa,wabunge wanaweza kuunda kamati ndogo kuchunguza swala hilo na baadae kuwasilisha taarifa yao ndani ya Bunge au Bunge linaweza kujadili hoja iliyowasilishwa na baadae kuja na maazimio ambayo yatakayopelekwa serikalini kwa utekelezaji iwapo Bunge litajiridhisha juu ya ukweli kuhusu tuhuma zinazotajwa.

Iwapo itatokea maazimio ya Bunge hayatafanyiwa kazi na serikali, wabunge wanaweza kumuwajibisha Waziri Mkuu maana huyu ndieo wana mamlaka nae.

Ukweli nii kwamba hatupaswi kufika huku ila serikali isipotekelezaji wajibu wake basi hii ndio njia pekee na halali ya kisheria na kikatiba ambayo inaweza kuchukuliwa na Bunge kama ambavyo imekuwa ikifanyika kwa watendaji wengine wa serikali pale wanapokumbwa na tuhuma mbalimbali na hasa pale wanapokuwa wagumu kuwajibika kwa hiari yao mpaka kwa shinikizo la Bunge.

Tuhuma ni tuhumu tu ziwe ni za ufisadi,kugushi, n.k na hasa pale zinapomuhusu kiongozi alipewa dhamana na serikali hivyo hakuna cha kuupuuza hapa.

CC: Pascal Mayalla
Bunge lijalo ni la bajeti siyo la kumjadili Makonda tafadhali.Mshauri huyo Gwajima aende mahakamani!
 
Wana jamvi, kauli ya Askofu Gwajima kuwa ANA VYETI vya RC Makonda ni makosa makubwa ya jinai ambayo askofu hastahili KUSHIRIKI!

Gwajima anahitajika KUHOJIWA ili kujua alipata wapi na ALIVIPATAPATAJE hivyo vyeti anavyodai ni vya Makonda?
Je kama alivyonavyo ni FORGERY ili kumpakazia Makonda atabaki kuwa askofu?

Na kama kuna mtu ama kikundi cha watu waliokuwa WAMEHIFADHI PROFILE ya Makonda kama {SIRI} wakaamua kuitoa nje KINYUME cha sheria nao hao WAKAMATWE!
Ni lazima tuwe na nidhamu katika kila sehemu {sic].

Askofu Gwajima pia ni lazima akae kama askofu.
Neno la Mungu linasema
" MSILIPIZE kisasi ndugu zangu mwachieni Bwana"

Gwajima haoni hilo. Yeye ni kurusha makombora ya maneno tu.
Jamani MNAIAIBISHA INJILI !!!!!

Biblia hiyo hiyo inasema "Palipo na MANENO MENGI dhambi HAIKO MBALI"
"Where there are too many words sin is NOT absent"
Tafakari hayo

Kama Gwajima anaona alionewa, si amwachie Mungu amtetee?
Swali linalonisumbua japokuwa hapo mwanzo baadhi yetu tulijaribu kumwonea huruma na kumtetea, Picha anayoitoa sasa INASIKITISHA!

Naona huyu jamaa AMEKUWA rogue!!
Ni kwa niaba ya NANI Gwajima anakuwa na UJASIRI huu?

Yesu akasema "WAOMBEENI wanaowaudhi".
Kwa nini asiendelee kuhubiri injili badala ya kuwa CONTROVERSIAL Bishop katika mambo yasiyo ya KIROHO?

Yesu alipoteswa HAKUWATISHA maadui zake. Walipomtemea mate ALINYAMAZA KIMYA.
Alipotishwa hakurudisha matisho.

La mwisho ni kuwa Gwajima ni lazima AHOJIWE na atuambie hivyo vyeti na Profile ya Makonda nani ALIMPATIA?
 
Wana jamvi, kauli ya Askofu Gwajima kuwa ANA VYETI vya RC Makonda ni makosa makubwa ya jinai ambayo askofu hastahili KUSHIRIKI!

Gwajima anahitajika KUHOJIWA ili kujua alipata wapi na ALIVIPATAPATAJE hivyo vyeti anavyodai ni vya Makonda?
Je kama alivyonavyo ni FORGERY ili kumpakazia Makonda atabaki kuwa askofu?

Na kama kuna mtu ama kikundi cha watu waliokuwa WAMEHIFADHI PROFILE ya Makonda kama {SIRI} wakaamua kuitoa nje KINYUME cha sheria nao hao WAKAMATWE!
Ni lazima tuwe na nidhamu katika kila sehemu {sic].

Askofu Gwajima pia ni lazima akae kama askofu.
Neno la Mungu linasema
" MSILIPIZE kisasi ndugu zangu mwachieni Bwana"

Gwajima haoni hilo. Yeye ni kurusha makombora ya maneno tu.
Jamani MNAIAIBISHA INJILI !!!!!

Biblia hiyo hiyo inasema "Palipo na MANENO MENGI dhambi HAIKO MBALI"
"Where there are too many words sin is NOT absent"
Tafakari hayo

Kama Gwajima anaona alionewa, si amwachie Mungu amtetee?
Swali linalonisumbua japokuwa hapo mwanzo baadhi yetu tulijaribu kumwonea huruma na kumtetea, Picha anayoitoa sasa INASIKITISHA!

Naona huyu jamaa AMEKUWA rogue!!
Ni kwa niaba ya NANI Gwajima anakuwa na UJASIRI huu?

Yesu akasema "WAOMBEENI wanaowaudhi".
Kwa nini asiendelee kuhubiri injili badala ya kuwa CONTROVERSIAL Bishop katika mambo yasiyo ya KIROHO?

Yesu alipoteswa HAKUWATISHA maadui zake. Walipomtemea mate ALINYAMAZA KIMYA.
Alipotishwa hakurudisha matisho.

La mwisho ni kuwa Gwajima ni lazima AHOJIWE na atuambie hivyo vyeti na Profile ya Makonda nani ALIMPATIA?
Huwezi kumuheshimu mtu asiyekuheshimu, pitia uzi unaoongelea mienendo yake ndo hujue kuwa jamaa hana heshima hata kwa wakubwa zake. Unamkingia kifua kama nani wewe!
Uongozi ni uadilifu sio kutumia madaraka yako kuwanyanyasa wengine.
 
Mbona mnahangaika Sana kumsafisha Huyo RC.

Mwambieni RC aoneshe cheti cha form four watu waendelee na shughuli nyingine.

Wana jamvi, kauli ya Askofu Gwajima kuwa ANA VYETI vya RC Makonda ni makosa makubwa ya jinai ambayo askofu hastahili KUSHIRIKI!

Gwajima anahitajika KUHOJIWA ili kujua alipata wapi na ALIVIPATAPATAJE hivyo vyeti anavyodai ni vya Makonda?
Je kama alivyonavyo ni FORGERY ili kumpakazia Makonda atabaki kuwa askofu?

Na kama kuna mtu ama kikundi cha watu waliokuwa WAMEHIFADHI PROFILE ya Makonda kama {SIRI} wakaamua kuitoa nje KINYUME cha sheria nao hao WAKAMATWE!
Ni lazima tuwe na nidhamu katika kila sehemu {sic].

Askofu Gwajima pia ni lazima akae kama askofu.
Neno la Mungu linasema
" MSILIPIZE kisasi ndugu zangu mwachieni Bwana"

Gwajima haoni hilo. Yeye ni kurusha makombora ya maneno tu.
Jamani MNAIAIBISHA INJILI !!!!!

Biblia hiyo hiyo inasema "Palipo na MANENO MENGI dhambi HAIKO MBALI"
"Where there are too many words sin is NOT absent"
Tafakari hayo

Kama Gwajima anaona alionewa, si amwachie Mungu amtetee?
Swali linalonisumbua japokuwa hapo mwanzo baadhi yetu tulijaribu kumwonea huruma na kumtetea, Picha anayoitoa sasa INASIKITISHA!

Naona huyu jamaa AMEKUWA rogue!!
Ni kwa niaba ya NANI Gwajima anakuwa na UJASIRI huu?

Yesu akasema "WAOMBEENI wanaowaudhi".
Kwa nini asiendelee kuhubiri injili badala ya kuwa CONTROVERSIAL Bishop katika mambo yasiyo ya KIROHO?

Yesu alipoteswa HAKUWATISHA maadui zake. Walipomtemea mate ALINYAMAZA KIMYA.
Alipotishwa hakurudisha matisho.

La mwisho ni kuwa Gwajima ni lazima AHOJIWE na atuambie hivyo vyeti na Profile ya Makonda nani ALIMPATIA?[/QUOTEy
 
Back
Top Bottom