Mbona mnajivuruga? Kumbuka huyo bwana amesema anavyo vya Daudi bashite..
Sasa sikuelewi!
Wana jamvi, kauli ya Askofu Gwajima kuwa ANA VYETI vya RC Makonda ni makosa makubwa ya jinai ambayo askofu hastahili KUSHIRIKI!
Gwajima anahitajika KUHOJIWA ili kujua alipata wapi na ALIVIPATAPATAJE hivyo vyeti anavyodai ni vya Makonda?
Je kama alivyonavyo ni FORGERY ili kumpakazia Makonda atabaki kuwa askofu?
Na kama kuna mtu ama kikundi cha watu waliokuwa WAMEHIFADHI PROFILE ya Makonda kama {SIRI} wakaamua kuitoa nje KINYUME cha sheria nao hao WAKAMATWE!
Ni lazima tuwe na nidhamu katika kila sehemu {sic].
Askofu Gwajima pia ni lazima akae kama askofu.
Neno la Mungu linasema
" MSILIPIZE kisasi ndugu zangu mwachieni Bwana"
Gwajima haoni hilo. Yeye ni kurusha makombora ya maneno tu.
Jamani MNAIAIBISHA INJILI !!!!!
Biblia hiyo hiyo inasema "Palipo na MANENO MENGI dhambi HAIKO MBALI"
"Where there are too many words sin is NOT absent"
Tafakari hayo
Kama Gwajima anaona alionewa, si amwachie Mungu amtetee?
Swali linalonisumbua japokuwa hapo mwanzo baadhi yetu tulijaribu kumwonea huruma na kumtetea, Picha anayoitoa sasa INASIKITISHA!
Naona huyu jamaa AMEKUWA rogue!!
Ni kwa niaba ya NANI Gwajima anakuwa na UJASIRI huu?
Yesu akasema "WAOMBEENI wanaowaudhi".
Kwa nini asiendelee kuhubiri injili badala ya kuwa CONTROVERSIAL Bishop katika mambo yasiyo ya KIROHO?
Yesu alipoteswa HAKUWATISHA maadui zake. Walipomtemea mate ALINYAMAZA KIMYA.
Alipotishwa hakurudisha matisho.
La mwisho ni kuwa Gwajima ni lazima AHOJIWE na atuambie hivyo vyeti na Profile ya Makonda nani ALIMPATIA?
Ila anafanya vitu .Shida ni wewe umekalia kuchambua watu ,ukashindwa hata chambua chawa zakoHuyu mchungaji au kanyaboya
walikuwa wanasubiri pa kuanzia.Bahati nzuri Daudi kakosa uvumilivu kalianzisha.Bora angechelewa kidogo wale walimu wasiojitambua UDSM wangempa mchongo wa kupata degree fasta fasta kwa makubaliono nae aje kuwaona.Ili ile siri ya wasomi mamguli wa UDSM kuchaguliwa iendelee.Walikua wapi kumsema kabla?wasitusumbue aisee.Movie yao imeanza kutuchosha
Mwezi wa nne kuna kikao kifupi cha bungeBunge lijalo ni la bajeti siyo la kumjadili Makonda tafadhali.Mshauri huyo Gwajima aende mahakamani!
Kwa ni Bunge gani lilikasirishwa na matamshi ya huyo unamtetea?Bunge lipi?
..Kwahiyo nachomshauri mchungaji Gwajima ni yeye kukaa na waheshimwa wabunge wachache atakaoona wanafaa na kuwapa taarifa zote muhimu alizonazo kuhusu sakata hili pamoja na huo ushahidi wa nyaraka alionao...
Umefungwa na upofu wala hauoni.. Imeandikwa Hakuna nafsi itabaki ikiwa inatumia jina lisilo halisi.. Jina lako halisi ni utambulisho kwenye maombi.. Mtumishi anapaswa ahakikishe Daudi anatubu katika ulimwengu wa roho kama mwana mpotevu ilivyokuwaWana jamvi, kauli ya Askofu Gwajima kuwa ANA VYETI vya RC Makonda ni makosa makubwa ya jinai ambayo askofu hastahili KUSHIRIKI!
Gwajima anahitajika KUHOJIWA ili kujua alipata wapi na ALIVIPATAPATAJE hivyo vyeti anavyodai ni vya Makonda?
Je kama alivyonavyo ni FORGERY ili kumpakazia Makonda atabaki kuwa askofu?
Na kama kuna mtu ama kikundi cha watu waliokuwa WAMEHIFADHI PROFILE ya Makonda kama {SIRI} wakaamua kuitoa nje KINYUME cha sheria nao hao WAKAMATWE!
Ni lazima tuwe na nidhamu katika kila sehemu {sic].
Askofu Gwajima pia ni lazima akae kama askofu.
Neno la Mungu linasema
" MSILIPIZE kisasi ndugu zangu mwachieni Bwana"
Gwajima haoni hilo. Yeye ni kurusha makombora ya maneno tu.
Jamani MNAIAIBISHA INJILI !!!!!
Biblia hiyo hiyo inasema "Palipo na MANENO MENGI dhambi HAIKO MBALI"
"Where there are too many words sin is NOT absent"
Tafakari hayo
Kama Gwajima anaona alionewa, si amwachie Mungu amtetee?
Swali linalonisumbua japokuwa hapo mwanzo baadhi yetu tulijaribu kumwonea huruma na kumtetea, Picha anayoitoa sasa INASIKITISHA!
Naona huyu jamaa AMEKUWA rogue!!
Ni kwa niaba ya NANI Gwajima anakuwa na UJASIRI huu?
Yesu akasema "WAOMBEENI wanaowaudhi".
Kwa nini asiendelee kuhubiri injili badala ya kuwa CONTROVERSIAL Bishop katika mambo yasiyo ya KIROHO?
Yesu alipoteswa HAKUWATISHA maadui zake. Walipomtemea mate ALINYAMAZA KIMYA.
Alipotishwa hakurudisha matisho.
La mwisho ni kuwa Gwajima ni lazima AHOJIWE na atuambie hivyo vyeti na Profile ya Makonda nani ALIMPATIA?
NonsenseUmefungwa na upofu wala hauoni.. Imeandikwa Hakuna nafsi itabaki ikiwa inatumia jina lisilo halisi.. Jina lako halisi ni utambulisho kwenye maombi.. Mtumishi anapaswa ahakikishe Daudi anatubu katika ulimwengu wa roho kama mwana mpotevu ilivyokuwa
Waache waangaike watachoka tu.
Makonda oyeeeee