vampire_hunter007
JF-Expert Member
- Jul 25, 2015
- 1,034
- 2,638
Hahahah, dah yani kila nikirefresh thread mpya inayokuja inamzungumzia daudi
Sio Chato ni Koromije.Dar sio chato, atanyooka.
Jogoo la shamba(kolomije) haliwiki mjini(Dar)Dar sio chato, atanyooka.
Hahahah, dah yani kila nikirefresh thread mpya inayokuja inamzungumzia daudi
Daudi Bashite?Hahahah, dah yani kila nikirefresh thread mpya inayokuja inamzungumzia daudi
Anataka kuifananisha dar na kolomijeDar sio chato, atanyooka.
Huyo huyoDaudi Bashite?
Nani kakwambia bunge lijalo ni la bajeti..??!Bunge lijalo ni la bajeti siyo la kumjadili Makonda tafadhali.Mshauri huyo Gwajima aende mahakamani!
Imeandikwa wapi? Nipe maandiko.Umefungwa na upofu wala hauoni.. Imeandikwa Hakuna nafsi itabaki ikiwa inatumia jina lisilo halisi.. Jina lako halisi ni utambulisho kwenye maombi.. Mtumishi anapaswa ahakikishe Daudi anatubu katika ulimwengu wa roho kama mwana mpotevu ilivyokuwa
Mkuu, hatumsafishi, bali tunafisha UNAFIKI!Mbona mnahangaika Sana kumsafisha Huyo RC.
Mwambieni RC aoneshe cheti cha form four watu waendelee na shughuli nyingine.
Mkuu, simkingii kifua bali namsaidia Gwajima akae katika WITO WAKE.Huwezi kumuheshimu mtu asiyekuheshimu, pitia uzi unaoongelea mienendo yake ndo hujue kuwa jamaa hana heshima hata kwa wakubwa zake. Unamkingia kifua kama nani wewe!
Uongozi ni uadilifu sio kutumia madaraka yako kuwanyanyasa wengine.
Ukiona hivyo ujue wengi hawakuwa wanafurahishwa na uongozi wake.Kila uzi ninao kutana nao ni Makonda ,hamumchoki huyu jamaa
Binafsi naona tu angepuuzwa