Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Kweli mnampenda Makonda ila hamtaki kukubali, yaani wewe hadi ya kifo umeyafikiria DUH


Vituko vya wavivu, wenye wivu, wa ngada haviishi
 
Apeleke mahakaman ushahid kaz za kanisa zmemshinda akaingia kuchukua wake za watu mzinfu mkubwa huyo...akaona haifai kaingia kwenye siasa....ndomana.mungu hajampa urefu kazadiwa umbea unafk uzandk ana mambo ya kike
 
Kwa kasi yetu ya kesi za uchochezi me nilitegemea leo nickie gwajima apandishwa kizimbani kwa uchochezi au kaitwa central atoe ushahidi au muhusika kumtaka aombe msamaha...ila kwa ukimya huu kuna mtu kashikwa pabayaa..
 
Kwa kweli sijwahi kuona mtu wa Mungu anakuwa mtu wa visasi sina shaka huyu ni agent wa lucifier this is true JF Members and other viewers.

Kama sio kweli kuwa ni mtu wa mgada mbona unakuwa mkali na kushindwa kuwa a true man of God who respect peoples values no matter what?

A true christian always never create enemies but always forgive inline with bible teachings. Sasa huyu the said Dr Gwajima hiyo PhD alisomea wapi hiyo ndiye mchunga jibu kwa waumini wake na kula sadaka za waumini wake. Bill Gate na Steve Job ni university dropouts lakini their are richest fellow on earth.
 
Mchungaji Dr.Josephat Gwajima, leo kanisani kwake mbele ya umati wa waumini akiwaita wanafamilia wake, ametoa maelezo yakinifu juu ya tuhuma zinazomkabili ndg. Paul Makonda na katika clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni.

Askofu Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kua ndg. Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.

Katika clip hiyo mchungaji Gwajima amesema ana vyeti vinavyotoa ushahidi kua Makonda alitumia vyeti vya mtu mwingine.

Swali: Je, Rais atamwacha Makonda na kulifumbia macho hilo suala?



=======

PAUL MAKONDA:

1. Alizaliwa tar.15/02/1981 katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.

2. Majina yake halisi ni Daudi Albert Bashite

3. Alianza darasa la kwanza mwaka 1988 katika shule ya msingi Koromije akitumia majina ya Daudi Albert Bashite. Mwaka 1991 alifeli darasa la 4, akarudia.

4. Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition).

5. Mwaka 1996 alihitimu darasa la 7 lakini hakuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya serikali.

6. Mwaka 1997 akajiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya Pamba.

7. Mwaka 2000 akahitimu kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero).

8. Mwaka 2001 akatumia cheti cha Ndg. Paul Christian Muyenge (chenye div.3 ya points 25) kujiunga na chuo cha uvuvi Nyegezi (Nyegezi Fisheries Training Institute) kwa masomo ya Certificate akahitimu mwaka 2002.

9. Mwaka huohuo 2002 akitumia cheti cha Ndg. Paul Christian Muyenge, alijiunga na Chuo cha uvuvi Mbegani Bagamoyo kwa masomo ya Diploma ya uvuvi (ORDINARY DIPLOMA IN MASTER FISHERMAN, NTA LEV.6), na kuhitimu mwaka 2005.

10. Mwaka 2003 alikutana na Ndg. Benjamin Sitta (mtoto wa Marehemu Samwel Sitta, ambaye ni Meya wa Kinondoni kwa sasa). Wakawa marafiki.

11. Mwaka 2005 baada ya kuhitimu Stashahada yake ya uvuvi, aliomba admission Chuo cha Kilimo Sokoine kusoma shahada lakini akakosa nafasi.

12. Baada ya kukosa nafasi alienda kuishi nyumbani kwa Marehemu Sitta akiwa kama rafiki wa Ben (mtoto wa Sitta). Kwakuwa alitoka familia duni, Sitta aliahidi kumsomesha elimu ya juu.

13. Mwaka 2006, alipata udahili Chuo cha ushirika na biashara Moshi (wakati huo kikiwa chuo kikuu kishiriki cha SUA), kwa kutumia vyeti vyake vya certificate (ya Nyegezi) na diploma (ya Mbegani).

14. Alidahiliwa kwa course ya BA in Cooperate Management & Accounting. Mwaka 2007 alimaliza first year lakini akashindwa kuendelea na 2nd year baada ya kupata Suplementary 6 kati ya Course 8 alizokuwa akisoma (akawa discontinued).

15. Mwaka huohuo 2007 akaomba Admission upya. Akamaliza first year akiwa na carries 3 ambazo alienda nazo 2nd year. Mwaka 2008 akiwa 2nd year akapata supplementary 4 kati ya course 8 alizokua akisoma. Akawa na mzigo wa carry over na supplementary. Akaamua kuacha chuo.

16. Mwaka 2008 akaenda kujaribu kuomba udahili chuo kikuu SUA kwa mara nyingine lakini akakosa.

17. Mwaka 2009 akarudi tena MUCcoBS kwa udahili mpya. Akaachana na CMA akachagua Community & Economic Development (CED).

18. Mwaka 20012 akahitimu shahada ya kwanza ya Community & Economic Development kwa jina la Paul C Makonda badala ya majina yake halisi ya Daudi Albert Bashite

19. Jina Makonda analitumia baada ya kula kiapo mahakamani kubadili jina. Cheti cha Form four kinasomeka Paul C Muyenge lakini vyeti vya elimu ya juu vinasomeka Paul C Makonda baada ya kuapa mahakamani.

20. Ndugu Daudi Albert Bashite ameoa (tangu mwaka 2009) lakini hajabahatika kupata mtoto. Na ndiye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa.

Simuungi mkono Gwajima kwa kutoa taarifa hii ambayo ni so damaging kwa Daudi Bashite(a.k.a RC Makonda) kwa kuwa ni kinyume cha Christian ethics,let alone a man who claims to be a servant of God and saved.Hii ni kulipiza kisasi,kitu ambacho hakikubaliki kutokana na maandiko!Ni ajabu kwamba wanaojiita waumini wake walionyesha dalili zote za kuunga mkono uovu aliokuwa anaufanya Gwajima,tena madhabahuni.Very shameful indeed.

Hata hivyo tunao wajibu wa kumshauri Ndugu Bashite on the way forward.Tuhuma hizi ni tuhuma nzito sana,na kwa jinsi details zilivyo,hakuna shaka yeyote kwamba taarifa hizo ni za kweli. What does this sums up to,kama kiongozi, RC Makonda huna authority tena mbele ya wale unaowaongoza na hata mbele jamii.Labda Ni wakati muafaka sasa kwa nia njema kabisa to call it quits,kabla hata JPM hajakutumbua. Utasimamiaje kwa mfano maswala yanayohusiana na uaminifu ikiwa wewe mwenyewe ni mbabaishaji?Jitafakari.
 
Wakubwa poleni sana na kazi,

Napenda niwakumbushe jambo moja lililowahi kutokea hapa Tanzania na kuvuta hisia za watu wengi ndani na nje ya nchi. Mchungaji Mwasapile Almaarufu babu wa Samunge aligundua dawa ya miti shamba iliyodhaniwa kuwa inatibu magonjwa mengi ukiwemo UKIMWI.

Watu wengi walikwenda kupata tiba hiyo iliyokuwa ikihusisha unywaji wa dawa kwenye Kikombe. Kimsingi watu wengi waliamini na baadhi yao walikatisha dozi zao za madawa waliyopewa mahospitalini.

Wengi walikufa kutokana na kukatisha dozi. Swala la mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar bwana Makonda na kazi anayofanya kwa manufaa ya wananchi itadumu katika mioyo ya wenye kuhitaji ila wenye kubeza kwa ajili ya kuguswa na kazi hizo watavuma kwa muda mfupi na kisha kusahaulika.

Uteuzi ulipofanyika kwamba Makonda awe RC wabaya wake kwanini hawakuyasema haya ya Bashite? Kwanini sasa?

Nawaomba wananchi wote wenye dhamira ya dhati kuweza kumaliza janga hili la madawa ya kulevya tushikamane na Mkuu wetu wa nchi na viongozi wengine wenye kulitakia mema taifa hili. Muda si mrefu huu upepo wa madai yasiyo na vielelezo utazimika kama Mzee wa Kikombe, a.k.a Mwasapile.
 
Ukiambiwa hii vita ni ngumu ningumu kweli sio mchezo uzuri wa Daud yy anamwangalia mkulu tu wengine hana mda nao na hurka ya mkulu ilivyo anaweza kumpa cheo kikubwa ili watu waongee zaidi
 
Kwani akivitoa hivyo vyeti itakuwaje,?au kweli hana,?ndiyo maana
 
Kwahiyo dawa kwa sasa ni kukaa kimya tu? Nimekuelewa mleta huzi ila kumbuka kuna watu walikaa kimya maofisi wanachapakazi lakini walitumbuliwa sababu ya we mwambie atoe uthibitisho ili awe huru kupiga kazi tumemiss yale makeke yake chezea shule!
 
Kimsingi watu hawakatai hivi vita bali wanahoji utaratibu unaotumika. huu ni utaratibu ambao hauleti positive impact. huku kutajataja badala ya kuchunguza na kukamata. katika vita huwezimawambia najaa hapo au njoo hapa!
Suala la cheti si vita dhidi ya mpambanaji kwa sababu kama ni vita kuishinda ni kuonyesha vyeti tu. kosa halisamehewi kwa sababu ya aina ya huduma anayotoa mtu. Mfano mchungaji hawezi kuachwa kwa kosa kwa sababu tu anaondolea watu mapepo!
 
Kwahiyo dawa kwa sasa ni kukaa kimya tu? Nimekuelewa mleta huzi ila kumbuka kuna watu walikaa kimya maofisi wanachapakazi lakini walitumbuliwa sababu ya we mwambie atoe uthibitisho ili awe huru kupiga kazi tumemiss yale makeke yake chezea shule!
Dogo anapiga kimyakimya
 
Wakubwa poleni sana na kazi,

Napenda niwakumbushe jambo moja lililowahi kutokea hapa Tanzania na kuvuta hisia za watu wengi ndani na nje ya nchi. Mchungaji Mwasapile Almaarufu babu wa Samunge aligundua dawa ya miti shamba iliyodhaniwa kuwa inatibu magonjwa mengi ukiwemo UKIMWI.

Watu wengi walikwenda kupata tiba hiyo iliyokuwa ikihusisha unywaji wa dawa kwenye Kikombe. Kimsingi watu wengi waliamini na baadhi yao walikatisha dozi zao za madawa waliyopewa mahospitalini.

Wengi walikufa kutokana na kukatisha dozi. Swala la mheshimiwa Mkuu wa Mkoa wa Dar bwana Makonda na kazi anayofanya kwa manufaa ya wananchi itadumu katika mioyo ya wenye kuhitaji ila wenye kubeza kwa ajili ya kuguswa na kazi hizo watavuma kwa muda mfupi na kisha kusahaulika.

Uteuzi ulipofanyika kwamba Makonda awe RC wabaya wake kwanini hawakuyasema haya ya Bashite? Kwanini sasa?

Nawaomba wananchi wote wenye dhamira ya dhati kuweza kumaliza janga hili la madawa ya kulevya tushikamane na Mkuu wetu wa nchi na viongozi wengine wenye kulitakia mema taifa hili. Muda si mrefu huu upepo wa madai yasiyo na vielelezo utazimika kama Mzee wa Kikombe, a.k.a Mwasapile.
Umeandika nini? Wakati ulikuwa bado, ukiwavuruga watu kwa kiburi, jeuri, ushetani vinakurudia!
 
I can gather from your post you are trying to defend him!
It is a wise decision to defend him from unfair colloquie. Whichever you prefer to be done against him will be punched instantly. Wengine tunamifano hai ya athari za madawa haya.
 
It is a wise decision to defend him from unfair colloquie. Whichever you prefer to be done against him will be punched instantly. Wengine tunamifano hai ya athari za madawa haya.
Wote tuna mifano, lakini siyo hivyo alivyofanya! Naye ni muovu, vyeti sio vyake, hana tofauti na madawa ya kul;evyo..... education opium....?????
 
a9940f317b5e217558bf4bae8989a09f.jpg
 
Back
Top Bottom