Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Habari wakuu...


Siyo kawaida kwa bwana mdogo Makonda kukaa kimya hasa pale anapotajwa au kuhusishwa na mambo fulani katika Jamii.

Sasa suala la vyeti vya Paul Makonda ni habari iliyopata umaarufu mijini na vijijini, na mbaya zaidi pale inaposemekana anatumia vyeti visivyo vya kwake. Hizi tuhuma siyo nyepesi hivyo Makonda ajitokeze hadharani kujibu kashfa hizi kama alivyokuwa mwepesi kuwahi Clouds Media kutoa series za madawa ya kulevya.


Njoo kibarazani Bw Daudi utuweke wazi.
 
Habari wakuu...


Siyo kawaida kwa bwana mdogo Makonda kukaa kimya hasa pale anapotajwa au kuhusishwa na mambo fulani katika Jamii.

Sasa suala la vyeti vya Paul Makonda ni habari iliyopata umaarufu mijini na vijijini, na mbaya zaidi pale inaposemekana anatumia vyeti visivyo vya kwake. Hizi tuhuma siyo nyepesi hivyo Makonda ajitokeze hadharani kujibu kashfa hizi kama alivyokuwa mwepesi kuwahi Clouds Media kutoa series za madawa ya kulevya.


Njoo kibarazani Bw Daudi utuweke wazi.
Hata mimi nashangaa
 
Samaki akinaswa na ndoano hana ujanja ataishia kuchezacheza tu ila keshaliwa
 
Ana cha kujibu sasa?? Maana kujibu tuhuma napo unatakiwa uwe na point
 
Kuanzia sasa, sichangii uzi wa mtu yeyote unaomhusu bwana mdogo yule, this is too much!
Kila mtu Daudi Bashite, kwani halijaeleweka tu ktk nyuzi za wengine? Hata hii comment yangu nielekezeni namna ya kuifuta niifute!
 
Kumbe hata watu wakubwa hukumbwa Na stress disorder, Daudi bashite katika page yake ya Instagram amepost picha za huzuni Na kujipa moyo kwa kusikiliza mahubiri ya kutia moyo.

sasa Daudi bashite kwanini upate stress disorder. jitokeze, kuwa jasiri ita media zote ,prove it!

nakuonea huruma Daudi bashite !!! usije ukawehuka.
 
f5bc69e4ca44a1d99b4f4332f86a943a.jpg
 
Wewe tena mmmmmmh,

Kumbe humo na huku tangu kuguswa na mh. JPM

Oyaaaaaa
 
Hahahhaha kashfa nyingi anazo hii ya azimio ndio inamvurugia sana kwa sizonje naamini ndio maana mawazo mengi
 
Mimi nauliza wana JF,
Haya majina ya kutumia vyeti vya kughushi inapotokea aliyeghushi akatangulia mbele za Haki, tunakuwa tunamzika nani hasa? Aliyeghushi au aliyeuza cheti? Maana kuna hili sekeseke la huyu kiumbe Daudi Albert Bashite, ikitokea leo akaitwa mbele ya haki tutasema tunamzika nani? Maana hapo ndipo kila kitu kinakuwa hadharani kuanzia wazazi wake, asili yake, alikosoma na nyumbani kwao kijijini ambako kila mtu anamjua!!!

Itakuwaje kwenye mazishi iwapo watu watasikia likitajwa jina la mtu mwingine ambaye hata wazazi,ndugu, jamaa na marafiki hawalitambui hapo kijijini?Pale wanapoandika:

RIP: Jina la Marehemu...........
.Downloading..
KUZ: 19.......
KUF: 20......

WASIFU:.........................
 
Kumbe hata watu wakubwa hukumbwa Na stress disorder, Daudi bashite katika page yake ya Instagram amepost picha za huzuni Na kujipa moyo kwa kusikiliza mahubiri ya kutia moyo.

sasa Daudi bashite kwanini upate stress disorder. jitokeze, kuwa jasiri ita media zote ,prove it!

nakuonea huruma Daudi bashite !!! usije ukawehuka.


Na hospitali ulimpeleka wewe, sasa ni afya hamuishi majanga.

Hapa kazi tu, mtanyooka haswaaaa
 
Back
Top Bottom