Kwani aliishia hapo?Ni aibu mtumishi wa Mungu kuacha kuhubiri neno la Mungu badala yke anahubiri Vyeti vya MAKONDA madhabahuni.
Pia ni aibu kwa mtumishi WA Mungu kuwa Mnafiki,, Makonda amewahi kupandishwa madhabahuni na Gwajima ktk Kanisa lake,, je kwann hakumwambia ubaya WA kutumia Vyeti ambavyo si vyake ?
Yaani anangoja hadi Makonda kamtaja kwenye Nganda,, sasa kawa adui yke. Yaani watu wanaenda kanisani kusali eti wanakutana na mahubiri ya CV ya Makonda.
Hoja yako inasaidia nini, issu hapa sio div 0 tu!!! 0+kufoji!Mbona kuna Mkuu wa mkoa mwingine naye alipata zero
Hivi ndivyo vi ID vinavyoibuka pindi mfadhili anapopigwa za uso tafadhali wew ni mgeni humu hivyo tulia kama unanyolewaPiga kazi MAKONDA OKOA WATOTO WETU!! Hayo ni maneno ya mkosaji Hayana Nguvu!!
WATAISOMA NAMBA CCM MBELE KWA MBELE
Huyo ni makonda mwenyewe...![]()
Hii picha nimekutana nayo muda mrefu mitandaoni ila mimi sikuelewa. Leo katka group flani la Whatsup ikatumwa tena. Mi nikaona hata wakiniona kilaza poa tu acha niulize, hii picha yamaanisha nini? Ndyo wakanifahamisha kuwa aliyelala apo ni Daudi Bashite.
Mpaka sasa sijaamini kama ndye yeye. Na kama ndye yeye basi watanzania nimewaamshia mikono kwa kufukunyua maisha ya watu.
Kabla hujalala ukamwonyeshe post hii upate ujira wako ila usisahau kumkumbusha alete cheti chake maana utamu wa kusoma ni pale unapoambiwa lete cheti na ndani ya dakika chache unakiweka hadharani![]()
CVs za mh. Paul makonda toka ukuu wa wilaya ya Kinondoni mpaka ukuu wa mkoa wa Dar es salaam ni vyeti tosha kabisa kwa kazi yake!
KWA MANENO MENGINE HATUHITAJI VYETI VYOVYOTE VYA MAKONDA BAADA YA KUSHUHUDIA KAZI YAKE, INATOSHA! KAMA MTU KATUONYESHA UWEZO WA KUFANYA MAMBO YALIYOWASHINDA MAPROFESA TUMDAI VYETI VYANINI WAKATI ELIMU YAKE KWA VITENDO HAIPIMIKI KWA VIWANGO VYOTE VYA 'UNIVERSITY'?