Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Hiyo pichwa ilipostiwa mtandaoni na mmoja wa walio kwenye picha hiyo mara tu baada ya makonda kuchaguliwa kuwa mkuu wa mkoa, alipost akimaanisha ' huwezi jua kesho utakuwa wapi' nakumbuka mpaka aliepost alipigiwa simu na clouds kuhojiwa maswali kadhaa
 
yani makonda alitaka watu wasijadili dar kuwa ya mwisho, akaleta sakata la mihadarati lakini naona yatamtokea puani sasa
 
Duh Leo mkuu wa mkoa
 
Huu mkoa utauhama siyo kwakua maisha magumu ila unasemwa sana yaani sana, sasa hivi RC ndiyo kasababisha kila mtu aukodolee.
 
Ndio maana anapotezea sana suala la matokeo mabaya ya kidato cha nne Mkoa wa Dar es Salaam kumbe mwenyewe kichwa maji alipiga zero
 
Sidhani kama hiyo ni sababu ya kufeli mimi nilikua mzee wa umabo ila sikutaga.
 
nashauri kuwe na IQ test kujiunga na jamii forum naona sasa wale wa facebook na istagram wamevamia. nilikuwa najifunza vitu vingi kupitia hapa lakini kwa sasa....mmmh!!!
 
Wenzake wanakula book yeye ametia mbonji. Ndio maana disco kibao
 
Nimecheka sana.
 
Wakikitaka cheti chako kinapatikana tu. Hata huko necta kuna watu ambao anawakera kwa hiyo lazima cheti kipo. Kuna sehemu aliomba kazi vitakuwepo tu wala hii siyo siri. Hata ndani ya nyumba kuna ambao hakubaliani naye kwenye mitaa anakokaa wale pia siyo Wema. Ukiwa na busara watakusitiri lakini ukimchimba kila mtu watakuchimba na wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…