Mbona kuna Mkuu wa mkoa mwingine naye alipata zero
Waliotumia vyeti vya wengine au majina ya wengine wapo wengi ila huyu Makonda alizidi kwani wakati anajua ni mwizi ana cheti cha darasa la saba tu angeendesha maisha yanayofanana na maisha ya kobe(tortoise) kwa kujifichajificha mpaka astaafu lakini kafanya blunder ya karne!!!!!!!!!!!!
