mjombaa5576
Member
- Feb 15, 2017
- 14
- 1
HahahahahaYaani watu kiboko, huku wenzake wanakata book yeye anapiga usingizi tu.Labda wanaonyesha jinsi alivyo genious.
HahahahahaYaani watu kiboko, huku wenzake wanakata book yeye anapiga usingizi tu.Labda wanaonyesha jinsi alivyo genious.
picha inaonyesha huyo mmoja amelala wenzake wanne wanapiga kitabu![]()
Hii picha nimekutana nayo muda mrefu mitandaoni ila mimi sikuelewa. Leo katka group flani la Whatsup ikatumwa tena. Mi nikaona hata wakiniona kilaza poa tu acha niulize, hii picha yamaanisha nini? Ndyo wakanifahamisha kuwa aliyelala apo ni Daudi Bashite.
Mpaka sasa sijaamini kama ndye yeye. Na kama ndye yeye basi watanzania nimewaamshia mikono kwa kufukunyua maisha ya watu.
Ohooooo!!!hizi division 0 zitaendelea Sana ukizingatia mwenye mkoa huu nae ni muathirika wa division 0
Hiyo DP yako inaonesha kwa sura kama kuna kitu umekalia vile kinakutekenya?Kweli hata za zamani tulishaziona bado mnarusha, naamini mnampenda sana Mh. Makonda. Utafikiri nyie hamkulala mkiwa mnasoma
Hapa kazi tu
Wanafunzi WA Dar asa wale walio katika Shule Za kata wengi wao awafiki shule utawakuta wamejazana kwenye fukwe za bahari (Beaches) mbaya zaidi wakiwa wamevaa sale Za Shule. Nadhani wahusika wawachukulie ataua pamoja na jamii endapo watakutwa uko mida ya shule wakiwa na sale Zao
Sare sio saleWanafunzi WA Dar asa wale walio katika Shule Za kata wengi wao awafiki shule utawakuta wamejazana kwenye fukwe za bahari (Beaches) mbaya zaidi wakiwa wamevaa sale Za Shule. Nadhani wahusika wawachukulie ataua pamoja na jamii endapo watakutwa uko mida ya shule wakiwa na sale Zao