Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

ficha ujinga wako wewe

Watu kama wewe Jf mmefikaje. Adm unapokea mpka watu wasiojua kuna tofauti ya maoni na kufikiri. Sasa mjinga nani kama sio wewe huna argument unakashfu tu. Hujiulizi kama anaweza akawa hata sponsor wako anayekulipia ada yako ya form 2 kama kweli unasoma.
 
Mipoliccm inasubiri nini kumkamata Daudi? Huyu Daudi aka Makonda upo uwezekano ni jasusi kubwa
 
Aaah mama ashaua hapo,
Ubaya naskia hawana mtoto
Maana wangekuwa na mtoto at least wangesema aka yake ni Daudi.

Ila pia kosa la Bashite aka Makonda, siyo kufeli kosa ni forgery, kama kufeli, kina Mbowe na Ole sendekea walisha feli na wanapiga mzigo fureshi tuu.
Makonda or Bashite or whoever ajitokeze kujibu tuhuma maana hali ishakuwa mbaya hapa.
Yani hapa sio suala la Bashite kujitokeza kujibu tuhuma, ni suala la polisi kumkamata Bashite na kumfikisha kortini. Alichofanya ni jinai!
 
Mara nyng njia unayotumia kupanda ngaz ndyo utakayoshukia bwana daudi alichagua shortcut way kufikia kilele cha mafanikio na kweli alifanikiwa kwan akiwa kijana mdogo below 30 ashakuwa mtu muhimu na mwenye nguvu ktk serikali sasa naliona anguko lake ktk njia ileile aliyopandia ni muda tu utaongea
 
Ingia Instagram angalia nkipal ni nani, onganisha doti then subili episode inayo fuata
Alafu hadi Davido kalike
49fe158f4ad883ea137883d0e2d41b05.jpg
 
Huwezi kumhukumu mtu kwa kuangalia picha tu,huwezi jua huyo aliyelala pengine siku hiyo alikua hajisikii vizuri,pengine alikua ana umwa na kichwa so,akaamua ajipumzishe kidogo,

Pia upo uwezekano kua huenda labda yeye alianza mapema zaidi ya hao wenzake kujisomea na hapo wenzake walikua wanamalizia jambo fulani tu dogo so, yeye akaamua apumzike,

Ziko sababu nyingi tu za kuitafsiri hiyo picha ila mleta mada umeamua kuitafsiri in a negative way only,

Naona Jamii forums sasa inageuka na kua kawa Instagram,kuna team Makonda na kuna team Wema!!
JF irejeshe hadhi yake,sio kila unachokiokota huko kwenye magroup ya WhatsApp basi unakimbia mbio kuja kuanzisha thd humu, sio kwamba nawapangia watu vitu vya kujadili hapana sina maana hiyo, jf irudi katika ubora wake.
Acha kutetea ujinga.angekuwa anajisomea kama wenzie asingepata zero mkuu
kumbe hili bwabwa lilikua kilaza toka zamani
 

Cardinal Pengo ni msomi mwenye busara, I believe angefanya appointment na Rais watete na Rais angalichua hatua bila mtumishi wa Mungu kumkwazo kondoo wake! Anyway kila binadamu na staili yake ya kuta wala kama makonda alivyoamua kuwatuhumu raia wema na wabaya!
 
Tulizoea uhakiki wa vyeti wa kuangalia kama cheti ni feki au halisi, ila kwa huyu jamaa anatakiwa akahakikiwe kijijini kwao. tena taarifa za kuhakiki zotoke kwa jirani yake aliyemnyima chumvi.

Kuna classmates wa Rc Makonda form one mpaka form four, kulikuwa na vilanja, waalimu wake mpaka form four, mwalimu mkuu, waalimu wa taaluma, sasa shida iko wapi, kila terminal exams form one mpaka four na kadhalika......
 
Back
Top Bottom