Zemanga zoze
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 1,019
- 1,734
bashite kwa kilugha chetu ni kujamba
mfano apo mheshimiwa alivolala huenda akabashite
mfano apo mheshimiwa alivolala huenda akabashite
ficha ujinga wako wewe
akiifuta tu itakuwa evidence kabisa kuwa daudi beshite ndio huyo huyo haswaaSasa baada ya hili vuguvugu kuanza angeifuta haraka kabla haijatiliwa maanani.. Au ndio mpango wa Mungu?
Yani hapa sio suala la Bashite kujitokeza kujibu tuhuma, ni suala la polisi kumkamata Bashite na kumfikisha kortini. Alichofanya ni jinai!Aaah mama ashaua hapo,
Ubaya naskia hawana mtoto
Maana wangekuwa na mtoto at least wangesema aka yake ni Daudi.
Ila pia kosa la Bashite aka Makonda, siyo kufeli kosa ni forgery, kama kufeli, kina Mbowe na Ole sendekea walisha feli na wanapiga mzigo fureshi tuu.
Makonda or Bashite or whoever ajitokeze kujibu tuhuma maana hali ishakuwa mbaya hapa.
Alafu hadi Davido kalikeIngia Instagram angalia nkipal ni nani, onganisha doti then subili episode inayo fuata
Ile ni fake news media ,CNN. Kwa mujibu wa Trump.Wabongo bwana utadhani wanafanya kazi CNN
Wauza ngada???unawajua???mtaje aliyeshtakiwa kwa kuuza ngada tzLakini kayatikisa mauza udaga mpaka yameanza kufukunyua ya sirini
Acha kutetea ujinga.angekuwa anajisomea kama wenzie asingepata zero mkuuHuwezi kumhukumu mtu kwa kuangalia picha tu,huwezi jua huyo aliyelala pengine siku hiyo alikua hajisikii vizuri,pengine alikua ana umwa na kichwa so,akaamua ajipumzishe kidogo,
Pia upo uwezekano kua huenda labda yeye alianza mapema zaidi ya hao wenzake kujisomea na hapo wenzake walikua wanamalizia jambo fulani tu dogo so, yeye akaamua apumzike,
Ziko sababu nyingi tu za kuitafsiri hiyo picha ila mleta mada umeamua kuitafsiri in a negative way only,
Naona Jamii forums sasa inageuka na kua kawa Instagram,kuna team Makonda na kuna team Wema!!
JF irejeshe hadhi yake,sio kila unachokiokota huko kwenye magroup ya WhatsApp basi unakimbia mbio kuja kuanzisha thd humu, sio kwamba nawapangia watu vitu vya kujadili hapana sina maana hiyo, jf irudi katika ubora wake.
kumbe hili bwabwa lilikua kilaza toka zamani
Chadema ndio walifoji vyeti vyake mkuu?Mmh! Kila ck Makonda Chadema wana siasa za ajabu Sana, kwa mwendo huu mnategemea kushika nchi kwek? Labda nchi kavu
Nawe elimu yako LANDA???Landa yeye ndiye aliwapa maswali hayo wafanye
Duuu kumbe bashite alikuwa anatia msuli ila bado akapata zero tuTatatizo lipo wapi Kila mtu ana muda wake wa kusoma. Kuna watu wanatabia kwenda kusoma saa 6, 9,10 usiku wakati wenzio ndo wanaenda kulala.
Hapo alikuwa kashamjua wa kumuuzia vyeti ndo maana hakuona haja ya kukaza msuli..
cc pengo
Tulizoea uhakiki wa vyeti wa kuangalia kama cheti ni feki au halisi, ila kwa huyu jamaa anatakiwa akahakikiwe kijijini kwao. tena taarifa za kuhakiki zotoke kwa jirani yake aliyemnyima chumvi.