Jambo kubwa ni kuwa waungwana na kuachia ofisi ya Umma mkavue samaki maana nasikia mmesomea uvuvi ati, alaaa...kuendelea kushupaza shingo na kubishana na umma mtasababisha lile LIBASHITE likuu la Magogoni nalo PhD yake ifukunyuliwe, na mnajua hayuko salama kivile!Sakata la Makonda
Najiuliza:-
1. Kwanza tangu lini MTU aliyepata div 0 akapata cheti cha Necta?
2. Gwajima ametoa wapi cheti chenye Zero wakati Serikali haitoi cheti hicho cha Zero?
3. Ni lini Baraza la mitihani limeanza kutoa vyeti kwa mtu yeyote aliyehitaji hata kama sio vyake?
4. Inawezekana vipi Watu wawili kumiliki vyeti original vya aina moja?
5. Watumishi wote wa umma na wa Serikali walifanyiwa zoezi la uhakiki wa vyeti, kama Gwajima alikuwa navyo vyeti original na ana uhakika Makonda anadanganya juu ya vyeti vyake alikuwa wapi kujitokeza kumuwekea pingamizi Makonda mpaka asubiri aguswe kwanza ndio aibuke?
Shilatu E. J
Division zero INA cheti?Gwajima tupostie vyeti vya mtu yule kidadeki siafu kakamata korodani za daudi bashite tuone kama hatavua nguo amtoe
Mimi macho kodo nione utupu wa Daudi
Ni hatari kufukua kaburi maana utakuta marehemu bado ana harufu cjui utamkimbia akati unamfahamu.Hili la Makonda limekwisha...nasubiri sasa ile PhD feki; Dr gani hawezi kuongea hata sentensi moja ya kimombo fasaha hadi anazidiwa na watoto wa Grade 1 pale St.Mary's?

Na hapo ndipo watz tulipofungwa akili zetu,tunafuata mkumbo tu,div 0 na cheti wapi na wapi?Tokea lini div 0, akapewa certificate? Miaka hiyo anasoma Makonda mtu alipata div 0, kulikuwa hakuna cheti
Sakata la Makonda
Najiuliza:-
1. Kwanza tangu lini MTU aliyepata div 0 akapata cheti cha Necta?
2. Gwajima ametoa wapi cheti chenye Zero wakati Serikali haitoi cheti hicho cha Zero?
3. Ni lini Baraza la mitihani limeanza kutoa vyeti kwa mtu yeyote aliyehitaji hata kama sio vyake?
4. Inawezekana vipi Watu wawili kumiliki vyeti original vya aina moja?
5. Watumishi wote wa umma na wa Serikali walifanyiwa zoezi la uhakiki wa vyeti, kama Gwajima alikuwa navyo vyeti original na ana uhakika Makonda anadanganya juu ya vyeti vyake alikuwa wapi kujitokeza kumuwekea pingamizi Makonda mpaka asubiri aguswe kwanza ndio aibuke?
Shilatu E. J
Uchungaji wa kipindi hiki hauhitaji hadi uwe na Elimu ya juu. Mtu akishakuwa na uwezo wa kuongea sana, kukemea mapepo na kuwa na mikakati ya kuweza kushawishi waumini watoe sadaka, basi unakuwa mchungaji. Mimi hakuna mchungaji ninayemtoa thamani kama huyu mchungaji Gwajima. Kama angekuwa na hicho cheti, basi angekitoa hadharani na kukionyesha humo kanisani mwake ili waumini wake wakione. sasa yeye bado analeta blaablaa.Hakika mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,siku ya jana wengi tumesikia audio ya mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima ndugu Josephat Gwajima ikiwa imelenga kujibu mashambulizi dhidi ya mkuu wa mkoa mh Paul makonda,katika sakata linalotuhumu u halali wa elimu aliyonayo mkuu huyu wa mkoa.
Moja ya vitu vilivyotamkwa na kiongozi huyu wa dini ni kuwa anamiliki vyeti vyote vya mh Paul makonda kile alichoPata division zero na hicho chakugushi.
Mchungaji Gwajima kwa kauli hii ya kumiliki cheti cha mtu mwenye division zero inaalalisha uongo maradufu kwani,kuanzia nnchi hii imepata uhuru NECTA haijawahi kutengeneza cheti cha mtu aliyepata sifuri,Ni aibu kwa mtumishi wa Mungu tena mwenye wafuasi wengi kiasi chako kutumia madhabahu kuongea uongo.mh gwajima huenda akawa napoint dhidi ya elimu ya makonda ila ameitamka kwa kukurupuka,mh Gwajima zungumza kwa kutulia,bado tutatega sikio kukusikiliza na wala hatutakupuza..
CV ya hapa na pale!*CV YA PAUL MAKONDA*
1. Alizaliwa tar.15/02/1981 katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.
2. Majina yake halisi ni *Daudi Albert Bushite*
3. Alianza darasa la kwanza mwaka 1988 katika shule ya msingi Koromije akitumia majina ya *Daudi Albert Bushite*. Mwaka 1991 alifeli darasa la 4, akarudia.
4. Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition).
5. Mwaka 1996 alihitimu darasa la 7 lakini hakuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya serikali.
6. Mwaka 1997 akajiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya Pamba.
7. Mwaka 2000 akahitimu kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero).
8. Mwaka 2001 akatumia cheti cha Ndg.Paul Christian Muyenge (chenye div.3 ya points 25) kujiunga na chuo cha uvuvi Nyegezi (Nyegezi Fisheries Training Institute) kwa masomo ya Certificate akahitimu mwaka 2002.
9. Mwaka huohuo 2002 akitumia cheti cha *Ndg.Paul Christian Muyenge*, alijiunga na Chuo cha uvuvi Mbegani Bagamoyo kwa masomo ya Diploma ya uvuvi (ORDINARY DIPLOMA IN MASTER FISHERMAN, NTA LEV.6), na kuhitimu mwaka 2005.
10. Mwaka 2003 alikutana na Ndg.Benjamin Sitta (mtoto wa Marehemu Samwel Sitta, ambaye ni Mayor Kinondoni kwa sasa). Wakawa marafiki.
11. Mwaka 2005 baada ya kuhitimu Stashahada yake ya uvuvi, aliomba admission Chuo cha Kilimo Sokoine kusoma shahada lakini akakosa nafasi.
12. Baada ya kukosa nafasi alienda kuishi nyumbani kwa Marehemu Sitta akiwa kama rafiki wa Ben (mtoto wa Sitta). Kwakuwa alitoka familia duni, Sitta aliahidi kumsomesha elimu ya juu.
13. Mwaka 2006, alipata udahili Chuo cha ushirika na biashara Moshi (wakati huo kikiwa chuo kikuu kishiriki cha SUA), kwa kutumia vyeti vyake vya certificate (ya Nyegezi) na diploma (ya Mbegani).
14. Alidahiliwa kwa course ya BA in Cooperate Management &Accounting. Mwaka 2007 alimaliza first year lakini akashindwa kuendelea na 2nd year baada ya kupata Suplementary 6 kati ya Course 8 alizokua akisoma (akawa discontinued).
15. Mwaka huohuo 2007 akaomba Admission upya. Akamaliza first year akiwa na _carries 3_ ambazo alienda nazo 2nd year. Mwaka 2008 akiwa 2nd year akapata supplementary 4 kati ya course 8 alizokua akisoma. Akawa na mzigo wa _carry over_ na _supplementary_. Akaamua kuacha chuo.
16. Mwaka 2008 akaenda kujaribu kuomba udahili chuo kikuu SUA kwa mara nyingine lakini akakosa.
17. Mwaka 2009 akarudi tena MUCcoBS kwa udahili mpya. Akaachana na CMA akachagua Community &Economic Development (CED).
18. Mwaka 20012 akahitimu shahada ya kwanza ya Community &Economic Development kwa jina la *_Paul C Makonda_* badala ya majina yake halisi ya *_Daudi A Bushite_*
19. Jina *_Makonda_* analitumia baada ya kula kiapo mahakamani kubadili jina. Cheti cha Form four kinasomeka *_Paul C Muyenge_* lakini vyeti vya elimu ya juu vinasomeka *_Paul C Makonda_* baada ya kuapa mahakamani.
20. Ndugu Daudi Albert Bushite ameoa (tangu mwaka 2009) lakini hajabahatika kupata mtoto. Na ndiye mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa.
Siasa za kibongo ni hatari sana.....
Wakiamua kitu watasaka hadi kaburi la bibi yako♂
♂
![]()
inamgharimu sana kwa jinsi ninavyoliona hili jamboMkuu ukiishi na watu vizuri bila kuwaonea na kuwadhalilisha Hamna MTU hata mmona atakaetaka kujua mapungufu yako.....
Ukiwaumiza watu lazma watafute pa kukuumizaaaa