Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Sakata la Makonda

Najiuliza:-

1. Kwanza tangu lini MTU aliyepata div 0 akapata cheti cha Necta?

2. Gwajima ametoa wapi cheti chenye Zero wakati Serikali haitoi cheti hicho cha Zero?

3. Ni lini Baraza la mitihani limeanza kutoa vyeti kwa mtu yeyote aliyehitaji hata kama sio vyake?

4. Inawezekana vipi Watu wawili kumiliki vyeti original vya aina moja?

5. Watumishi wote wa umma na wa Serikali walifanyiwa zoezi la uhakiki wa vyeti, kama Gwajima alikuwa navyo vyeti original na ana uhakika Makonda anadanganya juu ya vyeti vyake alikuwa wapi kujitokeza kumuwekea pingamizi Makonda mpaka asubiri aguswe kwanza ndio aibuke?

Shilatu E. J
 
Sakata la Makonda

Najiuliza:-

1. Kwanza tangu lini MTU aliyepata div 0 akapata cheti cha Necta?

2. Gwajima ametoa wapi cheti chenye Zero wakati Serikali haitoi cheti hicho cha Zero?

3. Ni lini Baraza la mitihani limeanza kutoa vyeti kwa mtu yeyote aliyehitaji hata kama sio vyake?

4. Inawezekana vipi Watu wawili kumiliki vyeti original vya aina moja?

5. Watumishi wote wa umma na wa Serikali walifanyiwa zoezi la uhakiki wa vyeti, kama Gwajima alikuwa navyo vyeti original na ana uhakika Makonda anadanganya juu ya vyeti vyake alikuwa wapi kujitokeza kumuwekea pingamizi Makonda mpaka asubiri aguswe kwanza ndio aibuke?

Shilatu E. J
Jambo kubwa ni kuwa waungwana na kuachia ofisi ya Umma mkavue samaki maana nasikia mmesomea uvuvi ati, alaaa...kuendelea kushupaza shingo na kubishana na umma mtasababisha lile LIBASHITE likuu la Magogoni nalo PhD yake ifukunyuliwe, na mnajua hayuko salama kivile!
 
  • Thanks
Reactions: Qj_
Yaan mtasema yote kumbe viongoz wengine wapo kwa ajili ya kuchafulia basi embu wekeni wazi
 
Mzee wa kuuchapa usingizi kweli hayo matokeo ameendana nayo vizuri
68bbef0b261fd982efe6706f83b5e7ad.jpg
 
Kosa lingine Makonda anashindwa kuelewa anadhani anapambana na Gwajima as individual. Gwajima ni institution, ana waumini wengi sana. Lakini kuna watu wengi sana wako kinyume na Makonda wako serikalini, wengine ni watumishi, wengine ni wanasiasa, tena ambao wanajua details zote za mhusika. kwa hiyo wanachofanya kwa kuwa hawana uwezo wa kusema wao wenyewe, wanapeleka kwa Gwajima anapasua pwaaaaaaaaaaaaaaaah.
 
Hapo ndo najiuliza, huyu hawezi kweli kupunguza waumini kwa style hii ya kugeuza madhabahu kuwa sehemu ya mipasho ktk masala ya kisiasa?
 
Hili la Makonda limekwisha...nasubiri sasa ile PhD feki; Dr gani hawezi kuongea hata sentensi moja ya kimombo fasaha hadi anazidiwa na watoto wa Grade 1 pale St.Mary's?
Ni hatari kufukua kaburi maana utakuta marehemu bado ana harufu cjui utamkimbia akati unamfahamu.
 
gwajima ni docta....anawatibu wanaojitoa akili...
makonda kumbe mzito sanaaaa darasani..hivi vi..laza aliosema mkhulu sindo kama hawa....
alafu jamaa bashite anapenda shortcut sanaaa..kutoka kimaisha kwa shortcut..alafu tangu aoe tangu 2009,,hadi leo hana mtoto?????????????kulikoni bashitee
 
Fikria nje ya boks bas, hivi matokeo ya jumla yenye zero huachwa?

Sakata la Makonda

Najiuliza:-

1. Kwanza tangu lini MTU aliyepata div 0 akapata cheti cha Necta?

2. Gwajima ametoa wapi cheti chenye Zero wakati Serikali haitoi cheti hicho cha Zero?

3. Ni lini Baraza la mitihani limeanza kutoa vyeti kwa mtu yeyote aliyehitaji hata kama sio vyake?

4. Inawezekana vipi Watu wawili kumiliki vyeti original vya aina moja?

5. Watumishi wote wa umma na wa Serikali walifanyiwa zoezi la uhakiki wa vyeti, kama Gwajima alikuwa navyo vyeti original na ana uhakika Makonda anadanganya juu ya vyeti vyake alikuwa wapi kujitokeza kumuwekea pingamizi Makonda mpaka asubiri aguswe kwanza ndio aibuke?

Shilatu E. J
 
Hakika mnyonge mnyongeni haki yake mpeni,siku ya jana wengi tumesikia audio ya mchungaji wa kanisa la ufufuo na uzima ndugu Josephat Gwajima ikiwa imelenga kujibu mashambulizi dhidi ya mkuu wa mkoa mh Paul makonda,katika sakata linalotuhumu u halali wa elimu aliyonayo mkuu huyu wa mkoa.
Moja ya vitu vilivyotamkwa na kiongozi huyu wa dini ni kuwa anamiliki vyeti vyote vya mh Paul makonda kile alichoPata division zero na hicho chakugushi.
Mchungaji Gwajima kwa kauli hii ya kumiliki cheti cha mtu mwenye division zero inaalalisha uongo maradufu kwani,kuanzia nnchi hii imepata uhuru NECTA haijawahi kutengeneza cheti cha mtu aliyepata sifuri,Ni aibu kwa mtumishi wa Mungu tena mwenye wafuasi wengi kiasi chako kutumia madhabahu kuongea uongo.mh gwajima huenda akawa napoint dhidi ya elimu ya makonda ila ameitamka kwa kukurupuka,mh Gwajima zungumza kwa kutulia,bado tutatega sikio kukusikiliza na wala hatutakupuza..
Uchungaji wa kipindi hiki hauhitaji hadi uwe na Elimu ya juu. Mtu akishakuwa na uwezo wa kuongea sana, kukemea mapepo na kuwa na mikakati ya kuweza kushawishi waumini watoe sadaka, basi unakuwa mchungaji. Mimi hakuna mchungaji ninayemtoa thamani kama huyu mchungaji Gwajima. Kama angekuwa na hicho cheti, basi angekitoa hadharani na kukionyesha humo kanisani mwake ili waumini wake wakione. sasa yeye bado analeta blaablaa.
 
*CV YA PAUL MAKONDA*

1. Alizaliwa tar.15/02/1981 katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.

2. Majina yake halisi ni *Daudi Albert Bushite*

3. Alianza darasa la kwanza mwaka 1988 katika shule ya msingi Koromije akitumia majina ya *Daudi Albert Bushite*. Mwaka 1991 alifeli darasa la 4, akarudia.

4. Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition).

5. Mwaka 1996 alihitimu darasa la 7 lakini hakuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya serikali.

6. Mwaka 1997 akajiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya Pamba.

7. Mwaka 2000 akahitimu kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero).

8. Mwaka 2001 akatumia cheti cha Ndg.Paul Christian Muyenge (chenye div.3 ya points 25) kujiunga na chuo cha uvuvi Nyegezi (Nyegezi Fisheries Training Institute) kwa masomo ya Certificate akahitimu mwaka 2002.

9. Mwaka huohuo 2002 akitumia cheti cha *Ndg.Paul Christian Muyenge*, alijiunga na Chuo cha uvuvi Mbegani Bagamoyo kwa masomo ya Diploma ya uvuvi (ORDINARY DIPLOMA IN MASTER FISHERMAN, NTA LEV.6), na kuhitimu mwaka 2005.

10. Mwaka 2003 alikutana na Ndg.Benjamin Sitta (mtoto wa Marehemu Samwel Sitta, ambaye ni Mayor Kinondoni kwa sasa). Wakawa marafiki.

11. Mwaka 2005 baada ya kuhitimu Stashahada yake ya uvuvi, aliomba admission Chuo cha Kilimo Sokoine kusoma shahada lakini akakosa nafasi.

12. Baada ya kukosa nafasi alienda kuishi nyumbani kwa Marehemu Sitta akiwa kama rafiki wa Ben (mtoto wa Sitta). Kwakuwa alitoka familia duni, Sitta aliahidi kumsomesha elimu ya juu.

13. Mwaka 2006, alipata udahili Chuo cha ushirika na biashara Moshi (wakati huo kikiwa chuo kikuu kishiriki cha SUA), kwa kutumia vyeti vyake vya certificate (ya Nyegezi) na diploma (ya Mbegani).

14. Alidahiliwa kwa course ya BA in Cooperate Management &Accounting. Mwaka 2007 alimaliza first year lakini akashindwa kuendelea na 2nd year baada ya kupata Suplementary 6 kati ya Course 8 alizokua akisoma (akawa discontinued).

15. Mwaka huohuo 2007 akaomba Admission upya. Akamaliza first year akiwa na _carries 3_ ambazo alienda nazo 2nd year. Mwaka 2008 akiwa 2nd year akapata supplementary 4 kati ya course 8 alizokua akisoma. Akawa na mzigo wa _carry over_ na _supplementary_. Akaamua kuacha chuo.

16. Mwaka 2008 akaenda kujaribu kuomba udahili chuo kikuu SUA kwa mara nyingine lakini akakosa.

17. Mwaka 2009 akarudi tena MUCcoBS kwa udahili mpya. Akaachana na CMA akachagua Community &Economic Development (CED).

18. Mwaka 20012 akahitimu shahada ya kwanza ya Community &Economic Development kwa jina la *_Paul C Makonda_* badala ya majina yake halisi ya *_Daudi A Bushite_*

19. Jina *_Makonda_* analitumia baada ya kula kiapo mahakamani kubadili jina. Cheti cha Form four kinasomeka *_Paul C Muyenge_* lakini vyeti vya elimu ya juu vinasomeka *_Paul C Makonda_* baada ya kuapa mahakamani.

20. Ndugu Daudi Albert Bushite ameoa (tangu mwaka 2009) lakini hajabahatika kupata mtoto. Na ndiye mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa.



Siasa za kibongo ni hatari sana.....

Wakiamua kitu watasaka hadi kaburi la bibi yako‍♂‍♂
CV ya hapa na pale!
 
Mkuu ukiishi na watu vizuri bila kuwaonea na kuwadhalilisha Hamna MTU hata mmona atakaetaka kujua mapungufu yako.....
Ukiwaumiza watu lazma watafute pa kukuumizaaaa
inamgharimu sana kwa jinsi ninavyoliona hili jambo
 
Vipo na miaka ya,kwa wale waliomaliza miaka 2003 kushuka walikuwa wanapewa ndo serikali ikasitisha na kuanza kuwanyima 2004 na kuendelea
 
Back
Top Bottom