Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mkuu malipo ya ubaya ni hapahapa duniani na siku zote ubaya hauna kwao inafaa atumbuliwe kwa style ile aliyofanyiwa marehemu kabwe "nimtumbue nisimtumbue mtumbueeeeee!"
Watu tumbuaaaaaaaaa hahahahahahahaha

Unataka kukimbia na hauna breki.......
 
Hoja nzito hii. Sijafurahishwa na jinsi issue ya Makonda inafanywa. Sio utu kabisa. Kama Makonda alikosea kuwataja watu kwa nini na sisi tunafanya kosa lilelile? Tena askofu. Too bad and pathetic
Kamanda, siku zote usiwe na kiburi na majivuno. Watu watakupenda sana na utawahukumu watu bila wao kulalamika. Ukiwa jeuri na ufedhuli hatabkama mtu anamakosa utaonekana ynawanyanyasa watu na wakipata nafasi jiandae,
 
Japo sioni tofauti kati ya Pogba mwenye phd na makonda mwenye zero......WOTE WANAONGEA NA KUTENDA KM HAWANA AKILI KICHWANI
 
Kamanda, siku zote usiwe na kiburi na majivuno. Watu watakupenda sana na utawahukumu watu bila wao kulalamika. Ukiwa jeuri na ufedhuli hatabkama mtu anamakosa utaonekana ynawanyanyasa watu na wakipata nafasi jiandae,
Kasahau kuwa ukiwa unaishi kwenye nyumba ya viooo kamwe usianzishe vita ya mawe2
 
Dah siyo kwa kuachwa huko uchi!! Jamaa wamemsasambua viwalo vyote!!
 
Jamaa kilaza kweli kweli
Darasa la nne miaka mitatu
Chuoni supplementary sita kati ya nane
Ndio maana uongozi wake ni wa kimagumashi magumashi
 
Makonda muombe msamaha gwajima.si MTU poa huyo.muulize mbasha na pengo.
Labda Mbasha, Pengo aliamua kunyamaza tu, katoliki mafundisho makubwa ni kusamehe na kunyamaza, wala sio kwamba ni kiboko ya pengo! Labda ni kiboko ya Mbasha alivyomgongea Florah
 
Topic: "factors affecting the progress of Tanzania as a country despite having abundant resources"
JK alisema hajui kwa nini TZ ni masikini na JPM alikuwa ametuahidi kuwa tutakuwa tunatoa misaada kwa wengine japo silioni hili. Hapa naoa mwenye jibu la kutusaidia lakini chungu kumeza ni dada yetu Prof. Ndalichako!
Inawezekana kupiga hatua kama nchi kwa kuwa na watu makini wasiosoma lakini si wenye elimu bandia!
Maana sisi tusiosoma tunanyanyaswa sana na hawa so called wasomi na juhudi za waziri za kusafisha uonzo katika elimu hadi kufikia hatua ya kufuta degree za watu ambao walisha maliza vyuo kitambo zinzweza kuonekana ni za ajabu lakini hakuna namna, inabidi waachie hizo degree regardless walipewa na wakuu wa vyuo husika!
 
Achs kudanganya umma. Hapa ni kashfa kwa mtumishi. Sasa mtumishi ndo alipe kisasi. Biblia yako we unaisoma kama novel. Ujumbe wa Mungu uko wazi atakayevumilia mpka mwisho ndo atakayeokoka. Mchungaji kazi yake ni kuwafanya watu wamkaribie Mungu iwe kwa kusema. Kuonya. Kukaripia nk itakuwa mtume Paulo sikumbuki. Lakini yeye magumu yanapomkuta anapaswa kumkabidhi Mungu. Kibinadamu angeweza kujieleza yeye kuwa hauzi wala hatumii. Mali zake anazipata kwa njia hihi na hii nk. Lakini sio sasa kumfuatilia mtu. Huo sio unabii ni ushambenga. Sisi wakristo njia. Yetu ni Kristo. Ukweli wetu ni Kristo na uzima wetu ni Kristo. Kama yeye alivyokabidhi mateso yake. Mwanafunzi wake. Mkristo hupaswa kukabidhi mateso na mahangaiko kwa bwana. Njia hii ni ngumu. Sio rahisi. So. Makonda awe na makosa yake. Ok but sio kazi ya askofu kukaa kanisani na kuropoka. Its never done like that. He is or ought to be a Man of God. Now kama ataanza kutumia neno hivyo je akinza na siri za waamini wake anaowahudumia.
Dawa ya moto ni moto
 
Turudi kwenye misingi ya utu aise. Hatutafika kwa style hii. Tuheshimiane na kukosoana kwa busara. Wanaoongoza na wanaoongozwa.
Busara? Wewe unazungumzia busara utawala huu. Ngoja tuvuane nguo kila mmoja abaki uchi baada ya hapo watu watachagua maneno yakusema akijua akifanya ufedhuli kesho ameanikwa kila kitu
 
sawa Paul Christian Muyenge yuko wapi? yuko hai? anafanya kazi gani? alifikaje pale alipofika kama aliuza cheti??
 
Hapo anaomba bunge lisianze maana msukuma kasheku anamsubiria kwa hamu ili amhenyeshe
 
Back
Top Bottom