Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,809
Shule ya msingi tu amesoma miaka 9!!!
Albert Malyangili Bashite
Tuliza mshono wewe!!! Kima kasoro mkia!!
"Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa"Lugha lugha, wafuasi wa Gwajima utawajuwa kwa lugha wanayotummia, lugha ya kihuni, na si ya mtu mwenye kufuata dini. Watatumia kila aina ya lugha kuficha maovu yao na kutetea kanisa lao ambalo linawadanganya watu na sadaka zao. Hawa watu ni matajiri kwasababu wafuasi wao ni masikini. Kitu kidogo walichonacho wanapeleka kanisani kwa madhumuni ya kubalikiwa kumbe wanapeleka kwa shetani. Wafuwasi wa Gwajima wanahitaji maombi wafunguwe macho yao wawaone wezi wanaowazunguka. Pesa za wanyonge Gwajima ndizo zinampa majivuno. Ati NDEGE yangu ! Mtu wa MUNGU utachimba swimming pool uogelee Wakati jirani ZAKO hawana hata MAJI ya kunywa?
Wabongo kwa wivuLugha lugha, wafuasi wa Gwajima utawajuwa kwa lugha wanayotummia, lugha ya kihuni, na si ya mtu mwenye kufuata dini. Watatumia kila aina ya lugha kuficha maovu yao na kutetea kanisa lao ambalo linawadanganya watu na sadaka zao. Hawa watu ni matajiri kwasababu wafuasi wao ni masikini. Kitu kidogo walichonacho wanapeleka kanisani kwa madhumuni ya kubalikiwa kumbe wanapeleka kwa shetani. Wafuwasi wa Gwajima wanahitaji maombi wafunguwe macho yao wawaone wezi wanaowazunguka. Pesa za wanyonge Gwajima ndizo zinampa majivuno. Ati NDEGE yangu ! Mtu wa MUNGU utachimba swimming pool uogelee Wakati jirani ZAKO hawana hata MAJI ya kunywa?
jali mambo yako ndugu. Ya watu wengine yanakuhusu nn? Wewe uliyepata MSc. HRM umevumbua nn mpaka sasa?Mkuu naomba urekebishe CV ya Makonda ka DISCO tena Mzumbe University alijaribu kuchukua MSc. HRM wameshamla kichwa chake na akibisha taarifa hii namtengenezea uzi
Sio Gwajima tu mkuu,serikali inasthaili kuyafungia makanisa ya mzee wa upakp,Mwingira na yule mhuni wa Arusha na moshi Bwana MalisaLugha lugha, wafuasi wa Gwajima utawajuwa kwa lugha wanayotummia, lugha ya kihuni, na si ya mtu mwenye kufuata dini. Watatumia kila aina ya lugha kuficha maovu yao na kutetea kanisa lao ambalo linawadanganya watu na sadaka zao. Hawa watu ni matajiri kwasababu wafuasi wao ni masikini. Kitu kidogo walichonacho wanapeleka kanisani kwa madhumuni ya kubalikiwa kumbe wanapeleka kwa shetani. Wafuwasi wa Gwajima wanahitaji maombi wafunguwe macho yao wawaone wezi wanaowazunguka. Pesa za wanyonge Gwajima ndizo zinampa majivuno. Ati NDEGE yangu ! Mtu wa MUNGU utachimba swimming pool uogelee Wakati jirani ZAKO hawana hata MAJI ya kunywa?
Alafu watu waje kuabudu kwa babaakoSio Gwajima tu mkuu,serikali inasthaili kuyafungia makanisa ya mzee wa upakp,Mwingira na yule mhuni wa Arusha na moshi Bwana Malisa
Haya sio makanisa ni vijiwe vya uporaji wananchi maskini wa TanzaniaAlafu watu waje kuabudu kwa babaako
Kama acha mihemko acha sifa acha ujinga,
Mwambie Babaako ajaribu kufunga kanisa lolote aone!!!
Ndani mwako iko Roho ya mpinga Kristo,Haya sio makanisa ni vijiwe vya uporaji wananchi maskini wa Tanzania
Mpaka leo Bashite hajaonyesha vyeti, kazi kulialia tu kama bwabwa.
mkuu kanisa linapokea waovu na wema, shauku ya watumishi wa Mungu wa kweli ni kuona kila mtu anamrudia Mungu na kutubu.Nawalaumu watu wa makanisa kuendelea kumpokea
Nawalaumu watu wa makanisa kuendelea kumpokea
Watu wenye dhambi kubwa ni dhihaka kusimamia madhabauni watu wasio taka toba zaidi ya kiki,mkuu kanisa linapokea waovu na wema, shauku ya watumishi wa Mungu wa kweli ni kuona kila mtu anamrudia Mungu na kutubu.
Labda uulize kwanini wanamkabidhi mimbari
mkuu kanisa linapokea waovu na wema, shauku ya watumishi wa Mungu wa kweli ni kuona kila mtu anamrudia Mungu na kutubu.
Labda uulize kwanini wanamkabidhi mimbari