Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Fa fa fa fa zote.......yaani mtu anapata sifuri hadi kiswahili hadi bible knowledge?
 
Cjawah Kuona Mchungaj Wa Namna Hii Tangu Nizaliwe, Wala Cjawah Ona Waumini Km Wa Kanisalake, Hv Anaposimama Madhabahuni Neno La Jumapili Analo Hubiri Linakuaga Nini? Kwa Mtu Anaeijua Dini Vzr, Unaweza Kuhisi Makonda Ndo Askofu Af Gwajima Ndo Mtu Wa Kitaa. Kiujumla Cjaelewa Dini Anayohubiri Maana Hata Shekhe Aliemualika Cku Ile Kanisani Alimshaur Amsamehe Lkn Nao Kaishiwa Neno La Kuwaubiria Waumini Wake. Yeye Aliwah Kumtukana Pengo Akidai Et Alikua Anamkemea Km Mtumishi Wa Mungu, Sasa Ona Kuna Mchungaj Au Askof Yoyote Amesema Neno Kwenye Hili Sakata Lake? Hii Inaonyesha Viongoz Wenzake Wanampuuza Na Wana Mashaka Na Huduma Yake, Ndo Maana Akaamua Kumtafuta Shekhe Maana Maaskof Wenzie Wanamuangalia Tu Anavo Neng'eneka. Bible Inasema Mpende Adui Yako, Pia Muwaombee Wanao Waudhi, Muwabariki Msiwalaani. Ss Cjui Yeye Anatumia Bibilia Gani. Cdhan Km Kaitwa Na Mungu Kufanya Hyo Huduma, Ni Ujasiriamali Tu Na Umemsaidia Lkn. Bible Pia Imesema Mtawatambua Kwa Matendo Yao, Pia Atatenganisha Kati Kondoo Na Mbuzi.
 
n
Mchungaji Dr.Josephat Gwajima, leo kanisani kwake mbele ya umati wa waumini akiwaita wanafamilia wake, ametoa maelezo yakinifu juu ya tuhuma zinazomkabili ndg. Paul Makonda na katika clip inayosambaa kwa kasi mitandaoni.

Askofu Gwajima amedai anaoushahidi wa kutosha kua ndg. Makonda alitumia vyeti visivyo vyake.

Katika clip hiyo mchungaji Gwajima amesema ana vyeti vinavyotoa ushahidi kua Makonda alitumia vyeti vya mtu mwingine.

Swali: Je, Rais atamwacha Makonda na kulifumbia macho hilo suala?


=======

PAUL MAKONDA:

1. Alizaliwa tar.15/02/1981 katika kijiji cha Koromije, wilaya ya Misungwi, mkoa wa Mwanza.

2. Majina yake halisi ni Daudi Albert Bashite

3. Alianza darasa la kwanza mwaka 1988 katika shule ya msingi Koromije akitumia majina ya Daudi Albert Bashite. Mwaka 1991 alifeli darasa la 4, akarudia.

4. Mwaka 1992 alifeli tena na hivyo akahamishiwa Mwanza mjini, ili aweze kusoma na kupata masomo ya jioni (tuition).

5. Mwaka 1996 alihitimu darasa la 7 lakini hakuchaguliwa kuendelea na elimu ya sekondari katika shule ya serikali.

6. Mwaka 1997 akajiunga na kidato cha kwanza shule ya sekondari ya Pamba.

7. Mwaka 2000 akahitimu kidato cha 4 na kupata daraja sifuri (division zero).

8. Mwaka 2001 akatumia cheti cha Ndg. Paul Christian Muyenge (chenye div.3 ya points 25) kujiunga na chuo cha uvuvi Nyegezi (Nyegezi Fisheries Training Institute) kwa masomo ya Certificate akahitimu mwaka 2002.

9. Mwaka huohuo 2002 akitumia cheti cha Ndg. Paul Christian Muyenge, alijiunga na Chuo cha uvuvi Mbegani Bagamoyo kwa masomo ya Diploma ya uvuvi (ORDINARY DIPLOMA IN MASTER FISHERMAN, NTA LEV.6), na kuhitimu mwaka 2005.

10. Mwaka 2003 alikutana na Ndg. Benjamin Sitta (mtoto wa Marehemu Samwel Sitta, ambaye ni Meya wa Kinondoni kwa sasa). Wakawa marafiki.

11. Mwaka 2005 baada ya kuhitimu Stashahada yake ya uvuvi, aliomba admission Chuo cha Kilimo Sokoine kusoma shahada lakini akakosa nafasi.

12. Baada ya kukosa nafasi alienda kuishi nyumbani kwa Marehemu Sitta akiwa kama rafiki wa Ben (mtoto wa Sitta). Kwakuwa alitoka familia duni, Sitta aliahidi kumsomesha elimu ya juu.

13. Mwaka 2006, alipata udahili Chuo cha ushirika na biashara Moshi (wakati huo kikiwa chuo kikuu kishiriki cha SUA), kwa kutumia vyeti vyake vya certificate (ya Nyegezi) na diploma (ya Mbegani).

14. Alidahiliwa kwa course ya BA in Cooperate Management & Accounting. Mwaka 2007 alimaliza first year lakini akashindwa kuendelea na 2nd year baada ya kupata Suplementary 6 kati ya Course 8 alizokuwa akisoma (akawa discontinued).

15. Mwaka huohuo 2007 akaomba Admission upya. Akamaliza first year akiwa na carries 3 ambazo alienda nazo 2nd year. Mwaka 2008 akiwa 2nd year akapata supplementary 4 kati ya course 8 alizokua akisoma. Akawa na mzigo wa carry over na supplementary. Akaamua kuacha chuo.

16. Mwaka 2008 akaenda kujaribu kuomba udahili chuo kikuu SUA kwa mara nyingine lakini akakosa.

17. Mwaka 2009 akarudi tena MUCcoBS kwa udahili mpya. Akaachana na CMA akachagua Community & Economic Development (CED).

18. Mwaka 20012 akahitimu shahada ya kwanza ya Community & Economic Development kwa jina la Paul C Makonda badala ya majina yake halisi ya Daudi Albert Bashite

19. Jina Makonda analitumia baada ya kula kiapo mahakamani kubadili jina. Cheti cha Form four kinasomeka Paul C Muyenge lakini vyeti vya elimu ya juu vinasomeka Paul C Makonda baada ya kuapa mahakamani.

20. Ndugu Daudi Albert Bashite ameoa (tangu mwaka 2009) lakini hajabahatika kupata mtoto. Na ndiye Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kwa sasa.

NOT NEWS
 
Cjawah Kuona Mchungaj Wa Namna Hii Tangu Nizaliwe, Wala Cjawah Ona Waumini Km Wa Kanisalake, Hv Anaposimama Madhabahuni Neno La Jumapili Analo Hubiri Linakuaga Nini? Kwa Mtu Anaeijua Dini Vzr, Unaweza Kuhisi Makonda Ndo Askofu Af Gwajima Ndo Mtu Wa Kitaa. Kiujumla Cjaelewa Dini Anayohubiri Maana Hata Shekhe Aliemualika Cku Ile Kanisani Alimshaur Amsamehe Lkn Nao Kaishiwa Neno La Kuwaubiria Waumini Wake. Yeye Aliwah Kumtukana Pengo Akidai Et Alikua Anamkemea Km Mtumishi Wa Mungu, Sasa Ona Kuna Mchungaj Au Askof Yoyote Amesema Neno Kwenye Hili Sakata Lake? Hii Inaonyesha Viongoz Wenzake Wanampuuza Na Wana Mashaka Na Huduma Yake, Ndo Maana Akaamua Kumtafuta Shekhe Maana Maaskof Wenzie Wanamuangalia Tu Anavo Neng'eneka. Bible Inasema Mpende Adui Yako, Pia Muwaombee Wanao Waudhi, Muwabariki Msiwalaani. Ss Cjui Yeye Anatumia Bibilia Gani. Cdhan Km Kaitwa Na Mungu Kufanya Hyo Huduma, Ni Ujasiriamali Tu Na Umemsaidia Lkn. Bible Pia Imesema Mtawatambua Kwa Matendo Yao, Pia Atatenganisha Kati Kondoo Na Mbuzi.
Tuliza mshono wewe!!! Kima kasoro mkia!!
 
Tuliza mshono wewe!!! Kima kasoro mkia!!

Kanisa gani hili la visasi. Gwajima na Bashite wote wapiga dili. mchungaji, gani HUYU? Sikiliza wanaomuitikia na kusema apigwe, kama una akili hutamusikiliza mtu kama huyu. Kwanza kutowa number ya mtu hadharani si usitaarabu, ni uhuni na kukosa adabu. Hili sio kanisa bali ni vituko. Asikofu gani HUYU ni feki hana tofauti na Bashite. Language yake ni ya kusikitisha, anaharibu jina la dini. Simutetei Bashite lakini tabia za hawa watu wawili za fanana. Wote wanamajivuno, wote wana Mali bila ya kufanya kazi, za ujanjanja. Majivuno ni zambi mojawapo kubwa. Na kisasi haswa kwa mtu anayejiita Askofu na lugha anayotumia, HUYU sio Asikofu bali ni muhalifu. Pamoja na nchi kuwa na uhuru wa kuabudu, Watu kama Gwajima kanisa kama hili lisingesajiliwa. Huu ni wizi wa bila kutumia silaha.
 
Mchungaji fafanua vizuri pale alipojiunga kwa mara nyingine tena chuo cha Ushirika Moshi alitumia jina la Bashite au Paul Makonda kwa maana ni vigumu chuo kumpokea mwanafunzi mwenye ziro

wana JF someni kwa makini maelezo ya askofu yana walakini
 
Back
Top Bottom