Lobapula
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 2,388
- 1,582
SO AKITOKA BASHITE NDIO BENSAA NANE ATAPATKANA? AKITOKA BASHITE NDIO WATUMISHI WATAACHA KUKATWA 15 ASILIMIA? HAHAAAAAAAA TAIFA LA MAZUZUSasa ccm aka gamba si ndio mmezaa bashite.
SO AKITOKA BASHITE NDIO BENSAA NANE ATAPATKANA? AKITOKA BASHITE NDIO WATUMISHI WATAACHA KUKATWA 15 ASILIMIA? HAHAAAAAAAA TAIFA LA MAZUZUSasa ccm aka gamba si ndio mmezaa bashite.
Kufa ni lazima...keshasema yeye ni temporary au hukuelewa?NA ASIP
NA ASIPOKUFA WATAHAMA WAO AU DUNIA ITAACHA KUZUNGUKA?
WEWE NDO UTAMUUA?Kufa ni lazima...keshasema yeye ni temporary au hukuelewa?
Bashite ni katatizo ndani ya tatizo.ila tatizo kuu ni ccm ndio ikazaa ilo tatizo la bashite.KUMBE NI CCM MI NILIDHANI NI BASHITE HAHAAAAAAAAA
Hapana... atauliwa na magonjwa yakeWEWE NDO UTAMUUA?
Nchi ina mambo mengi na ya hovyo ya kukemea watu wanapotea katka mazingira ya kutatanisha sisi tumekaa na upuuzi wa Bashite Bashite arghhhhHapana... atauliwa na magonjwa yake
basi we pigia kelele bashite wakat CCM bado inapeta lkwa vile ulimchagua ww atatokaBashite ni katatizo ndani ya tatizo.ila tatizo kuu ni ccm ndio ikazaa ilo tatizo la bashite.
Hayo mengine fanya wewe..ndio mana tupo milioni 50..bashite ni mwizi wa vyeti ambaye bado anadunda mtaani.Nchi ina mambo mengi na ya hovyo ya kukemea watu wanapotea katka mazingira ya kutatanisha sisi tumekaa na upuuzi wa Bashite Bashite arghhhh
Mlengwa mkuu ni anaye zaa ambaye ni ccm aka gamba kubwa , sasa nyie si mnaiba kura kwa msaada tiss,JWTZ , polisi, ila bado hatujalala tunaendela kuchimba.SO AKITOKA BASHITE NDIO BENSAA NANE ATAPATKANA? AKITOKA BASHITE NDIO WATUMISHI WATAACHA KUKATWA 15 ASILIMIA? HAHAAAAAAAA TAIFA LA MAZUZU
huu msemo aliusema siku ya j2 kanisani kwake, nilicheka sanaHuu Moto kumbe bado haujazima? Kweli usiliamshe Dude
Huu msemo naupenda sana.Single touch double manifestation
Hata mimi mkuu.Huu msemo naupenda sana.
Hiyo kali, nahisi ni special kwa BashiteZero on papers translates to zero in thinking,zero in planning and zero in speaking!