The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,950
- 12,548
Nazungumzia hiyo iliyomteua na kumuapisha kwa jina la Paul Makonda.Kumbuka pia kabla ya uteuzi lazima vetting ifanyike ili kujiridhisha hivyo yote yalifanyika awali.
Kesi ya ngedere huwezi kuipeleka kwa nyani maana ni walewale...!!
Achana na fikra za "vetting". Hakuna kitu kama hicho chini ya Jiwe..