mwengeso
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 9,219
- 6,650
Daudi Bashite (Paul Makonda wa sasa) ameshindwa kuthibitisha kua hajanunua cheti au kupata ZERO katika matokeo yake ya kidato cha nne. Hivyo ukweli wa kwamba yeye ni mwizi wa kitaaluma uko palepale.
Mibas, nawe pamoja na mwanzilishi wa tuhuma hizo hamjaweza kuzidhibitisha ila mnang'ang'ania athibitishe mwenyewe.
Siku, wiki, na miezi sasa inapita mnachotaka hakifanyiki, tumieni ushahidi mlio nao kumpeleka mahakamani.
Naamini iko siku wawindaji watakuwa wawindwaji.