Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

Meya alisema atafungua kesi mahakamani dhidi ya makonda. Hiko ndicho ninacho kisubiri Kwa mud mrefu. Nashauri na wale mnaosubir makonda kutumbuliwa muache.. Kwa Sasa Mbinu pekee ambayo mnaweza hata kumvua Ukuu wa mkoa ni hiyo ambayo meya amesema angefungua kesi. Subirini huko amiri jeshi mkuu Ana mambo mengi ya kufanya Kwa taifa.
Ikumbukwe mahakamani kinachoangaliwa ni ushahid. Usahihi ukiwepo mahakama zitafanya kazi. Tukasubiriane mahakamani
 
Mashahidi wanasubiri wakatoe ushahidi.....hakuwahi kusoma hizo shule kwa jina la Paul Makonda sio yeye!! Huyo Paulo.....yupo na waliosoma na wapo wengi tuuu.....aseme alisoma na kina nani hiyo shule kwa jina la Paulo????
 
Aliyeiba cheti ni Daud Albert Bashite. Aliyeibiwa cheti ni Paul Christian Malanja. Aliyefoji Cheti ni Paul Christian M. Ambaye ndio huyo Makonda.
Kwa hiyo hapo kuna kesi mbili, ya wizi na ya kugushi. Ukimtetea mtu kama huyu ujue na wewe ni mwizi na umegushi pia.
 
Niliwahi kusema tokea mwanzo na nitaendelea kuamini kuwa hii inayoitwa vita ya dawa za kulevya iliyoanzishwa namakondakta ilikuwa na lengo Moja tu, kujitajirisha haraka kwa kuwapiga watu waliotajwa au walioogopa kutajwa kama wauza madawa ya kulevya.

Kama utabisha basi utaniatolea mifano kati ya ile part 1, 2, na 3 wangapi wametajwa na wakathibitika na ushahidi Wa kufanya biashara hiyo

Kilichomuumbua zaidi ni suala LA clouds ambapo wafanyakazi walitishwa kubambikiziwa kesi za madawa ya kulevya kama wasingerusha kipindi alichokiandaa cha kumkashifu gwajima.

Hivyo wanaodhani kuwa alikuwa na dhamira ya kweli ni wale waji.nga ambao kwao upeo wao Wa kubaini ukweli Wa mambo ni Mdogo mno
 
nilisema tangu mwanzo hii vita sio ya madawa kulikuwa na watu waliwatarget wawachafulie tu, na kuwafilisi, mengine ilikuwa ni kachumbari na achari tu kuweka ladha ya chakula
 
Hii ilikuwa na lengo la kijipatia umaarufu wa kisiasa.. Sasa mwache imtokee puani.. Mwigulu kamsusa coz Makonda aliibinafsisha vita ya madaws na kuifanya kama mali yake...
 
rekebisha uzi mkuu, sio Gwajima aliyeanzisha vita hii ila Makonder au jina halisi Bashiite
 
Kuna kiongozi mmoja anayepambana na madawa ya kulevya tu Duniani ni Rodrigo Duterte wa philipino basi hata wanyewe wameshindwa
 
Niliwahi kusema tokea mwanzo na nitaendelea kuamini kuwa hii inayoitwa vita ya dawa za kulevya iliyoanzishwa namakondakta ilikuwa na lengo Moja tu, kujitajirisha haraka kwa kuwapiga watu waliotajwa au walioogopa kutajwa kama wauza madawa ya kulevya.

Kama utabisha basi utaniatolea mifano kati ya ile part 1, 2, na 3 wangapi wametajwa na wakathibitika na ushahidi Wa kufanya biashara hiyo

Kilichomuumbua zaidi ni suala LA clouds ambapo wafanyakazi walitishwa kubambikiziwa kesi za madawa ya kulevya kama wasingerusha kipindi alichokiandaa cha kumkashifu gwajima.

Hivyo wanaodhani kuwa alikuwa na dhamira ya kweli ni wale waji.nga ambao kwao upeo wao Wa kubaini ukweli Wa mambo ni Mdogo mno


Hakuwa na nia, inaonyesha unafahamu lengo lake, lakini hujatuambia lengo lake ilikuwa ni nini, unatuambia analijua mwenyewe.

Suala la clouds hakuna uthibitisho kuwa aliwaambia hivyo zaidi sana ni mere sayings, tunataka kuona video na audio akiwa na hao watangazaji akiwatishia kuwabambikizia hiyo kesi, otherwise hakuna hoja bado, zaidi sana ni mihemuko tu.
 
Hakuwa na nia, inaonyesha unafahamu lengo lake, lakini hujatuambia lengo lake ilikuwa ni nini, unatuambia analijua mwenyewe.

Suala la clouds hakuna uthibitisho kuwa aliwaambia hivyo zaidi sana ni mere sayings, tunataka kuona video na audio akiwa na hao watangazaji akiwatishia kuwabambikizia hiyo kesi, otherwise hakuna hoja bado, zaidi sana ni mihemuko tu.
Mere sayings as you say. Ushazoea story za vijiweni. Tuambie ile CCTV footage inaeleza nn.we vipi na akili zako za kibashite. Unatoka kolomije nn wewe? Halafu tufanye wa kolomije wote mrudi kwenumsituletee akili zenu za mafuta ya mgando hapa
 
Mere sayings as you say. Ushazoea story za vijiweni. Tuambie ile CCTV footage inaeleza nn.we vipi na akili zako za kibashite. Unatoka kolomije nn wewe? Halafu tufanye wa kolomije wote mrudi kwenumsituletee akili zenu za mafuta ya mgando hapa

CCTV footage inaonyesha mkuu wa mkoa anaingia ofisi za clouds kama mwenyeji akisindikizwa na watu wa usalama and I saw no confrontation, wewe na wenzako mnalaumu pasipo na vithibitisho, yaani mnafuata mkumbo kama vile wale nyumbu serengeti, wewe huna kithibitisho zaidi ya ile clip ila umeamua kuchukua upande wa kulaumu pasipo kuwa na kithibitisho, alafu mtu akitofautiana mawazo na wewe sio lazima awe ametokea kolomije na sio kitu cha ajabu, so behave niga.
 
CCTV footage inaonyesha mkuu wa mkoa anaingia ofisi za clouds kama mwenyeji akisindikizwa na watu wa usalama and I saw no confrontation, wewe na wenzako mnalaumu pasipo na vithibitisho, yaani mnafuata mkumbo kama vile wale nyumbu serengeti, wewe huna kithibitisho zaidi ya ile clip ila umeamua kuchukua upande wa kulaumu pasipo kuwa na kithibitisho, alafu mtu akitofautiana mawazo na wewe sio lazima awe ametokea kolomije na sio kitu cha ajabu, so behave niga.
We Ndio f*ala kweli. More than 20 mins yuko kule ndani,alifanya nn s Ndio waliohusika wakasema..we wawapi wewe
 
We Ndio f*ala kweli. More than 20 mins yuko kule ndani,alifanya nn s Ndio waliohusika wakasema..we wawapi wewe

Punguza jazba jombaa, leta clip inoonyesha hizo 20 mins akiwa humo ndani, siwezi chukua maneno ya wahusika mm, what if they're lying, sina detector ya kugundua uongo, hence nataka nijiridhishe kwa macho yangu na masikio, siwezi chukua tu maneno yanasemwa semwa huko na mm niyabebe, no man, mimi sio nyumbu.
 
Punguza jazba jombaa, leta clip inoonyesha hizo 20 mins akiwa humo ndani, siwezi chukua maneno ya wahusika mm, what if they're lying, sina detector ya kugundua uongo, hence nataka nijiridhishe kwa macho yangu na masikio, siwezi chukua tu maneno yanasemwa semwa huko na mm niyabebe, no man, mimi sio nyumbu.
detector unataka mambo ya kwenye movie... Haya kesi zote zinazotolewa hukumu kadai vielelezo vingine apart from mashahidi binaadamu. Na Kama ingekuwa binaadamu hawahusiki katika kesi vinatumika vifaa vingine ulivyoviona kwenye movie basi hii inchi sijui ingekuwaje. Hata huko ambako nchi zao na technology zimekuwa Kubwa binadamu hutumika Kama shahidi na kesi ikaisha. Subiri Dada ako abakwe mbele ya macho yakp,wakakudai CCTV footage ya tukio
 
Duh, yaani wabongo wanafiki balaa, na huu uzi utachangamkiwa kuliko nyuzi zenye tija kwa jamii, and they're quick to blame the government for their misery. Inataka moyo kuongoza jamii yenye wapuuzi

Unatutukana wenzio wapuuzi na wanafiki kwa kuchangia mada ambayo wewe mwenyewe umo. Pighead!
 
Unatutukana wenzio wapuuzi na wanafiki kwa kuchangia mada ambayo wewe mwenyewe umo. Pighead!
Hy mnayebishana nae kwa jazba utajuaje ni mdg wake Bashii.... Maelezo yake tu yanatosha kuamini ni mkoromije.. msipoteze muda nae
 
naona Makonda (Bashite) aamini upepo ulivyobadilika, awamu 4 zilizobaki naona basi tena sababu yeye na Sirro walisema wana awamu 7.
 
Back
Top Bottom