Rwankomezi
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 3,285
- 2,640
Nani alitegemea Daudi atashinda vita dhidi ya wafilisti?. Mungu yu pamoja nasi.... Twenzetu....
Daudi alikuwa mpango wa Mungu wa ukweli...sio Mungu wa Gwajima trust me.
Nani alitegemea Daudi atashinda vita dhidi ya wafilisti?. Mungu yu pamoja nasi.... Twenzetu....
aliyekwambia wale ni mabody guard wa Makonda ni Mange kasema? hahahahaaHana vyeti jambazi huyu
Anatuma ma body guard wake wamtolee bastola Nape
Na huyu waziri Wa mambo ya ndani shame on you kwa kudanganya watanzania, au ndio kujipendekeza kwa makomeo
Kweli hii nchi imeoza more than we think
Mtumie mkuu,. Mi najua anavyo vyeti ila anataka kutu surprise tu..... Kama anavyo vingi anaona kazi kuvibeba, mwambie alete cha form 4 tu, hivyo vingine aachane navyoNamtumia hii post
Aisee vyeti asikwambie mtu bwana juzi niliota vyeti vyangu vimeibiwa nilipostuka ndotoni nikaamka nikaenda kuangalia kimoja baada ya kingine....niliota kabisa Bashite kajakuvamia na jeshi lake wanikombe vyeti vyangu daaah![]()

Mtumie mkuu,. Mi najua anavyo vyeti ila anataka kutu surprise tu..... Kama anavyo vingi anaona kazi kuvibeba, mwambie alete cha form 4 tu, hivyo vingine aachane navyo
Namimi nipo kutupa mawe had I asalimu amriWakizikataa kokoto, basi mawe yanakuja kuhitimisha!