Jambo sahihi lazma utambue tuhuma hii Si jambo dogo watu wamezisotea degrii yeye analeta mchezo.Tatizo hakuna ushahidi juu ya hayo mnayotulazimisha tuyaamini,kama haujui siasa ni mchezo mchafu sana,ili tuamini hayo madai yenu tuleteeni huyo aliyemuuzia vyeti kuthibitisha vinginevyo ni hila tu na chuki zisizo za msingi.
Mbona rahisi tuu kwani si aweke mezani vyeti? Kama wewe mbiba unavyo na unaweza kuweka mezani?Tatizo hakuna ushahidi juu ya hayo mnayotulazimisha tuyaamini,kama haujui siasa ni mchezo mchafu sana,ili tuamini hayo madai yenu tuleteeni huyo aliyemuuzia vyeti kuthibitisha vinginevyo ni hila tu na chuki zisizo za msingi.
Daudi Bashite ana bahati Ben Saanane alishapotea.........
Daudi Bashite Hakusoma UDSM Mkuu. Alisoma MUCCOBS ambapo inasemekana alidisco mara tatu na baadae akatoka na cheti kwahiyo kuna uwezekano chuo cha MUCCOBS walimuuzia Paul Makonda cheti cha degree. haiwezekani mtu adisco mara tatu katika chuo hicho hicho baadae eti anatoka na cheti cha kumaliza masomo. Huyu daudi alishajijengea tabia ya kufoji elimu.

Cut to the chase, mwambie yeye aweke vyeti mezani kama akina zito na mwigulu. Kwani yeye nani asituhumiwe?Tatizo hakuna ushahidi juu ya hayo mnayotulazimisha tuyaamini,kama haujui siasa ni mchezo mchafu sana,ili tuamini hayo madai yenu tuleteeni huyo aliyemuuzia vyeti kuthibitisha vinginevyo ni hila tu na chuki zisizo za msingi.
kubebana. au hilo hujaliangalia?Kama huyo mtuhumiwa hajakana mashitaka mpaka leo ni kwann hatua zingine zisitumike kama ambavyo nimependekeza ili kuumaliza huu utata na watanzania wote tukajua mbivu au mbichi juu ya hili swala.
Unaweza kuwa sahihi kuna watu watakuwa wana wivu tuu
![]()
![]()
Mama kama ww ndio mama Daudi mwenyewe aliyekusudiwa kwenye kale ka comment ka instagram, basi anza kuandika maumivu taratibu. Mumeo kashakua mshukiwa wa kutenda uhalifu wa kununua cheti cha mtu na kukitumia. ikibainika, sheria itakata kama msumeno.
maelezo yao sio cheti. kama kakuonyesha cheti, tuonyeshe na sisiUmemshupalia na kunishupalia pia, I hope unapata kipato kwa wivu uliokujaaa au nini tena!? Shusha proof humu. Mimi ni Cocochanel, ya mama nani sijui nani pitisha huko kawagongee unaowaongelea makwao. Hutaki mtu awe na mashabiki, hadi unatunga upupwu juu yangu.
Makonda oyeeeee
Samahani mama nadhani wewe ni mtu wa Karibu na Mheshimiwa sana Makonda! Kumsaidia jaribu kujenga hoja ili nguvu ya hoja ijitahidi kumtetea. Unapotumia hoja za nguvu unaongeza mafuta ya petroli katika moto. Ni ushauri wangu wa mimi ambaye nimefeli darasa la nne.
Watu wa koromije walifuatwa huko huko na mwanahalisi! Wametupa habari ya kutosha kuwa koromije bwana yule anafahamika kama Daudi Bashite na mama yake anajulikana kama mama Daudi! Daudi Bashite alipaya ziro form 4.Askofu Gwajima aliahidi jana atamleta mtu kutoka koromije kuja kuthibitisha madai yake..na aliahidi kuweka hadharani vyeti halisi vya makonda..je alifanya hivyo?
Ujue lakini kuwa mhusika hana hata ubavu wa kukanusha! Hawezi kukanusha kuwa jina lake ni Daudi Bashite! Kijijini anafahamika hivyo! Wanafunzi wenzake wanamjua hivyo! Daudi Bashite alipata ziro f4.Tatizo hakuna ushahidi juu ya hayo mnayotulazimisha tuyaamini,kama haujui siasa ni mchezo mchafu sana,ili tuamini hayo madai yenu tuleteeni huyo aliyemuuzia vyeti kuthibitisha vinginevyo ni hila tu na chuki zisizo za msingi.
Pole sana mkuu kumbe ulizungushaMakonda huyo wa 199x - 20xx hakukuwa na vyeti vya div 0. Hata mie nimemaliza form four kipindi hicho hakukuwa na vyeti vya div 0
