tutafikatu
JF-Expert Member
- Dec 17, 2011
- 3,398
- 4,729
Kwa sababu University wanafanya mitihani ya ndani, hivyo ni rahisi ku cheat!!!
Mbona inawezekana mkuu!!! Wako wengi kama yeye.Mnaotwambia Mh Makonda katumia cheti cha mtu cha kidato cha nne kusoma chuo Kikuu. Swali ni Je aliwezaje kupasua modules za University wakati huo masomo ya secondary alifeli? Au ndiyo kusema chuo Kikuu masomo ni rahisi kuliko kidato cha nne.
The Corservator
Wewe inaonesha wazi hata la saba hujafika......Mods ondoeni huu ushuzi hapa
HahahahWaondoe uzi baada ya wewe kuwa umechangia? Acha ubibafsi na sisi tuchangie kama hivi!!!
Bila shaka hujakanyaga chuo mkuu, chuo waweza kufaulu kupitia migongo ya watu na pesa zako.Mnaotwambia Mh Makonda katumia cheti cha mtu cha kidato cha nne kusoma chuo Kikuu. Swali ni Je aliwezaje kupasua modules za University wakati huo masomo ya secondary alifeli? Au ndiyo kusema chuo Kikuu masomo ni rahisi kuliko kidato cha nne.
The Corservator
Samahani mama nadhani wewe ni mtu wa Karibu na Mheshimiwa sana Makonda! Kumsaidia jaribu kujenga hoja ili nguvu ya hoja ijitahidi kumtetea. Unapotumia hoja za nguvu unaongeza mafuta ya petroli katika moto. Ni ushauri wangu wa mimi ambaye nimefeli darasa la nne.Wanampenda sana Mh. Makonda, hawalali, hawaogi, hawali, hawanywi etc
Wanamuwaza tu, wengi na wivu juuuuuuuuuuu
La saba chini
Form 4 chini
Form 6 chini
Chuo cha Ushirika (Miaka 6 badala ya mi3)
Masters Mzumbe chini
Huyu jamaa tukiri tu kuwa ni kilaza period lakini ni mpambanaji sana. Na kisaikolojia ni mlamba na mfunga viatu mzuri. Sitashangaa siku moja akija kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania....
Mnaotwambia Mh Makonda katumia cheti cha mtu cha kidato cha nne kusoma chuo Kikuu. Swali ni Je aliwezaje kupasua modules za University wakati huo masomo ya secondary alifeli? Au ndiyo kusema chuo Kikuu masomo ni rahisi kuliko kidato cha nne.
The Corservator