Tunaomba akina Top na yule jamaa mla "makongoro" nao wafatiliwe. Yule Mahangale aliyekuwa n.waziri kwa JK tunasikia silale wanadai ni wa huko mpakani. Wako wengi tu, vyeti na majina nchi hii mengi ni hewa na ya kuchonga. Kwenye familia moja jina linatumiwa na mtu na kaka mtu, vyeti vivyo hivyo.
Watafutwe jamani na historia zao zibainishwe, tukaweke kambi kwenye vijiji na shuleni walikosoma tutawapata wengi. Tuisafishe nyumba yetu kwani imekuwa kama ya "Mjomba"
Wakati fulani jambo halitowezekana mpaka nature iamue, mambo yakienda hivi naamini tunaelekea kuisafisha nyumba yetu vyema. Safari moja uanzisha nyingineNasikia kuna mteule mwingine karibu atalambishwa chumvi
Wakati fulani jambo halitowezekana mpaka nature iamue, mambo yakienda hivi naamini tunaelekea kuisafisha nyumba yetu vyema. Safari moja uanzisha nyingine
yy hakuforge vyeti kateuliwa na ZERO yake.Mbona kuna Mkuu wa mkoa mwingine naye alipata zero
maelezo yao sio cheti. kama kakuonyesha cheti, tuonyeshe na sisi
Kweli wewe punguaniSalaam wadau!
Huu mjadala hadi hivi sasa umefikia patamu, humu jamvini kumekuwa na nyuzi nyingi zinazohusu hili sakata la Mkuu wa mkoa wa Dsm kwamba alitumia vyeti ambavyo siyo vyake, kuna habari iliyoandikwa kwenye gazeti la mwanahalisi kuonyesha shule alizosoma na majina aliyokuwa akitumia na kubainisha alipata daraja zero kidato cha nne!
Hoja yangu ni je kama hizi tuhuma ni za kweli na hili suala likaachwa lipite kwa kupuuza hizi taarifa, nani atakayeweza kusimama kidete na kuzungumzia vyeti feki?
Je huko serikalini siyo kwamba kwenye sekta nyeti kuna watu wanaotumia majina ya watu wengine lakin zoezi la uhakiki halikuwagusa?
Nashauri mamlaka husika ziingilie kati bila kujali cheo cha mtu, la sivyo itakuwa ni fedheha kubwa siyo tu kwa mamlaka bali kwa taifa zima
Huwa navutiwa na unavyojitoaga ufahamu ili mradi sever za Jf zijae. Keep moving on, walikuwepo zaidi yako ila sijui siku hizi walipotelea wapi.
Hakuna kesi ya kuingilia kati hapo.Blah blah tupu.Ungeshauri Ben Saanane atafutwe kwa nguvu zote ungeonekana wa maana badala ya kuzungumzia suala ambalo halipoSalaam wadau!
Huu mjadala hadi hivi sasa umefikia patamu, humu jamvini kumekuwa na nyuzi nyingi zinazohusu hili sakata la Mkuu wa mkoa wa Dsm kwamba alitumia vyeti ambavyo siyo vyake, kuna habari iliyoandikwa kwenye gazeti la mwanahalisi kuonyesha shule alizosoma na majina aliyokuwa akitumia na kubainisha alipata daraja zero kidato cha nne!
Hoja yangu ni je kama hizi tuhuma ni za kweli na hili suala likaachwa lipite kwa kupuuza hizi taarifa, nani atakayeweza kusimama kidete na kuzungumzia vyeti feki?
Je huko serikalini siyo kwamba kwenye sekta nyeti kuna watu wanaotumia majina ya watu wengine lakin zoezi la uhakiki halikuwagusa?
Nashauri mamlaka husika ziingilie kati bila kujali cheo cha mtu, la sivyo itakuwa ni fedheha kubwa siyo tu kwa mamlaka bali kwa taifa zima
Ingekuwa hivyo watu wangesha fungwa mpaka sasamamlaka hazifanyi kazi kwa habari za udaku
Mwambie aoneshe cheti basi tujue kweli ni udaku.mamlaka hazifanyi kazi kwa habari za udaku