Analyse
JF-Expert Member
- Jan 19, 2014
- 16,671
- 42,338
Ewaaa, hapo umenena vyema. Watu Wana roho nyepesi, anaweza kujinyongaBasi sawa,, tumwambie boss hataki mzaa kwenye kazi yake awe anampigia asubuhi au mchana,usiku amuache afanye kazi alizopewa na boss kwa makini bila usumbufu..au hapo napo bado 😃😃😃