Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,223
- 7,408
Niice one
Wengi wao kichwani empty setWanawake wa hivi wachache sana, mzuri umbo na sura na kichwani zina charge
Pole man. Ubaya hamna picha wala video. Ila kuna babu kala mzigo wa huyu chalii wa Aru.Kwa niaba ya wasio na connection wote, tunaomba kupata hiyo habari ya Wistaz Lodge ilikuajekuaje. Natanguliza shukrani za dhati
Duuuh, kigogo hafai. Kwaio huyo babu alimpelekea Paris ufaransa?Pole man. Ubaya hamna picha wala video. Ila kuna babu kala mzigo wa huyu chalii wa Aru.
Tatizo jamaa alinitia mjuaji akamchokoza kigogo2014 uwanjani kwake twittani. Si unajua kigogo ana mabalaa.
Akampasua kwamba demu wako kachanwa hapa Wistaz na Paris.
Wistaz lodge mbona ishu ime leakDuuuh, kigogo hafai. Kwaio huyo babu alimpelekea Paris ufaransa?
Hapo juu mkuu kasema Wistaz na ParisWistaz lodge mbona ishu ime leak
Wewe hujahisi, kwanini Profeseri kahamishwa wizara
Ndio huko huko Paris FranceHapo juu mkuu kasema Wistaz na Paris
Jamaa gani huyo kamtafuna? Inaelekea ana mpunga sanaNdio huko huko Paris France
Profesa wa jalalaniJamaa gani huyo kamtafuna? Inaelekea ana mpunga sana
Yule pala manini sijui?Profesa wa jalalani
Humo humo..!Yule pala manini sijui?
Daaah, Ila tutafute hela tu mzee wangu. Pisi kama ile matata inaliwa na mzee wa protocol? The world is not fairHumo humo..!
Hahahaaah!!! Aisee kwakweli wazee, wenyewe hata nguvu naona mpaka wajibust.Daaah, Ila tutafute hela tu mzee wangu. Pisi kama ile matata inaliwa na mzee wa protocol? The world is not fair
Ana miliki duka kumbe? Dah sijui niroge wapi namimi nikamate pisi Kali.Hahahaaah!!! Aisee kwakweli wazee, wenyewe hata nguvu naona mpaka wajibust.
Yaani lile duka lake nahisi Profesa ndio katoa mtaji.