Mchomvu 'mabangi' anapoonesha mabange yake

Mchomvu 'mabangi' anapoonesha mabange yake

Siku zote character ya mtu ndiyo jambo kubwa kuliko chochote. Talent bila character ni kazi bure huwa ni kitu cha muda mfup lakini ukiwa na tabia njema hujenga jina jema kwa mtu.
Kama havuti bangi angeambia hivyo?. Kosa si la mbasha bali ni mchomvu maana hiyo ni tabia ameijenga Kwa muda mfupi. Huwezi kuvuta bangi na matokeo yake asionekane
Huwezi kuvuta bangi na matokeo yake asionekane
 
Hiii inaitwa mende kabeba kabati yaani dhima yoote ya jana imeharibiwa na hao vijana
Kiroho ina tafsiri pana sana ...kilometer zisizofika mbili kuna hospital pale ya Temeke yenye ukosefu mkubwa wa vifaa tiba pamoja na dawa...wananchi wanakufa na wengine kupata ulemavu kwa kukosa huduma lakini wanasiasa wanatapanya pesa ...Mungu kawachapa kofi la kelebu
 
Mchovu mabange

Wengine tulikuwa hata hatumjui lakini sasa amejulikana kwa namna ya kihuni!
 
Siku zote character ya mtu ndiyo jambo kubwa kuliko chochote. Talent bila character ni kazi bure huwa ni kitu cha muda mfup lakini ukiwa na tabia njema hujenga jina jema kwa mtu.
Kama havuti bangi angeambia hivyo?. Kosa si la mbasha bali ni mchomvu maana hiyo ni tabia ameijenga Kwa muda mfupi. Huwezi kuvuta bangi na matokeo yake asionekane
samahani jamaa naomba nikuulize swali hivi ulishawai kuvuta bangi? Mahana nahona bangi mnaibebesha msalaba wa mchomvu.

Kuna mkuu wa mkoa lakini alishastafu alishawai kumpiga kofi waziri mkuu mstafu mbele ya watu kibao hivi na yeye alikua amevuta bangi?
 
samahani jamaa naomba nikuulize swali hivi ulishawai kuvuta bangi? Mahana nahona bangi mnaibebesha msalaba wa mchomvu.

Kuna mkuu wa mkoa lakini alishastafu alishawai kumpiga kofi waziri mkuu mstafu mbele ya watu kibao hivi na yeye alikua amevuta bangi?
Mahana nahona bangi mnaibebesha msalaba wa mchomvu.....

Mimi ni mtumiaji mzuri sana wa mmea kwa miaka 30 sasa lakini situmii kindezi wala kiboya ..natumia kwa faida natumia kwa manufaa
Mimi ndio huwa naupa mmea directives..mimi ndio nautawala haunitawali...ukishalipa jani nafasi likupande kichwani matokeo yake ndio hayo ya kuitwa majina ya kudhalilika kama KARIFONIA (California) MABANGE...Mwisho wa siku ndio utasikia watu wakisema yule mmea hauwezi ama mmea haumpendi
 
Kwa Sisi watu wa rohoni tunaona kabisa kuwa Hilo tukio ni MUNGU ameruhusu litokee ili wajinga wa kijani wavune walichopanda na hii itakuwa mwanzo na mwisho kufanya usanii wa kukusanya wavuta bange..
Kisa cha farao na Musa baada ya MUNGU kumfanya farao awe na shingo ngumu ili ampige vizuri na mapigo
 
Kwa Sisi watu wa rohoni tunaona kabisa kuwa Hilo tukio ni MUNGU ameruhusu litokee ili wajinga wa kijani wavune walichopanda na hii itakuwa mwanzo na mwisho kufanya usanii wa kukusanya wavuta bange..
Kisa cha farao na Musa baada ya MUNGU kumfanya farao awe na shingo ngumu ili ampige vizuri na mapigo
Kiroho ina tafsiri pana sana ...kilometer zisizofika mbili kuna hospital pale ya Temeke yenye ukosefu mkubwa wa vifaa tiba pamoja na dawa...wananchi wanakufa na wengine kupata ulemavu kwa kukosa huduma lakini wanasiasa wanatapanya pesa ...Mungu kawachapa kofi la kelebu
 
Bangi inashushwa hadhi sana siku hizi na wapuuzi kama hawa kina Mchomvu na Mbasha.

Ngoja nizungumze na wahuni tuone tuna-riot vp, dawa yetu inapoteza sifa yake
Bangi haijawahi kuwa na hadhi katika jamii yoyote,na wavuta bangi kote ulimwenguni wanaonekana watu wa hovyo,wasio na maadili.Hali ni mbaya zaidi kwa Tanzania maana imekatazwa kwenye sheria.Kwahiyo kama na wewe ni mvuta bangi mambo yako ni ya kipuuzi tu kama kina Mchomvu.
 
Bangi haijawahi kuwa na hadhi katika jamii yoyote,na wavuta bangi kote ulimwenguni wanaonekana watu wa hovyo,wasio na maadili.Hali ni mbaya zaidi kwa Tanzania maana imekatazwa kwenye sheria.Kwahiyo kama na wewe ni mvuta bangi mambo yako ni ya kipuuzi tu kama kina Mchomvu.
Huwa navuta na sabufa ndugahi, nayeye ndo aliyenivuta kwenye uvutaji, sijawahi kuona "uhovyo" wa bangi kwa upande wangu, ule "uhovyo" unaouna kwa sabufa ndugahi ni matokeo ya kichaa chake cha ukoo, usisingizie bangi zetu tafadhali
 
Kiroho ina tafsiri pana sana ...kilometer zisizofika mbili kuna hospital pale ya Temeke yenye ukosefu mkubwa wa vifaa tiba pamoja na dawa...wananchi wanakufa na wengine kupata ulemavu kwa kukosa huduma lakini wanasiasa wanatapanya pesa ...Mungu kawachapa kofi la kelebu
Duuu!!! Very fact.
 
Binafsi niliona Mbasha kaongea katika namna ya utani pale(kishkaji)

Lakini hatuwezi kujua labda kuna sehemu kadhaa tofauti na pale walishakwaruzana...Mchomvu anatakiwa kujifunza namna ya kupotezea mambo yasiyo ya msingi,alichokifanya kinaweza kushabikiwa na baadhi ya watu lakini amejiharibia

Sema video inachekesha pale Mbasha alivyoamka baada ya mtama akasema oyooooo Mchomvu umezingua!!
Shida ni kuwa mbasha na mchomvu sio washkaji

mtu km b12 kwa mfano akimuambia mchomvu we bangi sana angemind?.

all in all.,itakua mchomvu alikuwa kavuta kweli mana alicatch feelings hadi backstage kutaka wapigane😅😅😅
 
Shida ni kuwa mbasha na mchomvu sio washkaji

mtu km b12 kwa mfano akimuambia mchomvu we bangi sana angemind?

all in all.,itakua mchomvu alikuwa kavuta kweli mana alicatch feelings hadi backstage kutaka wapigane😅😅😅

Inawezekana angemind pia hata angekuwa B12 kwasababu kwa maelezo ya Adam ni kwamba neno lililotumika la bangi halikuwa sawa kwa maeneo yale since watu na heshima zao walikuwa wanafuatilia kipindi.

Inawezekana alikasirika sababu ya kuzushiwa uvutaji bangi, kuzushiwa kunakera ujue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom