Mchomvu 'mabangi' anapoonesha mabange yake

Mchomvu 'mabangi' anapoonesha mabange yake

Dunia ni sehemu ngumu sana ya kuishi...yaani mtu anakuproke unareact sababu upo out of control...na bado unaonekana mbaya...hivi walioweka provocation kama defence ya criminal liability duniani kote hawakua na akili?

Zidane alimpiga kichwa materazi siyo kwamba alikua anavuta bangi, provocation is real tuwe fair na inaua.

Huyo Mbasha anastress hajapona bado maumivu ya kuachwa na mkewe, inabidi amuone mtaalamu, binadamu mtu mzima huwezi kufanya vile, isitoshe kwenye halaiki kama ile.

Badala ya kumfungulia nyuzi za kumtetea...fungueni nyuzi za kusisitiza apate msaada wa kiakili.. He's not okay.
 
Wakulaumiwa ni madalali wa chama ...malipo ya washereheshaji makini yalipigwa panga kisha wakatafutwa level ya kupokea chochote..so they don't know the sensitivity of the function
I can't agree more. Buree kabisa, Ila ndio jamaa kashajipoteza majukwaani tena.

Sidhani Kama kuna mtu makini ataandaa show alafu ampe ahost.
 
I can't agree more. Buree kabisa, Ila ndio jamaa kashajipoteza majukwaani tena.

Sidhani Kama kuna mtu makini ataandaa show alafu ampe ahost.
There will always be middle men wherever...wapenda kitonga na 10%hawaishi
 
Waliomtuma wamefanikiwa kwa 100%, kwani badala ya sasa Watu kuliongea Tamasha wote tumehamia kwa Adam Mchomvu na Mibange yake tu.
 
Kuna vitu tafsiri zake huwa ni za kiroho pekee..unaweza kupangilia jambo lako kwa umakini wa hali ya juu na kuchukuaa tahadhari zote lakini likaja kufelishwa ana kuharibiwa na kitu kidogo kabisa.

Adam Mchomvu kaharibu shughuli nzima. Shughuli iliyoandaliwa kwa gharama kubwa na kukusanya watu wengi pamoja na vyombo vingi vya habari... Mungu akaiseta na kuipiga teke kupitia mtajwa hapo juu akiwa mmoja wa washereheshaji waliokabidhiwa jukumu la kuiendesha shughuli kwa mafanikio

Hekima ya mtu haionekani kwenye majisifu furaha na shangwe hapo kila mtu huonesha hekima sana...hekima halisi huonekana kwenye changamoto hasa mlengwa anapoguswa uhalisia hasi wa ndani yake.

Mchomvu pamoja na kumlaumu Emanuel Mbasha ..mmoja wa wasanii walioalikwa alikuwa na kila uwezo wa kufanya shughuli nzima isiharibike. Yeye kwa wakati ule ndio alikuwa dereva kwenye jahazi. Kejeli ya abiria haingeweza kumtatiza mpaka asabbabishe chombo kiende mrama.

Hekima...hekima..hekima...kwa kuzingatia jukumu alilokuwa nalo jukwaani angepotezea kejeli ya utan(i?) Ya kuitwa Mchomvu mabangi ili amalize shughuli kisha afuate njia sahihi za kumuadabisha mbaya wake...hilo halikufanyika

Kitendo cha kumpiga mtama Mbasha pale jukwaani na baadae kumfuata nyuma ya jukwaa akitaka kumpiga tena na mwendelezo wa kuahidi kumtia adabu kimefunika dhima ya tukio zima la ufunguzi wa nyimbo za wasanii kwenye kampeni za chama cha siasa na sasa mitandaoni mjadala ni mtama na mabange ya Mchomvu

Mchomvu kathibitisha kuwa hana hekima na anazidi kujiweka pabaya zaidi kwa kusema bado hajamalizana na Mbasha hivyo atamtafuta na akimpata hajui nini kitatokea...hivi ikitokea Mbasha kapata tatizo lolote mtuhumiwa wa kwanza atakuwa nani?

Majisifu, ubabe na kujiona bora vitamwangamiza Mchomvu...nimemsikia akisema kajibrand kwa miaka 20 hivyo hakubali kenge mmoja amharibie...Mchomvu hii ni laana...Mungu hadhihakiwi wala habezwi wala hajaribiri

Msanii Dotnata kwa kulewa sifa kama za mchomvu aliwahi kujivuna kuwa hayuko tayari kuona ID yake aliyoibrand kwa gharama kubwa inaharibiwa na vimtu...Baada ya kauli hiyo Dotnata hakuwahi kusimama tena...ukimuona leo unaweza kutoa machozi

Mwingine ni Anthony Lusekolo mzee wa upako ..aliwahi kujimwambafy kuwa katumia almost billion 60 kuji brand leo hii kuna watu wanataka kumchafua kwa bei chee....!!!!Leo hii yuko wapi huyu kiumbe?

Kama wewe sio mabange hupaswi kupaniki..unaipotezea uone kama hutapata point 3 muhimu.

Poleni chama kwa disco kuingia mmasai, lichukulieni hili kiroho zaidi...!!!!!
Umenikumbusha mbali sana.....hivi Dotnata yuko jamani?
 
Bwashee sisi ndio tuliasisi Chadema pale kisutu majamatini na akina Shanga kwa hiyo ni haki na wajibu wangu kuikumbuka ki roho safi.

Kama siyo Lyatonga kutushtua labda tungeendelea kuwepo!
Hahah kwani upo wapi saizi bwashee?

Yohana wewe ni CHADEMA damu hilo lipo wazi na shahidi ni box la kura
 
Kama ameona Mbasha amekosea alipaswa kwenda kumshitaki na siyo kumpiga!

Mbasha akimshitaki jamaa atatiwa hatiani
Mapema sana!

Hili jambo lishughulikiwe kwa umakini sivyo vitendo vya watu kupigana vitaongezeka kwenye jamii, jamii yetu inapaswa kubaki katika amani na utulivu wakati wote.
 
Kama amempa Mbasha amekosea alipaswa kwenda kumshitaki na siyo kumpiga!

Mbasha akimshitaki jamaa atatiwa hatiani
Mapema sana!

Hili jambo lishughulikiwe kwa umakini sivyo vitendo vya watu kupigana vitaongezeka kwenye jamii, jamii yetu inapaswa kubaki katika amani na utulivu wakati wote.
Kujichukulia sheria mkononi ama kutishia ni kosa la jinai kwa mujibu wa katiba yetu
 
ile hali ilithibitisha Adam ni mvuta bangi. mimi ukiniambia malaya mbele za watu katika hali ile ya tamasha siwezi kumind kwa sababu sio malaya.

Pili Mbasha alitoa ile kauli kimizuka tu, kama Adam sio mla ganja angepotezea hata akasema...achaneni na huyu ana masihara...hasa ukizingatia unyeti wa nafasi aliyopewa. hii ndio shida ya kumpa mla ganja kitengo
 
Mtu akivuta bhangi anakua kichaa. Yaani hawezi control matendo yake. Yaani ni taahira fulani.
 
Kuna vitu tafsiri zake huwa ni za kiroho pekee..unaweza kupangilia jambo lako kwa umakini wa hali ya juu na kuchukuaa tahadhari zote lakini likaja kufelishwa ana kuharibiwa na kitu kidogo kabisa.

Adam Mchomvu kaharibu shughuli nzima. Shughuli iliyoandaliwa kwa gharama kubwa na kukusanya watu wengi pamoja na vyombo vingi vya habari... Mungu akaiseta na kuipiga teke kupitia mtajwa hapo juu akiwa mmoja wa washereheshaji waliokabidhiwa jukumu la kuiendesha shughuli kwa mafanikio

Hekima ya mtu haionekani kwenye majisifu furaha na shangwe hapo kila mtu huonesha hekima sana...hekima halisi huonekana kwenye changamoto hasa mlengwa anapoguswa uhalisia hasi wa ndani yake.

Mchomvu pamoja na kumlaumu Emanuel Mbasha ..mmoja wa wasanii walioalikwa alikuwa na kila uwezo wa kufanya shughuli nzima isiharibike. Yeye kwa wakati ule ndio alikuwa dereva kwenye jahazi. Kejeli ya abiria haingeweza kumtatiza mpaka asabbabishe chombo kiende mrama.

Hekima...hekima..hekima...kwa kuzingatia jukumu alilokuwa nalo jukwaani angepotezea kejeli ya utan(i?) Ya kuitwa Mchomvu mabangi ili amalize shughuli kisha afuate njia sahihi za kumuadabisha mbaya wake...hilo halikufanyika

Kitendo cha kumpiga mtama Mbasha pale jukwaani na baadae kumfuata nyuma ya jukwaa akitaka kumpiga tena na mwendelezo wa kuahidi kumtia adabu kimefunika dhima ya tukio zima la ufunguzi wa nyimbo za wasanii kwenye kampeni za chama cha siasa na sasa mitandaoni mjadala ni mtama na mabange ya Mchomvu

Mchomvu kathibitisha kuwa hana hekima na anazidi kujiweka pabaya zaidi kwa kusema bado hajamalizana na Mbasha hivyo atamtafuta na akimpata hajui nini kitatokea...hivi ikitokea Mbasha kapata tatizo lolote mtuhumiwa wa kwanza atakuwa nani?

Majisifu, ubabe na kujiona bora vitamwangamiza Mchomvu...nimemsikia akisema kajibrand kwa miaka 20 hivyo hakubali kenge mmoja amharibie...Mchomvu hii ni laana...Mungu hadhihakiwi wala habezwi wala hajaribiri

Msanii Dotnata kwa kulewa sifa kama za mchomvu aliwahi kujivuna kuwa hayuko tayari kuona ID yake aliyoibrand kwa gharama kubwa inaharibiwa na vimtu...Baada ya kauli hiyo Dotnata hakuwahi kusimama tena...ukimuona leo unaweza kutoa machozi

Mwingine ni Anthony Lusekolo mzee wa upako ..aliwahi kujimwambafy kuwa katumia almost billion 60 kuji brand leo hii kuna watu wanataka kumchafua kwa bei chee....!!!!Leo hii yuko wapi huyu kiumbe?

Kama wewe sio mabange hupaswi kupaniki..unaipotezea uone kama hutapata point 3 muhimu.

Poleni chama kwa disco kuingia mmasai, lichukulieni hili kiroho zaidi...!!!!!
Hiii inaitwa mende kabeba kabati yaani dhima yoote ya jana imeharibiwa na hao vijana
 
Mnaosema Adam kakosea mnakumbuka Zidane alichokifanya kwa Materazzi kwenye fainali za kombe la dunia 2006. Chanzo chake hakina tofauti na chanzo cha mbasha. Kumvunjia mtu heshima mbele ya hadhara si jambo jema, ukuzingatia hadhara yenyewe hadi Rais wa nchi yupo anatizama. Nina imani hata Mh. Magu kimoyo moyo amesupport uamuzi wa Adam. Majina ya watu maarufu ni Brand jitahidi kuyaheshimu haswa unapokua mbele ya Hadhira, ila kama mko chobingo huko vichochoroni utani ruksa.
Siku zote character ya mtu ndiyo jambo kubwa kuliko chochote. Talent bila character ni kazi bure huwa ni kitu cha muda mfup lakini ukiwa na tabia njema hujenga jina jema kwa mtu.
Kama havuti bangi angeambia hivyo?. Kosa si la mbasha bali ni mchomvu maana hiyo ni tabia ameijenga Kwa muda mfupi. Huwezi kuvuta bangi na matokeo yake asionekane
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom