Mchomvu 'mabangi' anapoonesha mabange yake

Mchomvu 'mabangi' anapoonesha mabange yake

Inawezekana angemind pia hata angekuwa B12 kwasababu kwa maelezo ya Adam ni kwamba neno lililotumika la bangi halikuwa sawa kwa maeneo yale since watu na heshima zao walikuwa wanafuatilia kipindi....

Inawezekana alikasirika sababu ya kuzushiwa uvutaji bangi....kuzushiwa kunakera ujue
Mbasha alijikazaa kupotezea nilichekaaa😅😂😅yani like nothing happened
 
Mimi na Mchomvu tupo pamoja.Mwanamke mjingamjinga kunikumbatia na kuniita mtumia madawa ya kulevya ni dhambi.
 
Nimekua nikirudia rudia kuiangalia clip ya hili tukio[emoji3][emoji3][emoji3], anavyomkumbatia Mchomvu, na kauli anazomwambia, then reaction ya Mchomvu, anavyoenda kuanguka, Inaleta kicheko cha kuji-rewind[emoji3][emoji3][emoji3]
Ni kichekesho sana[emoji23][emoji23]
 
Dunia ni sehemu ngumu sana ya kuishi...yaani mtu anakuproke unareact sababu upo out of control...na bado unaonekana mbaya...hivi walioweka provocation kama defence ya criminal liability duniani kote hawakua na akili?
Zidane alimpiga kichwa materazi siyo kwamba alikua anavuta bangi..provocation is real tuwe fair na inaua.

Huyo Mbasha anastress hajapona bado maumivu ya kuachwa na mkewe...inabidi amuone mtaalamu...binadamu mtu mzima huwezi kufanya vile...isitoshe kwenye halaiki kama ile..

Badala ya kumfungulia nyuzi za kumtetea...fungueni nyuzi za kusisitiza apate msaada wa kiakili.. He's not okay.
Mimi sijui wanamtetea nini?wanalaumu bangi....wanaacha kulaumu matatizo ya kiakili aliyokuwa nayo mbasha.
 
H
Mimi sijui wanamtetea nini?wanalaumu bangi....wanaacha kulaumu matatizo ya kiakili aliyokuwa nayo mbasha.
Hao ndo binadamu bwana...ndo maana huu uzi umeanza na "Mchomvu Mabange" ili kuukwepa ukweli mtumishi wa Mungu aonekana kapigwa na mvuta bangi...isingeandikwa hivyo watu wangetaka kujua kwanini kapigwa na upuuzi uonekane...ila wanambtiza jina "Mchomvu Mabange" ili ionekane chanzo ni bangi wakati chanzo ni udhalilishaji uliovuka mipaka uliopelekea provocation.
 
samahani jamaa naomba nikuulize swali hivi ulishawai kuvuta bangi? Mahana nahona bangi mnaibebesha msalaba wa mchomvu.

Kuna mkuu wa mkoa lakini alishastafu alishawai kumpiga kofi waziri mkuu mstafu mbele ya watu kibao hivi na yeye alikua amevuta bangi?
Jina lake ni nani?
 
H

Hao ndo binadamu bwana...ndo maana huu uzi umeanza na "Mchomvu Mabange" ili kuukwepa ukweli mtumishi wa Mungu aonekana kapigwa na mvuta bangi...isingeandikwa hivyo watu wangetaka kujua kwanini kapigwa na upuuzi uonekane...ila wanambtiza jina "Mchomvu Mabange" ili ionekane chanzo ni bangi wakati chanzo ni udhalilishaji uliovuka mipaka uliopelekea provocation.
Hao ndo binadamu bhana...wanajaribu kustiri hyo 'tittle' ya Utumishi uchwara.
 
Sasa mshana inakuwaje kumuhusisha MUNGU na hao tumbili wawili waliovuta bange zao na zikawapanda kichwani kisha kupigana ngwara?
 
Kwani hawa CCM wanakusanyaje wahuni tu na kuwapa kazi ya kubrand mgombea ngazi ya juu kabisa bila hao wasanii kuwapembua ipasavyo na kufanya nao pre-meeting ili wakubaliane "modus operandi"

Kukusanya kundi kubwa la wasanii waje "kwa lazima" kufanya kazi kwenye jukwaa moja ndo matokeo yake hayo. Kumbuka kuna wasanii wanahasimiana na hua hawakutani...sasa ukiwakutanisha kwa lazima washirikiane inakuaje?

In short intelligence ya CCM ni hovyo kabisa. Sasa acha walinywe hivyohivyo,

Wasanii hawa watawaharibia zaidi twendako
 
Kwani hawa CCM wanakusanyaje wahuni tu na kuwapa kazi ya kubrand mgombea ngazi ya juu kabisa bila hao wasanii kuwapembua ipasavyo na kufanya nao pre-meeting ili wakubaliane "modus operandi"

Kukusanya kundi kubwa la wasanii waje "kwa lazima" kufanya kazi kwenye jukwaa moja ndo matokeo yake hayo. Kumbuka kuna wasanii wanahasimiana na hua hawakutani...sasa ukiwakutanisha kwa lazima washirikiane inakuaje?

In short intelligence ya CCM ni hovyo kabisa. Sasa acha walinywe hivyohivyo,

Wasanii hawa watawaharibia zaidi twendako
Uchaguzi 2020 - Tathmini: Tamasha la CCM lilikua la ovyo na aibu tupu
 
Kwakifupi ukishakuwa mtu mzima, utani wa kiboya acha, hususani public, unashangaa mitama, utamkwaza mtu hadharani aje akudhuru, akufunge au hata kukuua. acha uboya, mtu mzima wewe.
 
Adam kakosea sana ilibidi baada ya ule mtama angemshindilia na ngumi na konzi juu kwenye upara alafu angemtemea mate
 
Tunaishangaa CCM ya siku hizi kuwatumia wavuta bangi na wahuni “kuvutia“ siasa au sera za CCM.
Yeyote ndani ya CCM aliyeratibu ujinga huu ni mwepesi sana kioganazesheni na kiuenezi.
Ujinga mtupu ku deal na watu ambao basically ni wahuni wa mitaani.
CCM sio ya washamba tena kama mnavyosemaga??
 
Back
Top Bottom