Mchina aliyepata "A" tisa NECTA

mkuuuu una IQ kubwa vbaya.....
hawa jamaa ukipinga wanatafuta kila 7bu ya kukutukana....msimamo ule ule,.
 
serikali ya China ilikusanya vichwa vyote nchini..vikapigwa crash course tata by 19 wakawa na Phd..wakenda US waka enroll degree course..kazii yao kuu ikawa kuiba intell na kusoma mfumo mzima wa USA
 
kwa uandishi wako tu umethibitisha kuwa wewe nae IQ yako ni ndogo sana.
hivi hoja yako hapa ni IQ ndogo za Waafrika ukilinganisha na wachina na race zingine au ni watu wanaompinga magufuli.
usitulazimishe tuwe na mtazamo sawa kwa anayoyafanya magufuli, mambo ya kijinga hufanyika pale wakosoaji wanapokaa kimya.
UKIONA WATU WOTE KWA WAKATI WOTE WANAMTAZAMO NA FIKRA SAWA UJUE FIKRA NA MITAZAMO YAO NI FINYU. USITAKE KUTUFIKISHA HAPA.
 
hawa watu huwa wanaamini sisi waafrica ni nyani
unahisi anaeza kukubali kujiunga kwenye jamii ya nyani tumbili?????
kma wanavyoamini???
huyu asifiwe2 kma hivi na aachwe
 
duhh kweli hamna kitu....
 
serikali ya China ilikusanya vichwa vyote nchini..vikapigwa crash course tata by 19 wakawa na Phd..wakenda US waka enroll degree course..kazii yao kuu ikawa kuiba intell na kusoma mfumo mzima wa USA
Khaa!..mkuu hatari sana na walikusanywa na umri gani,by 19 wakapata phD!,waliwakusanyaje,then phd to degree!
 
Nawe IQ yako ni ndogo zaidi kwa kunasibisha kipimo cha IQ na utendaji kazi wa JPM kwamba yuko sahihi kwa kila jambo kama unavyoamini.
 
CCM ndo imetufikisha apa..,.
kweli ukitaka kumtawala mtu milele,mnyime elimu...
naamini
 

Na huyo wa kwanza pia ni Asian!!! Nashangaa unaona mbili, lakini huoni moja.
Ninakubaliana na jitihada zote za Magufuli, lakini huhitaji kutumia IQ kuwasilisha hoja kama hii. By the way, anayekubali kila kitu inawezekana akawa na IQ ndogo zaidi.
 
Siku hizi nimeshuhudia wazazi wengi sana wakiwapeleka vijana wao private schools hata wapatapato nafasi ya kwenda kwenye hizo shule.

Enzi zile ukichaguliwa kujiunga na shule hizo ilikuwa nderemo na vifijo.
 
Babu yake alikuwa anajenga Reli ya Tazara au baba yake ni mwekezaji Kariakoo...???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…