Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,473
- 13,624
Wale walio fluent kwenye kingereza wamelifanyia nini cha maana taifa hili?.Usibishe wewe, ni kweli kuna walimu wa vyuo vikuu hawako fluent kiingereza,
Wale walio fluent kwenye kingereza wamelifanyia nini cha maana taifa hili?.Usibishe wewe, ni kweli kuna walimu wa vyuo vikuu hawako fluent kiingereza,
Anamaanisha alikuwa sayansi ô-level ndo akapata A english,inaonekana kichwa chako kigumu sanaaamkuu Pcb kuna somo la kiingereza.??
Umeishiwa hoja wewe, issue haikuwa kulifanyia nini taifa, kama umeishiwa si unanyamaza tu, kwani lazima ujibu, ubishi mwingine bana...Wale walio fluent kwenye kingereza wamelifanyia nini cha maana taifa hili?.
Siwezi kunyamaza ninaposoma hoja ambazo ni za kitoto sana. Kuna kasumba Tanzania, kwamba mtu anayejua kingereza ndio mjanja, ni kasumba mbaya sana ndio maana baadhi ya watu wakishalewa wanaanza kuchomekea maneno ya kingereza. Kingereza sio kila kitu maishani.Umeishiwa hoja wewe, issue haikuwa kulifanyia nini taifa, kama umeishiwa si unanyamaza tu, kwani lazima ujibu, ubishi mwingine bana...
Tumia akili yako vema. Umejiridhisha kwamba huyo ndo mchina pekee alifanya mtihani huo wa necta? Bila shaka jibu ni hapana! Sasa nenda utafute hao wengine wamekuwa wa ngapi? Sawa, private nyingi zimefanya vizuri Lakini hakuna pia private zilizofanya vibaya sana?!View attachment 324142
Mara Nyingi Sana jina linaweza kuwa sababu ya wewe Kupenya ama Kukwama kwenye maisha. Baada ya matokeo ya Kidato cha Nne siku ya Jana Story kubwa ni Mchina aliye pata nafasi ya Pili kitaifa ambaye ni Mchina.
CongCong Wang ambaye amepata A tisa na B Moja Ya Kiswahili anasema Cong Maana yake ni Clever na Wang Maana yake ni King... So Jina lake lina maana Clever Clever King. Katika Mtihani wa Mock mkoa wa Dar alikuwa wa 2.
Alianza kusoma darasa la pili alipomaliza darasa la saba akaamua kuchagua NECTA badala ya Mfumo wa CAMBRIDGE sababu mfumo wa NECTA ni mgumu zaidi.
Kiswahili ni lugha yake ya 4 kujifunza anasikitika kupata B wakati MOCK alipata A.
Kati ya masomo aliyokuwa anafurahia zaidi ni somo la Historia ambalo mwalimu alikuwa anafundisha vizuri sana kama Movie.
Source: Clouds Media Group
Tumia akili yako vema. Umejiridhisha kwamba huyo ndo mchina pekee alifanya mtihani huo wa necta? Bila shaka jibu ni hapana! Sasa nenda utafute hao wengine wamekuwa wa ngapi? Sawa, private nyingi zimefanya vizuri Lakini hakuna pia private zilizofanya vibaya sana?!
Narudia kusema tumia akili yako VEMA
Tusitumie ufikiri mdogo kujustify mawazo duni!
Mkuu Jodeo mbona unanishambulia kwa matusi kiasi hicho?hii habari chanzo chake ni Clouds Media Group,Uungwana ni vitendoTumia akili yako vema. Umejiridhisha kwamba huyo ndo mchina pekee alifanya mtihani huo wa necta? Bila shaka jibu ni hapana! Sasa nenda utafute hao wengine wamekuwa wa ngapi? Sawa, private nyingi zimefanya vizuri Lakini hakuna pia private zilizofanya vibaya sana?!
Narudia kusema tumia akili yako VEMA
Tusitumie ufikiri mdogo kujustify mawazo duni!
Wewe mbishi...Siwezi kunyamaza ninaposoma hoja ambazo ni za kitoto sana. Kuna kasumba Tanzania, kwamba mtu anayejua kingereza ndio mjanja, ni kasumba mbaya sana ndio maana baadhi ya watu wakishalewa wanaanza kuchomekea maneno ya kingereza. Kingereza sio kila kitu maishani.
spoken na written language vitu viwili tofauti. Pamoja na hili ufaulu mkubwa baadhi ya shule za "wakubwa" inachangiwa na uvujaji wa mitihani. Fedha inabomoa mlima.
Samahan wakuu...unawezaje ukaandika halafu ukashindwa kuongea??