We unayo sample !? ...wapelekee wapime hiyo indust chemicalMaelezo sahihi huu mchele ni wa kutengenezwa (industrial made), inaaminika moja ya ingridients ni chemical inayotumika kutengeneza plastic, ndilo chimbuko la term mchele wa plastic. Ni vema badala ya serikali kukanusha ikafanya uchunguzi wa kina kupata ukweli.
Acha uchizi kila siku mnaambiwa mwenye huo mchele apeleke lakini hamfanyi hivyo.Kinachoumiza ni jinsi ambavyo afya ya Mtanzania haipewi thamani . Hivi hizi bidhaa feki zinapita wapi? TFDA kwanini wasiweke kituo Bandarini? Funga maisha na anayecheza na uhai wa wa Tanzania.
Hebu muungwana tuambie utakua ni Michele wa nini huo!? Maana ule upatikanao kwa mpunga huwa ukiufinyanga na kuutupa chini unaparavganyika wote
Sent using Jamii Forums mobile app







Tonge la wali haliwezi kudunda kamwe...ukilitupa chini linasambaa ama linaseleleka na si kudunda kama mpira,
huo ndo uelewa wangu mie na nina uzoefu na aina mbalimbali za matonge
Na wewe utuambie, Plastic inapikwa ikaiva? Tena ikakolea nazi na futa juu..Hebu muungwana tuambie utakua ni Michele wa nini huo!? Maana ule upatikanao kwa mpunga huwa ukiufinyanga na kuutupa chini unaparavganyika wote
Sent using Jamii Forums mobile app
Nani alithibitisha kuwa haudundi??Inaweza ikawa sio plastic kama watu wanavyodai , mi nafikiri concern muhimu ni kwanini mchele udunde kama kitenesi? mchele unaotokana na mpunga hudunda?!
Umesema kweli mkuu, kama Clouds wamefikia hapo ni vyema serikali wakakifunga hicho kituo wasije kuambukiza ujinga wao vijana wetu..Hao watangazaji wote ni wajinga malofa na wapumbavu..... labda kama hawajui maana ya plastic yani mchele wa plastic uupike upoe na ule na bado digestion ifanye kazi hahaha labda kama hawajui tabia za plastic....
Plastic ikipoa tuu ina ganda.... na plastic kuyeyuka ina hitaji joto kubwa sana...
Huu ujinga wao unaweza sababisha wakafungiwa halafu wakaanza kulia lia...
Hivi kweli Unahitaji kuwa mwana sayansi kujua kuwa hakuna uwezekano wa kuwa na mchele wa plastic?
Cku zote maji hupimwa kwa macho kabala hujatia mguu kujua kina chake..so ht km ni cheap ways or local lkn izingatiweTatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
Swali zuri. Lakini kama mchele husika ulidundishwa ukadunda, basi hiyo ilionyesha kuwa si mchele wa kawaida na haufai kwa chakula cha binadamu bali kutengenezea mipira.Kujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
Hapana,ni kumezaKujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
Kwa hiyo mchele utokanao na mpunga unaweza kudunda?Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
Acha kuupotosha umma wa Tanzania Video unayoisema wewe nimeweka hapa huo wanaotengeneza siyo mchele bali ni vipunje vidogo vinavyofanana na mchele kwa ajili ya kufungashia bidhaa rahisi kuvunjika kama glass na vyombo/sahani za udongo.