Jua usiyoyajua
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 1,166
- 684
Clouds you need to go far, please prove it beyond doubt before publicity.
Mchele au wali??Mchele unaweza kufinyangwa na ukafinyangika kuwa tonge?
wao wanaendeshwa na story za mtaani pasipo wao kufuatalia mwisho wa siku tunapewa habari nyepesi na zakishenzi kutoka kwenye media zetu.hahahaha hao ni malofa na wapumbavu kabisa wanapotosha jamii kwa ulofa na upumbavu wao hivi hilo joto linaweza kupatika kabisa kwenye maji ya kupikia wali hahhaha unajua.
Bado najiuliza kweli inahitaji kuwa mwana sayansi kujua hili jambo halipo kabisa.......
Ulishakaa chini ukatafakari na kujiuliza kwa nini mfuko wa plastic unaitwa RAMBO na siyo hayo majina uliyoyataja hapo juu??no,hatusemi ni moja kwa moja plastic,pengine watu wamechukulia easy tu kutamka plastic km ambavyo mfuko wowote wa plastic wabongo tunauita RAMBO,kwa nn tusiuite MICHAEL DUDIKOF AU CHACK NORRIS AU JEAN CLAUDE VAN DAMME?,,,,lkn tukiangalia tonge la kitu cha Mbeya au Kahama au cha huku kwetu Magugu hakiwez dunda mkuu,nadhani TFDA wanatakiwa watupe material halisi yaliyotumika siku wakiuona
Mchele wa plastic maana yake ni plastic, ukichoma moto unaungua kama Plastic,Usiwalaumu TFDA, Kama hawajakutana nao hamuwezi kuwalazimisha, kinachotakiwa ni wananchi kushirikiana nao mara tunapoisi kuwepo kwa mchele huo.
Wakauchukue, waupime, halafu watuletee feed back.Wakikaa kimya tutajua nao ni magaragaja.Walikurupuka mno kutoa taarifa,wangefanya utafiti wa kina kwanza.Tumeshasema mara nyingi,no research no right to speak.Ikumbukwe wiki kadhaa zimepita paliibuka uvumi wa uwepo wa mchele wa plastic hapa nchini unaosadikiwa kutoka nchini china. Lakini baada ya muda TFDA waliibuka na kusema hakuna kitu kama hicho hapa nchini.
Leo hii katika kipindi cha cha "leo tena" watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa. Na mpaka naandika uzi huu wamesema huo mchele wanao hapo studio.
Chanzo: Clouds Fm
My Take;
TFDA badala ya kukaa ofisini mnapulizwa kiyoyozi kwa nini msikimbie hapo mikocheni kwenye studio za clouds fm mkachukue sample yao mkaipime pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kazi yao. Yeye waziri anasubiri nini kwenda Clouds kuwaomba hy sampuli?Clouds ndo maana mnavamiwa na mi binduki, kama mnao kwanini msipeleke sampuli kwa waziri wa afya ili achukue hatua?
Tcra On WorkSometime nakosa imani kabisa na TFDA hadi nafikiri huenda kuna mlungula wanakula ili kuhatarisha afya zetu, ushahidi unatolewa kabisa wao wanasema hakuna mchele wa plastic, natamani kuwatukana sema ndo hivyo dini yangu hairuhusu, ila wakiendelea upuuzi wao wakusema tunafanya uchunguzi, sijui hakuna mchele wa plastic itabidi nitengue kanuni..........
Great question..!Kujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
Kwahiyo unataka kutuaminisha kuwa kuna mpunga wa bandia??HUO MCHELE UPO, TUUITE BANDIA ILA SIO PLASTIKI
Sawa ni local ila ushawahi ona mchele ambao umepikwa alaf ukafinyanga tonge ukadundisha kwa chini ukaanza kuruka ruka kwa kawaida ubwabwa utanata kwenye sakafuTatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
Kujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?