Mchele wa plastic; Clouds Fm yaiumbua TFDA

Mchele wa plastic; Clouds Fm yaiumbua TFDA

hahahaha hao ni malofa na wapumbavu kabisa wanapotosha jamii kwa ulofa na upumbavu wao hivi hilo joto linaweza kupatika kabisa kwenye maji ya kupikia wali hahhaha unajua.
Bado najiuliza kweli inahitaji kuwa mwana sayansi kujua hili jambo halipo kabisa.......
wao wanaendeshwa na story za mtaani pasipo wao kufuatalia mwisho wa siku tunapewa habari nyepesi na zakishenzi kutoka kwenye media zetu.

lazima tulipe kodi
 
no,hatusemi ni moja kwa moja plastic,pengine watu wamechukulia easy tu kutamka plastic km ambavyo mfuko wowote wa plastic wabongo tunauita RAMBO,kwa nn tusiuite MICHAEL DUDIKOF AU CHACK NORRIS AU JEAN CLAUDE VAN DAMME?,,,,lkn tukiangalia tonge la kitu cha Mbeya au Kahama au cha huku kwetu Magugu hakiwez dunda mkuu,nadhani TFDA wanatakiwa watupe material halisi yaliyotumika siku wakiuona
Ulishakaa chini ukatafakari na kujiuliza kwa nini mfuko wa plastic unaitwa RAMBO na siyo hayo majina uliyoyataja hapo juu??
 
TFDA, hujui walichokisema. Kama hawakuwa na taarifa walitakiwa wasiseme "hakuna mchele wa plastic". Huu ni upumbavue. Wamepewa kazi na wanalipwa kwa kuhakikisha usalama wa walaji. Hawapaswhi kukaa ofisini wakigonga mihuri bila kukakatia utafiti na uangalizi wa nini knaliwa na watu.

Ukisema hawajakutana nao, basi wafutwe kazi na hawana sababu ya kuendelea kulipwa kwa wala kupewe dhamana hiyo. Walipashwa wahakikishe wao ni wa mwanzo kukutana nao badala ya kula usingizi ofisini na hat wanapoambiwa wanasema "hatujakutana nao". Uwafuate walipokaa wakikioroma usinginzi?

Halloo, tena naomba unsinikumbushe uzembe ulioko serikalini. Kama hujui kufanya kazi kwa ubunifu unasubiri matatizo yatokee utolee tammko, bila shaka hata wewe hufai kufanya kazi. Naomba sana ubutu wa kichwa chako peleka mbali na macho yangu. Ninyi ndio mnaotuharibia nchi.

Ishia basi!

Mchele wa plastic maana yake ni plastic, ukichoma moto unaungua kama Plastic,Usiwalaumu TFDA, Kama hawajakutana nao hamuwezi kuwalazimisha, kinachotakiwa ni wananchi kushirikiana nao mara tunapoisi kuwepo kwa mchele huo.
 
Ikumbukwe wiki kadhaa zimepita paliibuka uvumi wa uwepo wa mchele wa plastic hapa nchini unaosadikiwa kutoka nchini china. Lakini baada ya muda TFDA waliibuka na kusema hakuna kitu kama hicho hapa nchini.

Leo hii katika kipindi cha cha "leo tena" watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa. Na mpaka naandika uzi huu wamesema huo mchele wanao hapo studio.

Chanzo: Clouds Fm

My Take;
TFDA badala ya kukaa ofisini mnapulizwa kiyoyozi kwa nini msikimbie hapo mikocheni kwenye studio za clouds fm mkachukue sample yao mkaipime pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakauchukue, waupime, halafu watuletee feed back.Wakikaa kimya tutajua nao ni magaragaja.Walikurupuka mno kutoa taarifa,wangefanya utafiti wa kina kwanza.Tumeshasema mara nyingi,no research no right to speak.
 
Mchele upo,mimi mwenyewe niliujaribu kwa njia hizo baada ya kupikwa kwangu.Wanihakikishie usalama nitawapeleka duka la mpemba anapouza au nitawanunulia kilo moja wale nao wadhurike.Wasikwepe wajibu wao
 
Sometime nakosa imani kabisa na TFDA hadi nafikiri huenda kuna mlungula wanakula ili kuhatarisha afya zetu, ushahidi unatolewa kabisa wao wanasema hakuna mchele wa plastic, natamani kuwatukana sema ndo hivyo dini yangu hairuhusu, ila wakiendelea upuuzi wao wakusema tunafanya uchunguzi, sijui hakuna mchele wa plastic itabidi nitengue kanuni..........
Tcra On Work
 
Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
Sawa ni local ila ushawahi ona mchele ambao umepikwa alaf ukafinyanga tonge ukadundisha kwa chini ukaanza kuruka ruka kwa kawaida ubwabwa utanata kwenye sakafu
 
Tofauti kati ya plastic na lailoni ni nini
 
Ulimbukeni wa Watanzania utauweza basi...hiyo sijui chemical property ya wapi!!!

Kuna video clip imesambaa eti mashine zinafyatua mchele wa plastic, ilihali wenzao wanatengeneza plastic pellets kwa ajili ya utengenezaji wa bidhaa mbalimbali za plastics...
Kujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
 
Back
Top Bottom