Wenye akili tu ndio watakua wamenielewa kwamba sijabisha na wala sijauliza swali nimetaka ufafanuzi tu,lakini kutokana na tatizo la uelewa ndilo limekupelekea utake ushindaniNa wewe utuambie, Plastic inapikwa ikaiva? Tena ikakolea nazi na futa juu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya hao claus wako waliosomea uandishi na utangazajiwa habari za ushilawadu na TFDA waliosomea chakula na dawa ni nani anayeweza kutoa jibu la kisayansi?Ikumbukwe wiki kadhaa zimepita paliibuka uvumi wa uwepo wa mchele wa plastic hapa nchini unaosadikiwa kutoka nchini china. Lakini baada ya muda TFDA waliibuka na kusema hakuna kitu kama hicho hapa nchini.
Leo hii katika kipindi cha cha "leo tena" watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa. Na mpaka naandika uzi huu wamesema huo mchele wanao hapo studio.
Chanzo: Clouds Fm
My Take;
TFDA badala ya kukaa ofisini mnapulizwa kiyoyozi kwa nini msikimbie hapo mikocheni kwenye studio za clouds fm mkachukue sample yao mkaipime pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata humu tupo malofa na wapumbavu wengi tena sana yani watu wanavyo jisifu kila leo humu kuwa wana uwezo wa kufikiri nje ya box na kuhoji lakini bado wana amini bila kufikiri kuwa kuna mchele wa plastic....Umesema kweli mkuu, kama Clouds wamefikia hapo ni vyema serikali wakakifunga hicho kituo wasije kuambukiza ujinga wao vijana wetu..
Umesema kweli hao watangazaji ni wajinga, wapumbavu, malofa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi nashindwa kuwaelewa wanao jiita great thinker wanashindwa kujiuliza hata tabia ya plastic...VP kuhusu mchele halisi wamejaribu kuufinyanga na kuudundisha chini wakaona haudundi,Sina tatizo na TFDA
Sent using Jamii Forums mobile app
NaTonge la wali haliwezi kudunda kamwe...ukilitupa chini linasambaa ama linaseleleka na si kudunda kama mpira,
huo ndo uelewa wangu mie na nina uzoefu na aina mbalimbali za matonge
Kwanza ni ulofa na upumbavu kabisa watangazaji kujadili mambo ya kijinga kama yale...eti mchele wa plasticKati ya hao claus wako waliosomea uandishi na utangazajiwa habari za ushilawadu na TFDA waliosomea chakula na dawa ni nani anayeweza kutoa jibu la kisayansi?
Nani aliyewadanganya kuwa kudunda ndio SI unit ya plastic?
Na ukiiweka kwenye sahani ikipoa ina ganda.Na
1. Plastic haipikiki ( ukiipika itagandiana kwenye sufuria na kubadilika umbile
2. Plastiki haitafuniki
3. Plastiki haisagiki tumboni na wala haiozi ( ukiula unautoa hivyo hivyo )
4. Plastic haiwezi kuwa na harufu kama ya wali
5. Kwa mtumiaji wa wali wa siku nyingi kama ungekuwepo nchele wa aina hiyo, basi ukiweka mdomoni tuu ungehisi kitu cha ajabu
6. Garama za kuzalisha kitu kama hicho ni kubwa kuliko mchele wa kulimwa
Hakuna ,kitu cha namna hiyo ninyi suseni sisi tunakulaga wali tuu, ninyi suseni mchicha ( eti kidudumtu) sisi tunakulaga na kidudu mwenyewe
Sio kwamba wana habari bali wana sambaza ulofa na upumbavu kabisa hivi huo utangazaji wa kupotosha mliusomea wapi? kwanini hawakuchua huo mchele na kuupeleka TFDA? Hivi kweli ina hitaji kuwa mwana sayansi kujua kuwa kuna mchele wa plastic? Huu wanaofanya haao watangazi ni ulofa na upumbavu? hivi wameshindwa ku google na kujua tabia za plastic?Clouds ni chombo cha habari. Kazi yake ni kuhabarisha!
Wizara ya afya ipo kwaajili ya kufuatilia mambo yote yanayohusiana na afya za wananchi.
Kwa maelezo hayo mafupi, nafikiri itakua umeelewa ni nani anatakiwa kuwajibika na kwa namna gani.
Nikutakie siku njema mkuu!
- KANA -
umeiangalia hiyo video hahahahahaNaona hii video uliyotuma pia inasoma "chinese making plastic rice"...anyways,kulingana na hali ya kusemwa semwa saana,basi TFDA wajitokeze,wapewe hizo sample zinazosadikika then watoe tamko kwa umma kwamba majibu waliyoyapata yanasemaje ili tujue.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sijasoma vibaya mkuu umetukana. Kudindisha, ndiyo kufanyaje? Naomba unisahihishe kama nimekosea kunukuu.Kujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
hahahaha hao ni malofa na wapumbavu kabisa wanapotosha jamii kwa ulofa na upumbavu wao hivi hilo joto linaweza kupatika kabisa kwenye maji ya kupikia wali hahhaha unajua.hao clouds fm plastic wanaijua vizuri kwel? walitakiwa waseme mchele feki lakini sio mchele wa plastic. melting point ya plastic ni 130 -170° sasa napata ukakasi pale kuwa mchele unafinywa mpaka unafinyagika kwa joto la kawaida. kwa kawaida binadamu labda ufinyange kwa kutumia industrial groves.
lazima tulipe kodi
Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
BundukiClouds ndo maana mnavamiwa na mi binduki, kama mnao kwanini msipeleke sampuli kwa waziri wa afya ili achukue hatua?