Mchele wa plastic; Clouds Fm yaiumbua TFDA

Mchele wa plastic; Clouds Fm yaiumbua TFDA

Ikumbukwe wiki kadhaa zimepita paliibuka uvumi wa uwepo wa mchele wa plastic hapa nchini unaosadikiwa kutoka nchini china. Lakini baada ya muda TFDA waliibuka na kusema hakuna kitu kama hicho hapa nchini.

Leo hii katika kipindi cha cha "leo tena" watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa. Na mpaka naandika uzi huu wamesema huo mchele wanao hapo studio.

Chanzo: Clouds Fm

My Take;
TFDA badala ya kukaa ofisini mnapulizwa kiyoyozi kwa nini msikimbie hapo mikocheni kwenye studio za clouds fm mkachukue sample yao mkaipime pia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwanza unaodunda kama mpira si mchele ni wali.

Hao mapunguani wangechukuwa wali wa mchele mpya uliotoka kukobolewa mashine waone unavyodunda.

Hawajuwi mchele hao, usikute chakula mama kwao ni matoke.
 
Hzo Redio Za Watangazaj Wa Std7 Na Form4 Failure Znashda Sana. Kwa Mtu Mwenye Ufaham Mdogo Tu Wa Chemistry Hawez Kushupalia K2 Accho Na Utafit Nacho. Kuna Cku Walikuwa Wanajadili Jiko Litakalo Kuwa Linatumia Makaa Ya Mawe Badala Ya Mkaa Wa Kawaida, Yaan Vihoja, Km Mtu Huna K2 Kchwan Bora Kukaa Kmya Kuliko Kutumia Media Kuonyesha Ulivokimbia Shule. Ukihoj Watakwambia Kutangaza Kipaji.
 
Naona hii video uliyotuma pia inasoma "chinese making plastic rice"...anyways,kulingana na hali ya kusemwa semwa saana,basi TFDA wajitokeze,wapewe hizo sample zinazosadikika then watoe tamko kwa umma kwamba majibu waliyoyapata yanasemaje ili tujue.

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes imeandikwa hivyo kwa sababu aliyepost hiyo video youtube ni mwanadamu kama mm na ww, na uzuri wa youtube wamekupa uhuru wa kupost chochote kiwe fake au original.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hzo Redio Za Watangazaj Wa Std7 Na Form4 Failure Znashda Sana. Kwa Mtu Mwenye Ufaham Mdogo Tu Wa Chemistry Hawez Kushupalia K2 Accho Na Utafit Nacho. Kuna Cku Walikuwa Wanajadili Jiko Litakalo Kuwa Linatumia Makaa Ya Mawe Badala Ya Mkaa Wa Kawaida, Yaan Vihoja, Km Mtu Huna K2 Kchwan Bora Kukaa Kmya Kuliko Kutumia Media Kuonyesha Ulivokimbia Shule. Ukihoj Watakwambia Kutangaza Kipaji.
hahahah hata siku hiyo nilicheka sana yani tatizo wanataka kujadili jambo hata ambalo hawana uelewa nalo...
Halafu mambo mengine wanayo yapotosha ni ya kijinga ambayo hayahitaji elimu kujua kuwa ni uongo....
 
Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
....Mkuu sema tuu waongeze more parameters, lakini elasticity ni one property of the plastic materials

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu Elimu Elimu, wanga(starch) unatabia ya kushika vitu kama gundi. Sioni shida mchele ukidunda. Labda swali lingine jepesi ni hili, ukitengeneza mchele wa plastiki gharama yake inaweza kuwa chini ya bei ya mchele wa kawaida ukijumlisha na usafirishaji ?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Elimu Elimu Elimu, wanga(starch) unatabia ya kushika vitu kama gundi. Sioni shida mchele ukidunda. Labda swali lingine jepesi ni hili, ukitengeneza mchele wa plastiki gharama yake inaweza kuwa chini ya bei ya mchele wa kawaida ukijumlisha na usafirishaji ?.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio kwamba wana habari bali wana sambaza ulofa na upumbavu kabisa hivi huo utangazaji wa kupotosha mliusomea wapi? kwanini hawakuchua huo mchele na kuupeleka TFDA? Hivi kweli ina hitaji kuwa mwana sayansi kujua kuwa kuna mchele wa plastic? Huu wanaofanya haao watangazi ni ulofa na upumbavu? hivi wameshindwa ku google na kujua tabia za plastic?
Hebu rudia tena kusoma comment uliyoiquote, ina majibu yote ya maswali yako!

- KANA -
 
Ikumbukwe wiki kadhaa zimepita paliibuka uvumi wa uwepo wa mchele wa plastic hapa nchini unaosadikiwa kutoka nchini china. Lakini baada ya muda TFDA waliibuka na kusema hakuna kitu kama hicho hapa nchini.

Leo hii katika kipindi cha cha "leo tena" watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa. Na mpaka naandika uzi huu wamesema huo mchele wanao hapo studio.

Chanzo: Clouds Fm

My Take;
TFDA badala ya kukaa ofisini mnapulizwa kiyoyozi kwa nini msikimbie hapo mikocheni kwenye studio za clouds fm mkachukue sample yao mkaipime pia.

Sent using Jamii Forums mobile app


Binafsi siwaamini kabisa hawa wauza sembe, wana vitu vya hajabu sana kama vile kuua wasanii na kusambaza sembe kila kona ya dunia. Usikute huu mchele umetengenezwa na wao wenyewe, wakaukamata ili wapate ujiko na jamii iwachukulie kuwa wanatujali. Sina imani kabisa na wauza sembe.
 
Kati ya hao claus wako waliosomea uandishi na utangazajiwa habari za ushilawadu na TFDA waliosomea chakula na dawa ni nani anayeweza kutoa jibu la kisayansi?

Nani aliyewadanganya kuwa kudunda ndio SI unit ya plastic?
Na
1. Plastic haipikiki ( ukiipika itagandiana kwenye sufuria na kubadilika umbile

2. Plastiki haitafuniki

3. Plastiki haisagiki tumboni na wala haiozi ( ukiula unautoa hivyo hivyo )

4. Plastic haiwezi kuwa na harufu kama ya wali

5. Kwa mtumiaji wa wali wa siku nyingi kama ungekuwepo nchele wa aina hiyo, basi ukiweka mdomoni tuu ungehisi kitu cha ajabu

6. Garama za kuzalisha kitu kama hicho ni kubwa kuliko mchele wa kulimwa

Hakuna ,kitu cha namna hiyo ninyi suseni sisi tunakulaga wali tuu, ninyi suseni mchicha ( eti kidudumtu) sisi tunakulaga na kidudu mwenyewe
msibishe sana,kuna siku dira ya dunia bbc,walitoa habari huko china pana mchicha wa plastic
 
Ikumbukwe wiki kadhaa zimepita paliibuka uvumi wa uwepo wa mchele wa plastic hapa nchini unaosadikiwa kutoka nchini china. Lakini baada ya muda TFDA waliibuka na kusema hakuna kitu kama hicho hapa nchini.

Leo hii katika kipindi cha cha "leo tena" watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa. Na mpaka naandika uzi huu wamesema huo mchele wanao hapo studio.

Chanzo: Clouds Fm

My Take;
TFDA badala ya kukaa ofisini mnapulizwa kiyoyozi kwa nini msikimbie hapo mikocheni kwenye studio za clouds fm mkachukue sample yao mkaipime pia.

Sent using Jamii Forums mobile app

Nchi inayoacha kusikiliza Food and Drugs authority inamsikiliza mtangazaji ambaye hana qualifications zozote za kupima na kutambua uhalisia wa bidhaa kitaalam ni nchi ya ajabu sana.

Tunastahili umaskini weru,kuitwa mal*fa na tunastahili kuwa ma viongozi wa hovyo hovyo kwa sababu wananchi asilimia kubwa ni wa hovyo hovyo wakifuatisha mambp ya hovyo hovyo.
 
Kuuchoma moto sio local? Wewe ulifikiria hilo la kuangalia kama unaweza kudunda kabla ya kusikia? Huoni hicho kipimo cha kudunda kinaonesha hata material yaliyotumika yaweza kuwa rubber/ mpira ila watu wanaita tu plastiki na ikawa ni ugunduzi zaidi wa design ya mchele huo? Kwa mchele wa kawaida, tonge la wali likibwagwa chini lazima lisambae na wala sio kudunda. Kwani plastiki zote ziko sawa na zinayeyuka zikichomwa au kuwekwa kwenye joto kali? Kwa taarifa yako kuna teknolojia ya masufuria ambayo yana layer ya plastiki kwa ndani (ya aina yake sio kama plastic bag) na yanapika kwa kutumia joto kali sana na ile plastiki haiyeyuki. Kwenye engines za magari kuna rubber kibao na joto ni kali sana wakati zinafanya kazi lakini haziyeyuki.
Mfano mzuri ni SILICONE[gasket maker],hii kitu inahimili joto la hadi 150 degrees ktk engine na bado haiyeyuki,ije kuyeyuka kwa hivi vi moto vyetu vya mkaa?,...na ile unaweza kuitengeneza kwa mviringo vizuri na ikiganda hata ummpe MARIA SHARAPOVA au SERRENA WILLIAMS wanacheza fresh tu,na sio ajabu cku hiyo wakatoka droo
 
Back
Top Bottom