Mchele wa plastic; Clouds Fm yaiumbua TFDA

Mchele wa plastic; Clouds Fm yaiumbua TFDA

Ikumbukwe wiki kadhaa zimepita paliibuka uvumi wa uwepo wa mchele wa plastic hapa nchini unaosadikiwa kutoka nchini china. Lakini baada ya muda TFDA waliibuka na kusema hakuna kitu kama hicho hapa nchini.

Leo hii katika kipindi cha cha "leo tena" watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa. Na mpaka naandika uzi huu wamesema huo mchele wanao hapo studio.

Source; Clouds Fm

My Take;
TFDA badala ya kukaa ofisini mnapulizwa kiyoyozi kwa nini msikimbie hapo mikocheni kwenye studio za clouds fm mkachukue sample yao mkaipime pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
wabanwe hao Clouds FM waeleze wameletewa na nani. Tunajua wanazo mbinu nyingi za kuingiza vitu mbalimbali nchini ambavyo inasemekana vinawanufaisha wao.
 
Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana

Jaribu kudundisha mchele wa kawaida kama utadunda.
 
Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
Duuh umefikiria hasa mkuu
 
Lakini hawa TFDA still wanasisitiza eti mchele wa plastic haupo nchini.............wanatupotosha hawa

Namsikiliza hapa huyu Gaudensia Simwaza
 
BBC walishalitolea maelezo, walisema mchele wa kawaida ukipikwa vizuri ukaviringwa kama mpira unaweza kudunda kama inavyoonyeshwa na wala siyo plastic! It is just a myth! Angalizo, hii haimaanishi tfda wasichunguze!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
Elimu, Elimu,Elimu. Watu wakielimika hawawezi kuamini porojo kama hizi. Tujiulize ni watu wangapi wako hospital wanatibiwa kwa kula huo mchele? Mfumo wa uyeyushaji wa chakula tumboni hauwezi kuyeyusha plastic, kwa hiyo watu wengi sana wangekuwa wamedhurika. Hata kutafuna tu, meno gani ya binadamu yanaweza kutafuna plastic hadi kumeza??
 
Lakini pia hili ni jambo la kustajabisha sana! Tanzania ni nchi ya kuruhusu mchele toka china kweli? Tunauza mchele kwa majirani zetu alafu tuagize mchele toka china? Ata sumu tulishwe tu kama tunashindwa kizalisha mchele ata wa chakula achilia mbali wa biashara!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
Tatizo la watanzania wengi ni shule, kitu chochote kikidunda basi inakuwa confirmed kwamba ni plastic, kama thesis ndo hiyo, je hakuna chakula kingine either ni tunda or any compressed food, kinaweza kudunda. Test nzuri ya huo mchele ni kuuchoma moto na kunusa harufu...then unaweza thibitisha lakini sio kwa umbea..
Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sometime nakosa imani kabisa na TFDA hadi nafikiri huenda kuna mlungula wanakula ili kuhatarisha afya zetu, ushahidi unatolewa kabisa wao wanasema hakuna mchele wa plastic, natamani kuwatukana sema ndo hivyo dini yangu hairuhusu, ila wakiendelea upuuzi wao wakusema tunafanya uchunguzi, sijui hakuna mchele wa plastic itabidi nitengue kanuni..........
Nikuulize swali Kijana wa leo hivi unaamini kabisa kwamba kuna mchele wa plastic?Hembu chukua hata bomba la dripu katakata vipande vidogo size ya mchele then bandika maji kwenye sufuria/rice cooker weka na mafuta ya kutosha bila kusahau chumvi na njegere na karoti kwa mbali then pika mpaka kiive then pakua weka kwenye sahani uone utakachokutana nacho....Haihitaji rocket science kun'gamua vitu vidogo kama hivi Mzee baba,, kwa kifupi hakuna kitu kama hicho.
 
Clouds madeni yatafufuliwa mda si mrefu..watu hawataki kukosolewa wao ndo Mungu wao ndo shetani....hayaaa
 
Kuna zile video zilikua zinasambaa za ivo viwandar

sent from my iPhone 6
 
Ikumbukwe wiki kadhaa zimepita paliibuka uvumi wa uwepo wa mchele wa plastic hapa nchini unaosadikiwa kutoka nchini china. Lakini baada ya muda TFDA waliibuka na kusema hakuna kitu kama hicho hapa nchini.

Leo hii katika kipindi cha cha "leo tena" watangazaji wamesema huo mchele waliletewa jana na walifinyanga tonge na kuurusha chini na ulikua unadunda kabisa. Na mpaka naandika uzi huu wamesema huo mchele wanao hapo studio.

Chanzo: Clouds Fm

My Take;
TFDA badala ya kukaa ofisini mnapulizwa kiyoyozi kwa nini msikimbie hapo mikocheni kwenye studio za clouds fm mkachukue sample yao mkaipime pia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao watangazaji wote ni wajinga malofa na wapumbavu..... labda kama hawajui maana ya plastic yani mchele wa plastic uupike upoe na ule na bado digestion ifanye kazi hahaha labda kama hawajui tabia za plastic....
Plastic ikipoa tuu ina ganda.... na plastic kuyeyuka ina hitaji joto kubwa sana...
Huu ujinga wao unaweza sababisha wakafungiwa halafu wakaanza kulia lia...
Hivi kweli Unahitaji kuwa mwana sayansi kujua kuwa hakuna uwezekano wa kuwa na mchele wa plastic?
 
Tonge la wali haliwezi kudunda kamwe...ukilitupa chini linasambaa ama linaseleleka na si kudunda kama mpira,
huo ndo uelewa wangu mie na nina uzoefu na aina mbalimbali za matonge
Hivi unajua maana ya plastic?
 
Hebu muungwana tuambie utakua ni Michele wa nini huo!? Maana ule upatikanao kwa mpunga huwa ukiufinyanga na kuutupa chini unaparavganyika wote

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa vyovyote vile kulingana na maana na tabia ya vitu vya plastic huo mchele hauwezi kuwa kamwe mchele wa plastic...
Huo ni uzushi lakini ni aibu zaidi uzushi kusambazwa na vyombo vya habari........
 
Back
Top Bottom