Mchele wa plastic; Clouds Fm yaiumbua TFDA

Mchele wa plastic; Clouds Fm yaiumbua TFDA

Kiongozi, kabla ya kutaka kuleta shule kuuubwa hapa, jua LISEMWALO LIPO. Usiumize kichwa kwa kujaribu kujitutumua kuwa unauelewa mpana wa masuala COMPLEX ilihali hili jambo ni sawa na 3+3 tu.

Zile package za unga, let say NGANO ya Azam, ni plastic au udongo? Je, umewahi ona ile clip inayoonesha jamaa wanatumia 'nyuzi' za kusukia sandarusi hizo kutengeneza mchele??? Mchele huo utaitwaje?

Sasa suala la kujitutumua linaingiaje hapa. kwanza nini maana ya kujitutumua? Kwamba mtu asiyekuwa na uwezo wa jambo fulani na kutaka kulifanya wakati capacity yake ni ndogo. mfano, kubeba kilo mia wakati uzito wake kilo arobaini.

Sasa unaonyesha kama mimi nilikuwa najitutumua.

Kwa kifupi ninikuwa naongezea maswali kwa mchangiaji aliyetangulia na kuuliza maswali ya namna hiyo, na wewe ulitakiwa usome kwanza ile quote ndipo uelewe nilichokuwa nina maanisha.
 
Clouds ndo maana mnavamiwa na mi binduki, kama mnao kwanini msipeleke sampuli kwa waziri wa afya ili achukue hatua?
Wapeleke wao??
Sio mamlaka husika waufuate au kuwaita hao Clouds FM waupeleke ofisini kwao kama hatua ya awali ktk kubaini tatizo na kutatua?
Kweli taifa lina watu wa ajabu sana ....so sad

Sent using Jamii Forums mobile app

 
Clouds ni chombo cha habari. Kazi yake ni kuhabarisha!

Wizara ya afya ipo kwaajili ya kufuatilia mambo yote yanayohusiana na afya za wananchi.

Kwa maelezo hayo mafupi, nafikiri itakua umeelewa ni nani anatakiwa kuwajibika na kwa namna gani.

Nikutakie siku njema mkuu!

- KANA -
Ubarikiwe sana mkuu kwa kuelimisha watu wa type hii....sisi wengine hatuna huo uwezo wa kuelimisha wale ambao walienda shule kujifunza ujinga

Sent using Jamii Forums mobile app

 
Hawa TFDA nao ni majipu kama wanakana mchele wa plastic kuwepo nchini.
Na nyie mnasema kudunda kwa mchele sio njia pekee ya kujua ni plastic mtakuwa mabashite, kajaribuni kufinyanga wali wa mpunga kama mtaweza kutoa duara zuri bila kubaki kwenye viganja na ukadunda?
 
TFD na TB si wa kuamini sana inapokuja suala la usalama wako hivyo kama una uhakika huo mchele upo maeneo yako chukua hatua mwenyewe maana wao wazuri sana katika kukanusha tuliamianisha
 
tatizo la redio Mawingu ni kudeal complex issues in a simple and local ways.Most of their presenters are laymen.

Delta Force

 
Mimi kinachonishangaza ni wanao jiita great thinkers kuamini kirahisi kuamini kuna mchele wa plastic...HAHAHHAHAHA
Wenye akili tu ndo watakuelewa, kuna shida gani kama unakula mchele wa plastic halafu una kunya mavi ya kutosha na virutubisho unapata !
 
Kujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
Ndiyo akili za hao watangazaji wa clouds zilipoishia!binafsi nimeshaacha kufuatilia matangazo ya cloudsTV &radio....pumba nyingi!wanawachukua watu wasio na taaluma ya habari....ukishakuwa MC tu unaweza pata kazi ya utangazaji huko!
 
Maelezo sahihi huu mchele ni wa kutengenezwa (industrial made), inaaminika moja ya ingridients ni chemical inayotumika kutengeneza plastic, ndilo chimbuko la term mchele wa plastic. Ni vema badala ya serikali kukanusha ikafanya uchunguzi wa kina kupata ukweli.
 
Hiyo ndiyo ulivyo utendaji wa selikali ya ccm. Usisahau aliyetangaza kwamba atayakayesema mchele wa plastic akamatwe!.

Swali tu. Je anayeleta mchele wa Plastic hawezi kuwa wewe. Je nayo ni CCM. Grow up na tujifunze uzalendo ndo unalipa.
 
Back
Top Bottom