mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
You steal my point dear. Kwanini udunde dunde kama kitenesi???Inaweza ikawa sio plastic kama watu wanavyodai , mi nafikiri concern muhimu ni kwanini mchele udunde kama kitenesi? mchele unaotokana na mpunga hudunda?!
hata wa ugali wa mihogo name matembele. Mimi nakufaham sanaTonge la wali haliwezi kudunda kamwe...ukilitupa chini linasambaa ama linaseleleka na si kudunda kama mpira,
huo ndo uelewa wangu mie na nina uzoefu na aina mbalimbali za matonge
Karibu sana kamandaUmetisha mkuu, nitarudi kuangalia amejibu nini.
Labda sio plastiki lakini nadhani pia sio mchele wa kawaida!Kujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
Acha kuupotosha umma wa Tanzania Video unayoisema wewe nimeweka hapa huo wanaotengeneza siyo mchele bali ni vipunje vidogo vinavyofanana na mchele kwa ajili ya kufungashia bidhaa rahisi kuvunjika kama glass na vyombo/sahani za udongo.Binafsi juzi tumeagiza wali hapa fresh coach..kwa watu wa moshi watakuwa wanapajua,ulikuwa ni waplastic...sikuwahi kunote hilo,rafiki yangu aliyetoka tanga ndio akanistua..pia ananiambia tanga ni janga kubwa zaidi...vyombo husika vijaribu kulifuatilia hili kwa ukaribu zaidi,sio kutishana,hamna mtu atae benefit kwa kupotosha ukweli...mbona kuna hata video clips zinasambaa mitandaoni kuonesha jinsi plastics zinavogeuzwa mchele?..fanyeni kazi yenu!
Sent from my SM-A310F using JamiiForums mobile app
inaeza kua njia hio haijitoshelez bt mchele wa kawaida haudundi ilibid TFDA watolee ufafanuz kama ni htr au lah kuliko kitishia wananchi wanaorusha video na kutupatia hbr wengneKujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
The iodine test is used to test for the presence of starch. When treated with iodine solution—iodine dissolved in an aqueous solution of potassium iodide—the triiodide anion (I3−) complexes with starch, producing an intense blue/black colour. ... Otherwise, it will remain brown in color.Kulitakiwa kuwe na njia nyingine ya kupima mchele wa plastic zaidi ya kuudundisha.
Hebu muungwana tuambie utakua ni Michele wa nini huo!? Maana ule upatikanao kwa mpunga huwa ukiufinyanga na kuutupa chini unaparavganyika wote
Sent using Jamii Forums mobile app
hv tbc wakitangaza uvamizi wa majambaz wao ndo wanapewa kaz ya kuwatafuta au????wabanwe hao Clouds FM waeleze wameletewa na nani. Tunajua wanazo mbinu nyingi za kuingiza vitu mbalimbali nchini ambavyo inasemekana vinawanufaisha wao.
Kwahiyo ww unadhani una akili sn kuliko wengine?Tatizo kipimo kimekuwa too cheap yaani kuudundisha chini ukadunda kama kitenesi ndo kusema ni plastic, kwanini wasijaribu kuuchoma moto km utayeyuka na kuwa ujiuji hapo sawa. Hiyo ya kudundisha chini ni local sana
Hicho ndicho niikuwa nataka wafanye. Hapo nadhani wamefanya sawa...!hv tbc wakitangaza uvamizi wa majambaz wao ndo wanapewa kaz ya kuwatafuta au????
clouds wao kazi yao kutoa hbr kuna vyombo vinavohisika na uchunguz uzr tena wameonesha mpaka na duka walilouziana nahisi yule kamishna alieekua anatoa vitisho amesaidiwa kazi yake mno
hivi wali wa kawaida ukisokota tonge ukaupiga chini unadunda..?Kujua kitu ni plastic au sio plastic ni kudundisha?
Kwanini TFDA walikimbia kukanusha haraka pasipokujiridhisha..? Hiyo ni wake up call kwao ili wasisubiri kufanyiwa majukumu yao.Clouds ndo maana mnavamiwa na mi binduki, kama mnao kwanini msipeleke sampuli kwa waziri wa afya ili achukue hatua?