avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 8,768
- 15,759
Wasukuma ni watu wa kujitutumua , wakabila ,washamba na watu primitive. Ukikutana nao mikoa mwingine wanatukuza kweli maeneo waliotoka fika Sasa hayo maeneo ni vichakaniUrembo tumo,serikalini tumo,maendeleo yapo juu kuliko uchaggani.wachagga msijisheue hamuisomi namba kwa msukuma.