Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 12,642
- 23,841
Ninyonyeshe kama umenizaaKijana nikuzae halafu unanipandishia kibesi, really?
Ninyonyeshe kama umenizaaKijana nikuzae halafu unanipandishia kibesi, really?
🤔Ninyonyeshe kama umenizaa
Hapo nakubali😍Nisamehe tu! Nimetania maana hata mama yangu ni msukuma
(Lusia binti Sahani).
Wamelegalega sio?Ndo maana hata kule wapo wapo ugali wao niliushindwa aseeh
Kuna kitu haukijui kutuhusu sisi wachaga bwasheeWE ACHA TU. Wachaga ati ndani mwanamke ndio top mzee hana sauti na afu hata wengi wao wanauana ili mama aridhi mali. Na hata kuna wengne wanapeleana mioto dada na kaka in terms of uzungu. Saitan kabisa lakin msukuma ana uwezo wa kulala chumba kimoja na watoto wakubwa bt wanaheshimiana.
Bwashee muda wa kulewa acha nae huyoKuna kitu haukijui kutuhusu sisi wachaga bwashee
Moshi sio jijiMoshi city haikuti mwanza city hata kidogo.
Nalewa bwashee, nishatumia utajiri wa mtu humu mpaka sasa kwa pombe tuBwashee muda wa kulewa acha nae huyo
kama kipi kiongozi au kuhusu kula kongoro yaani kwato la kitimoto wengne wakila minofuKuna kitu haukijui kutuhusu sisi wachaga bwashee
Wachaga tukiishi maisha yetu ya kawaida kabisa huko mikoani ndio mnadai tuna jivuniakama kipi kiongozi au kuhusu kula kongoro yaani kwato la kitimoto wengne wakila minofu
Salama zimefika.Hapo nakubali😍
Msalimie sana mamkwee(mwana sahani)
Wanachanganya mafaili , wasukuma na wachaga hawajawahi kuwa na shida , na hakuna kabila linaingiliana kama hiliHawaelewi mambo hawa!
Wachaga wapi wametapeli?Wasukuma walicho nacho ni ushamba tu lakin hata biasha ukifanya nao hata kama ni ya nafaka na usimdhulumu for sure kwako nafaka haitakosa coz ana uwezo wa kuhamisha kijiji kizima kuja kukuuzia nafaka, hata kama ni biashara ya mifugo ni wewe tu uchoke. Kikubwa tu usimlaghai utatajirika tu lakin machango kukutapeli ni fasta.
mikoani ndo wapiWachaga tukiishi maisha yetu ya kawaida kabisa huko mikoani ndio mnadai tuna jivunia
Huko kwenumikoani ndo wapi
Mjomba km mjomba kutoka marangu sembeti amefika 😂Nalewa bwashee, nishatumia utajiri wa mtu humu mpaka sasa kwa pombe tu