agalizo kwa nape:ukija kilimaniaro mfano ndo huo,tutakugombania
he he he he... Nyura Mtorii. naona umejipanga sawa sawa. Hatokezi huyu dogo, kashindwa hata kuandika barua sembuse kukutana na 'trupa' za Kili?
agalizo kwa nape:ukija kilimaniaro mfano ndo huo,tutakugombania
bila shaka JF ni zaidi ya kila kitu huwezi amini hawa rd1 source waliipata kwanza hapa JF ndio wakaanza kufuatilia nao. believ me or not
Amani iwe nanyi:
That is too bad!!! Siungi mkono kwa vyovyote vile mtu au watu kuuliwa au kuumizw iwe na polisi au watu kujichukulia sheria mkononi. Zote hizo ni maumivu ama vifo na zina athari kwa familia ya aliyeumia au alieuawa!
Sipendi watu kuuwa au kuuliwa! Sipendi!!!!!
wamchague wenyewe kwa kishindo alafu wanampiga tena??!
Unachosema ni kweli. Lakini watawala wetu hawashauriki na hawawezi kujirekebisha. Njia pekee ni kuwaondoa mamlakani. Hawa wamelala kitanda kimoja na waporaji wa maliasili zetu.Ama kweli Amaghana ga sarikire Mura nshe nkugeche mura!!!!! hii inaashiria nini? Tanzania tumekalia utambi wa baruti... na bado kidogo kuna mtu atawasha uo utambi na kitakacho tokea ni madhara makubwa. Nafikiri ni wakati muafaka kwa watawala wetu wakasoma nyakati hizi. Tusichukulie kirahisi rahisi tu kwamba ahaa hao ni WAKURYA. Serikari inabidi ku review hii mikataba tata na kuacha kuwakumbatia hawa WAWEKWEZAJI uchwara. Kuna kitu tunakosa nacho ni MORAL IMAGINATION.... nikimaanisha kwamba its the wearer of the shoe who can tell u where it pinches most. Jamani hawa wananchi wana madai na sio kama inavyo elezwa kwamba ni majambazi. Hivi kweli majambazi wanaweza wakaenda mchana kweupe na fimbo na marungu kuiba?? Hapana kuna madai tena madai ya kina kabisa nachelea kusema. Tatizo ni kwamba tunawaona hawa watu hawajui na sie ndo tunajua hence tunaweza amua chochote. Lakini kwa vile wao ndo wanajua uchungu na historia ya eneo husika ndo maana waliamua kujitokeza na kuchukua hatua hiyo hatarishi. Wana JF tuwashauri watawala wetu wajirekebishe na tumuombe mola aepushie balaa ili mbali. Watu watano wasinge kufa kama mambo haya yangerekebishwa mapema. I can write and write lakini..........bye kwa sasa. Vita ni vita Mura!
wamchague wenyewe kwa kishindo alafu wanampiga tena??!
notVery sad news. Mungu amponye!
not
very interesting news
Mungu amzidishie maumivu
Msijichukulie sheria mononi, fateni sheria za nchi yenu.
Very sad news. Mungu amponye!
not
very interesting news
Mungu amzidishie maumivu