Mbunge wa TARIME apigwa na wananchi

Kwa habari nilizozipata hivi punde toka Nyamongo Tarime mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM mh, Nyambari Nyangwine ameshambuliwa kwa mawe toka kwa wananchi wake.Chanzo ITV BREAKING NEWS
 
Sasa hivi Joji Marato ametaarifu kupitia ITV akiwa Nyamongo kuwa mbunge Nyangwine hajadhurika na kipondo ila wapambe wake waliokuwa na majezi ya Chama Cha Magamba ndo wamechezea kichapo cha maana. Nyangwine ameokolewa na walinzi wake waliokuwa watatu. Kiukweli nimesikitika sana kusikia huyu mbunge wa (this time tomorrow) yupo mzima bila hata kakovu kamoja. Haki ya nani nahisi maini yanacheza kwa hasira.
 
Tatizo la viongozi wengi ni njaa, sio wawakilishi wa kweli, ni miezi michache tu imepita toka uchaguzi leo hii kibano kwa mbunge, kweli miaka mitano atamaliza. Hawa viongozi wakiwa kwa wananchi wajifanya wanatuthamini kumbe lao ni moja na wawekezaji. Big up Tarime na Waziri Ngeleja akija mtieni vidole.
 
matokeo ya semina elekezi?????? huyu atakuwa hakuchanganya na za kwake kakurupuka tu
 
Habari zilizonifikia dakika 20 zilizopita ni kuwa mbunge wa TARIME mh.Nyangwine kapigwa vibaya sana na wananchi wa Nyamongo na gari lake limechakazwa vibaya sana ...Alikuwa amekwenda Nyamongo kufuatilia suala la kuuwawa kwa wannnchi wa 5 katika mgodi wa North Mara....

Mdau anayenipa habari hizi yuko ndani ya mgodi wa North mara na anasema security status imewekwa RED.......

ANGALIZO: Staki mambo yenu ya kisharobalo kuanza kuniuliza source hapa...habari ndo hiyo mura

Ama kweli vita ni vita mura!!!! kila mtu Nyamongo ni mwanajesiiii mie nipo jesi la CRDB! wewe je au jesi la JF??
 
Kuna kitu hakijaripotiwa. Mazishi ya wale ndugu waliouliwa na polisi yameshindikana. Wananchi wanataka RPC wa kanda maalum apelekewe miili hiyo yeye mwenyewe ajue ataizikaje. Kuzuia hili lisitokee, polisi wapo kila kona huko Tarime, na katika kujaribu kulitafutia ufumbuzi wa kidplomasia ndipo serikali ikamtuma mbunge ikidhani anaweza kuwa na ushawishi kwa wananchi. Yaliyomkuta ndiyo hayo.
Katika hatua nyingine, polisi wameahidi kutoa ulinzi kwa wanandugu watakaoamua kuchukua miili ya ndugu zao kwenda kuwahifadhi. Lakini kama tuwajuavyo wakurya, hakuna ukoo ambao mpaka sasa wamaitikia wito huo kwa kuhofia kuonekana wasaliti.
 
SOURCE: RADIO ONE BREAKING NEWS

Wananchi kitongoji cha nyamongo TArime wamemshabulia kwa mawe mbunge wao NYAMBARI NYANGWINE na kuharibu vibaya gari lake na waandishi
 
SOURCE: RADIO ONE BREAKING NEWS

Wananchi kitongoji cha nyamongo TArime wamemshabulia kwa mawe mbunge wao NYAMBARI NYANGWINE na kuharibu vibaya gari lake na waandishi

Safi sana wanatarime mungu awabariki sana kwa kazi nzuri mnatia moyo kwenye mabadiliko ya taifa hili, CCM wakipita mahala popote pale piga mawe, akija JK piga mawe , akija pinda piga mwae, nape piga mawe, mkama piga mawe, chiligati piga mawe, RZ,edo,JK uwa kabisa musiache ushahidi wa hawa viumbe
 
source mkuu?..

Si kakwambia usimletee mambo ya kisharobaro kwani source iko nyamongo mgodini na vyombo vya habari havijaipatapata. Labda tungoje magazeti ya kesho na nes za leo jioni. Kesho kama ni uongo tumsute muanzisha mada!
 
Na bado,wabunge mbali mbali wa ccm wataendelea kupigwa mpaka walijue jiji.
 
SOURCE: RADIO ONE BREAKING NEWS

Wananchi kitongoji cha nyamongo TArime wamemshabulia kwa mawe mbunge wao NYAMBARI NYANGWINE na kuharibu vibaya gari lake na waandishi
bila shaka JF ni zaidi ya kila kitu huwezi amini hawa rd1 source waliipata kwanza hapa JF ndio wakaanza kufuatilia nao. believ me or not
Amani iwe nanyi:
 
Na bado,wabunge mbali mbali wa ccm wataendelea kupigwa mpaka walijue jiji.

na hawataweza kuepuka kipigo kwa sababu wasipoenda majimboni watakuwa wanapingana na semina elekezi ya mkubwa wao
Amani iwe nanyi:
 
Back
Top Bottom