KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Kwa habari nilizozipata hivi punde toka Nyamongo Tarime mbunge wa jimbo hilo kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM mh, Nyambari Nyangwine ameshambuliwa kwa mawe toka kwa wananchi wake.Chanzo ITV BREAKING NEWS