Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

Mbunge Joseph Mbilinyi apata ajali milima ya Kitonga

Kuna Kipindi walikuja Arusha yeye na Kundi lake la Antivirus, sasa wakati wanatafuta wadhamini wa show yao wakaja ofisini kwetu, tukawakubalia kudhamini ile show. Jioni yake nikamtafuta SUGU kwa simu akasema yuko STEREO HOTEL, nikaenda, nilipofika sikuamini macho yangu, SUGU anakunywa KONYAGI anchanganya na REDBULL huku anavuta KAYA!
nilichoka!!

Lazima uchoke maana mziki huo kwa gamba kama wewe huwez umiliki lazima utaliwa 07....
 
Mkuu breki haziwezi kufeli? Mbona hilo ni jambo la kawaida pipe inaweza kukatika au hata rubber za master cylinder au za kwenye pads zinaweza kupasuka.
Mkuu nimeeleza huko nyuma!
LC100 VX, ni gari isiyo na matatizo madogo kama hayo.
, hasa kwa sehemu iliyopata ajali gari hiyo, iliyotazamiwa kwenda kwenye spidi za za less than 40 km/hr.
Hata pipes au pads zikifeli kwa spidi hizo bado dereva anaweza ku control gari lake kwa gear hadi kusimama.

Dereva aliyekuwa anaendesha mteremko wa Kitonga kwa gari hiyo alikuwa spidi over, ndiyo maana ikapinduka.
 
Dah! We jamaa unapenda ubishi utadhani ndio mmiliki wa gari lililopata ajali. Gari lolote linaweza kukataa breki. Hayo mambo yako ya ubishi hata kwenye ajali usiniletee hapa.
Ova
We mjinga sana !
Mtu unakuwa na gari ya uhakika hafu halifanyiwi service utafikiri gari ya City unategemea nini?
 
attachment.php

mjini, Joseph Mbilinyi 'Sugu' baada ya kupinduka na gari lake . Mbunge huyo akiwa pembeni kushoto.
Mbunge wa Mbeya Mjini Joseph Mbilinyi, akiwa na wenzake watatu akiwemo Katibu wake, Kwame Anangise, Eddy na Kiboya wameumia na kukimbizwa hospitali mjini Iringa baada ya gari lao kupata hitilafu ya breki na kupinduka mlima Kitonga leo.

 

Attachments

  • SUGU.jpg
    SUGU.jpg
    41 KB · Views: 1,928
Back
Top Bottom