Ni weweeee
Member
- Dec 29, 2014
- 17
- 4
Mungu aendelee kuwaepusha makamanda wetu wote
Atakuwa ameamkanazo!!!!
ajali zingine zinasababishwa na VIROBA na BANGI,tusubiri ripoti ya polisi.
Hunalolote kigoda wePole sana Sugu lakini punguza konyagi + bangi
Unavoonekana ulitamani akafilie mbali.Pole zake ila siku nyingi asiendeshe magari akiwa amelewa na kuvuta bangi.
Ukishalewa usiendeshe chombo chochote cha moto.
Breki kukataa kwa gari la aina hiyo, hilo haliwezekani, ni uzembe wa dereva tu.
Hiyo gari si spana mkononi kufa breki.
ccm tu hao
swissme
Unavoonekana ulitamani akafilie mbali.
Fqu kokoMmbwa U