Bangsweezy
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 880
- 202
sasa ndo wakati wa kutembea na Mungu au shetani kwa wanasiasa lasivyo watamalizana mapema
sasa ndo wakati wa kutembea na Mungu au shetani kwa wanasiasa lasivyo watamalizana mapema
Breki kukataa kwa gari la aina hiyo, hilo haliwezekani, ni uzembe wa dereva tu.View attachment 217550
Breki zilikataa, pona yao ni kwamba walifunga mikanda. Wote wako salama kabisa ila gari ndo hivyo limevurugika hatari. Kila mtu anashangaa kwa namna walivyoweza kutoka wazima kwenye hii ajali kutokana na gari lilivyokuwa likiviringika mlimani hadi likaenda kulala kifo cha mende.
Ova
Hata hili nalo la kuuliza ?njama za Nani? umepata chanzo cha ajali?
Rais wa mbeya amepata ajali maeneo ya kitonga lakin yuko salama tunamshukuru munguView attachment 217536
Sugu awagomea Police kupimwa na kifaa cha ulevi atimka na kuwaacha solemba.
Mungu yupi sasa!
Pale kitonga pabaya sana.
Rais wa Mbeya? SoB
Kwani wewe unaabudu miungu wangapi ?
Pole sana Sugu lakini punguza konyagi + bangi
Pole sana kamanda Sugu,
Mwakyembe ni mshirikina sana huyo mzee.
Mungu ni mwema kamanda.
Wao wana majini7, sie tuna Mungu